that manzi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 385
- 1,246
dah🙌🏿🙌🏿🙌🏿ko 1500 haiwatoshiAbsolutely. Imekua buku 2. Haujalewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah🙌🏿🙌🏿🙌🏿ko 1500 haiwatoshiAbsolutely. Imekua buku 2. Haujalewa.
Mzee si walipeleka bajeti bungeni, ikajadiliwa na wabunge, ambao ni wawakilishi wetu.Hawa wapuuzi wanajichukulia maamuzi bila kushirikisha mtu
Hiyo imekula kwa dereva🤔Wakuu habarini za jioni,
Naomba kuuliza mnieleweshe ni kwamba ile kodi ya pango inayotozwa kwenye umeme imeongezeka au nini kimetokea
Nimezoea nikinunua umeme mwanzo wa mwezi nakatwa 1500 nashangaa leo nimekatwa 2000
Je kuna mtu amekutana na hii leo au ni mimi tu au ndo tushaongezewa tozo tayari kimya kimya
Ndio jitu kama hilo unaweza kuta limevimbiwa sa hz linashushia na kabiaSidhani kama huu ushauri ungeweza kumpa ndugu yako wa karibu unayempenda. Binadamu tunajiamini sana tukiwa wazima na bado hatujatokewa na mabaya sisi wenyewe au katika circle yetu ya karibu. Ila umeongea ki low-mided sana, umetumia akili ya level ya chini sana.
Kuna kitu ulitaka kusema ila ukawaza wakili wako nna kesi nyingi 😂Mi5 tena kwa mama
Kinachoniuma ni kwamba hatuna cha kuwafanya.Kwa sasa makato ya kodi unaponunua LUKU yameongezeka kutoka TZS 1,000 mpaka TZS 2,000.
Tunaomba maelezo kwanini gharama hizi zineongezeka? Kuna sababu gani ya kuendelea kufanya maisha ya watanzania kuwa magumu ili hali mabwawa ya umeme yaliyotumia matrilioni ya kodi za wananchi yameshafunguliwa?
Je, kodi wanazotozwa wananchi bado hazitoshi? Je, mmeshindwa kutumia rasilimali zilizopo nchini, kuna madini, maliasili na vivutio mbalimbali vya utalii n.k pamoja na vyanzo hivi vya mapato, serikali imeshindwa kuwa bunifu na kutegemea tozo na kuendelea kunyonya na kufanya maisha ya watanzania yazidi kuwa magumu?
Hali hii itaendelea mpaka lini?
View attachment 3030797
Ni kweli wanasema tulikuwa na deniKwa sasa makato ya kodi unaponunua LUKU yameongezeka kutoka TZS 1,000 mpaka TZS 2,000.
Tunaomba maelezo kwanini gharama hizi zineongezeka? Kuna sababu gani ya kuendelea kufanya maisha ya watanzania kuwa magumu ili hali mabwawa ya umeme yaliyotumia matrilioni ya kodi za wananchi yameshafunguliwa?
Je, kodi wanazotozwa wananchi bado hazitoshi? Je, mmeshindwa kutumia rasilimali zilizopo nchini, kuna madini, maliasili na vivutio mbalimbali vya utalii n.k pamoja na vyanzo hivi vya mapato, serikali imeshindwa kuwa bunifu na kutegemea tozo na kuendelea kunyonya na kufanya maisha ya watanzania yazidi kuwa magumu?
Hali hii itaendelea mpaka lini?
View attachment 3030797
Hongera, ila huo una gharama kubwa kama utataka kutumia vifaa vyote vya umeme. Kuutumia kwa dharura, ni sawa.Mkuu, mimi kwenyenyumba ya kulala nakomaa na SOLAR tu.
Mkuu hao ni wabunge walioteuliwa na Mwenyekiti wa CHAMA DUME, chenye umri wa miaka zaidi 60; ndani ya Chama na nje ya Chama.Mzee si walipeleka bajeti bungeni, ikajadiliwa na wabunge, ambao ni wawakilishi wetu.
Wakaipitisha.
🤣🤣 Sitaki kukuchosha wakili wanguKuna kitu ulitaka kusema ila ukawaza wakili wako nna kesi nyingi 😂
Mkuu kama ina niwezesha kwenye TV, pasi, taa za ndani na nje zaidi ya 10 na kusikiliza radio inatosha sana.Hongera, ila huo una gharama kubwa kama utataka kutumia vifaa vyote vya umeme. Kuutumia kwa dharura, ni sawa.
Ova
Wewe imefanya nini ambae sio zuzuMazuzu yanalia mitandaoni tu, lkn Gen Z wa Kenya wanamuamrisha rais wao.
Mazuzu hoyeé! Na bado. Subiri makato ya 30k kwa ajili ya bima ya afya kwa wote kwenye mishahara itakayokatwa kuanzia mwezi huu, tutasema tu.
Pendekezo la Shabiby limechukuliwa kama lilivyo.
Wakati kenya wanaincourage cashless kwenye kwenye maisha yao ya kila siku. Huku ndo kwanza watu wapafanya wapakimbie.Mimi hizo sim banking nilishaachana nazo, kuna siku nililimwa sh 40,000 sitaki tena.