Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ni Filling station.petrol station is loading...........
jumanne kuamkia jumatano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Filling station.petrol station is loading...........
jumanne kuamkia jumatano.
asante, japo unatakiwa kukumbuka mwalimu wangu na wako walikuwa tofauti pia.Ni Filling station.
Mawazo ya waziri wa fedha ni finyu sana kama mtu wa diploma tuu. Ni kweli lengo ni Zuri kuongeza makusanyo ya kodi. Lakini swali langu kwanini mzigo mkubwa unabebwa na wachache??? Kama lengo ni kupata kodi kupitia hiyo ya makato ya umeme nyumba zenye umeme ni kama 1/3 ya nyumba zote Tanzania sasa kwanini asije na sera ya kila nyumba lazima iwe na umeme ila akusanye kodi kubwa?? Jamaa ana PhD ila namuona kama ana diploma tuu. Hana ubunifuKwa sasa makato ya kodi unaponunua LUKU yameongezeka kutoka TZS 1,000 mpaka TZS 2,000.
Tunaomba maelezo kwanini gharama hizi zineongezeka? Kuna sababu gani ya kuendelea kufanya maisha ya watanzania kuwa magumu ili hali mabwawa ya umeme yaliyotumia matrilioni ya kodi za wananchi yameshafunguliwa?
Je, kodi wanazotozwa wananchi bado hazitoshi? Je, mmeshindwa kutumia rasilimali zilizopo nchini, kuna madini, maliasili na vivutio mbalimbali vya utalii n.k pamoja na vyanzo hivi vya mapato, serikali imeshindwa kuwa bunifu na kutegemea tozo na kuendelea kunyonya na kufanya maisha ya watanzania yazidi kuwa magumu?
Hali hii itaendelea mpaka lini?
View attachment 3030797
Mama anaupiga mwingi sanaKwa sasa makato ya kodi unaponunua LUKU yameongezeka kutoka TZS 1,000 mpaka TZS 2,000.
Tunaomba maelezo kwanini gharama hizi zineongezeka? Kuna sababu gani ya kuendelea kufanya maisha ya watanzania kuwa magumu ili hali mabwawa ya umeme yaliyotumia matrilioni ya kodi za wananchi yameshafunguliwa?
Je, kodi wanazotozwa wananchi bado hazitoshi? Je, mmeshindwa kutumia rasilimali zilizopo nchini, kuna madini, maliasili na vivutio mbalimbali vya utalii n.k pamoja na vyanzo hivi vya mapato, serikali imeshindwa kuwa bunifu na kutegemea tozo na kuendelea kunyonya na kufanya maisha ya watanzania yazidi kuwa magumu?
Hali hii itaendelea mpaka lini?
View attachment 3030797
Sh 9000 unapata unit 57? Ni umeme upi huo? Zanzibar au Rea?Hata mimi nilinua umeme wa elfu 9000 nikitegemea kupata unit 60+ sababu nipo matumizi madogo na nimetoa service charge. Cha ajabu nilipata unit 57 tena bila maelezo ya makato. Hatari sn hii.
Ila suala la ndugu yetu ni kwamba atakuwa aliingiza umeme kwenye nyumba yake na akapewa unit za kuanzia km 30. Hivyo, Hilo deni huwa wanakata hiyo elf 6 kwa kipindi cha mwaka 1. Labda akiona meseji hii atakuja kithibitisha niliyosema au atoe ufafanuzi.
Manyani.Tunachukuliwaje sijui
Sasa kwa nini wasitoe taarifa kwa umma watu wakajua nini kinaendelea, hii nayo ni taharuki kwa wananchi. Watu wanaichukulia jero kimasihara sana hawa.Umeongea Point sana Dr.
Wanasema kwamba Tar 26 July 2023 Serikali ilipandisha kodi kutoka 1000 hadi 1500 ,kwahiyo kama walinunua umeme kati ya tar 1 hadi 25 July 2023 basi kuna deni la 500/= Tsh ,kwahiyo mwaka Mpya wa Serikali umebadilika leo tar 1 July 2024 ,kama una deni la 500 basi litajumlishwa na 1500 na kuwa 2000 kwa Mwezi huu wa July ,ila mwezi ujao ukinunua LUKU utakatwa 1500 kama kawaida ,hayo ni Maelezo ya TANESCO wenyewe baada ya kubananishwa na wadau kwanini bei imepanda.
Lakini haijapandishwa ghafla, imepita bungeni wakati tuko bize na mambo yasiyotuhusu wala kuwa na faida nayo.Haya majangili yanatuumiza sn
Kama hamtaingia barabarani hamna jambo litafanyika. Shauri yenuKwa sasa makato ya kodi unaponunua LUKU yameongezeka kutoka TZS 1,000 mpaka TZS 2,000.
Tunaomba maelezo kwanini gharama hizi zineongezeka? Kuna sababu gani ya kuendelea kufanya maisha ya watanzania kuwa magumu ili hali mabwawa ya umeme yaliyotumia matrilioni ya kodi za wananchi yameshafunguliwa?
Je, kodi wanazotozwa wananchi bado hazitoshi? Je, mmeshindwa kutumia rasilimali zilizopo nchini, kuna madini, maliasili na vivutio mbalimbali vya utalii n.k pamoja na vyanzo hivi vya mapato, serikali imeshindwa kuwa bunifu na kutegemea tozo na kuendelea kunyonya na kufanya maisha ya watanzania yazidi kuwa magumu?
Hali hii itaendelea mpaka lini?
View attachment 3030797