KERO Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya

KERO Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Shida ya watanzania ni moja tuh, wanaopenda kufanya maandamano hewa yaani ya mtandaoni tuh.

Twende Kwenye uharisia pesa za wa Tanzania Kwenye nyumba tu mfano tuna nymba milioni kumi zenye umeme maana yake Kwa buku tu wanakusanya bilioni kumi Kwa mwezi.

Ukija Kwenye matozo mengine ni mamia ya mabilioni Kwa mwezi.

Je kama tunakopa pesa za ndani hizi zinaenda wapi??
Pia kumbuka hizo nyumba (kiwanja) utakuta kuna MITA zaidi ya 1 na wao wanakata siyo kwa idadi ya nyumba bali idadi ya MITA. Maana yake zile apartments au nyumba za wapangaji zenye mita zaidi ya 1 kila mita itakatwa 1500 kila mwezi. Bado mita za maduka, saloon na salon, makanisa, misikiti, mashule, majumba ya starehe, nk. Yani pesa inayokusanywa kwa mwezi inaweza kuwalipa wafanyakazi wa uma mshahara na kubaki nyingi za kutosha.
 
Waliposema Mpitie Mswada wa Sheria ya Fedha ya mwaka 2024/2025 mlikuwa Bize Kuangalia maandamano ya Kenya..

Mlipoitwa kupeleka Maoni yenu Bungeni, Hamkwenda na Mliacha Bunge peke yake ndo liamue..
Sasa Mnalia Nini?
Tulia Dawa Iingie..
Siku nyingine mkiitwa Kutoa Maoni na kuchNgia Mpate muda wa Kufanya hivyo
 
Waliposema Mpitie Mswada wa Sheria ya Fedha ya mwaka 2024/2025 mlikuwa Bize Kuangalia maandamano ya Kenya..

Mlipoitwa kupeleka Maoni yenu Bungeni, Hamkwenda na Mliacha Bunge peke yame ndo liamua..
Sasa Mnalia Nini?
Tulia Dawa Iingie..
Simu nyingine mkiitwa Kutoa Maoni na kuchNgia Mpate muda wa Kufanya hivyo
Mkuu mie nimeupitia mswada hakuna sehemu wanasemaa kuongeza tozo za pango la Ardhi hakuna
 
Pia kumbuka hizo nyumba (kiwanja) utakuta kuna MITA zaidi ya 1 na wao wanakata siyo kwa idadi ya nyumba bali idadi ya MITA. Maana yake zile apartments au nyumba za wapangaji zenye mita zaidi ya 1 kila mita itakatwa 1500 kila mwezi. Bado mita za maduka, saloon na salon, makanisa, misikiti, mashule, majumba ya starehe, nk. Yani pesa inayokusanywa kwa mwezi inaweza kuwalipa wafanyakazi wa uma mshahara na kubaki nyingi za kutosha.
Ngoja watunyooshe Hadi siku tuamue kuamka
 
una maanisha nini? funguka kama una kitu cha kusema
Nimesapoti comment yako kwamba,,kodi haijapanda ila walio lalamika walikuwa na madeni yao binafsi ndio maana ilionekana wamekatwa elfu mbili

Kwahiyo hawakuangalia uhalisia wa mambo na kujiridhisha badala yake wote wameanguakia kupitia maoni ya mtu mmoja ndio wakafanya kuwa ni hali halisi kitu ambacho sio kweli
 
Kwa sasa makato ya kodi unaponunua LUKU yameongezeka kutoka TZS 1,000 mpaka TZS 2,000.

Tunaomba maelezo kwanini gharama hizi zineongezeka? Kuna sababu gani ya kuendelea kufanya maisha ya watanzania kuwa magumu ili hali mabwawa ya umeme yaliyotumia matrilioni ya kodi za wananchi yameshafunguliwa?

Je, kodi wanazotozwa wananchi bado hazitoshi? Je, mmeshindwa kutumia rasilimali zilizopo nchini, kuna madini, maliasili na vivutio mbalimbali vya utalii n.k pamoja na vyanzo hivi vya mapato, serikali imeshindwa kuwa bunifu na kutegemea tozo na kuendelea kunyonya na kufanya maisha ya watanzania yazidi kuwa magumu?

Hali hii itaendelea mpaka lini?

View attachment 3030797
======
View attachment 3030953
MAMA ANAUPIGA MWINGI PASI ANATOA MWIGULU
 
Duuuh 🙄
Yaani mama anaongoza kwa kukopa yeye
Gharama za mawasiliano yeye
Kodi ya luku yeye
Kero TRA yeye
Nadhani huyu Mama Mchawi sio bure
 
Hawa Jamaa wanatuibia sana ,leo kuna jamaa alikuwa na emergence akata nimtumie elfu 17 ,nikatoa BANK kwenda kwenye simu yake aiseee wamenikata Buku 2.....Huu wizi sijui kama BOT wanajua.
Habari, fanya miamala kwenda mitandao ya simu/benki nyingine kabla ya tar 1/7/2024 kwani huduma itasitishwa kwa tarehe hiyo kufunga mwaka wa fedha wa serikali.
 
Sasa kwa nini wasitoe taarifa kwa umma watu wakajua nini kinaendelea, hii nayo ni taharuki kwa wananchi. Watu wanaichukulia jero kimasihara sana hawa.

Kabisa ,watu tuliamini kama Kodi ya pango imepanda.
 
Wangeweka sh 5000 kabisa ili Watanzania watoke usingizini.

Vijana kazi kuvuta shisha tu hata kinachoendelea duniani hawajui.
Blaza acha kulalamika sana,soko litaamua lenyewe hata ipande hadi hiyo 5000 hakuna shidaa!!
 
Back
Top Bottom