KERO Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya

KERO Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Huyu chura kanikasilisha sana Hadi natamani angekuwa karibu ningemchapa makofi kabisa.
 
Mama anaupiga mwingi

Mitano tena. Shenzi kabisa
 
Chura kiziwi nchi imemshinda mchwa wametafuna kila kona
 
Kwa sasa makato ya kodi unaponunua LUKU yameongezeka kutoka TZS 1,000 mpaka TZS 2,000.

Tunaomba maelezo kwanini gharama hizi zineongezeka? Kuna sababu gani ya kuendelea kufanya maisha ya watanzania kuwa magumu ili hali mabwawa ya umeme yaliyotumia matrilioni ya kodi za wananchi yameshafunguliwa?

Je, kodi wanazotozwa wananchi bado hazitoshi? Je, mmeshindwa kutumia rasilimali zilizopo nchini, kuna madini, maliasili na vivutio mbalimbali vya utalii n.k pamoja na vyanzo hivi vya mapato, serikali imeshindwa kuwa bunifu na kutegemea tozo na kuendelea kunyonya na kufanya maisha ya watanzania yazidi kuwa magumu?

Hali hii itaendelea mpaka lini?

View attachment 3030797
Kwani kwenye "FINANCE BILL YA 2024/2025" hii haikuwepo na wabunge wa Bunge la CCM hawakuipitisha?

Kama imeingizwa kinyemela tu bila kupitia bungeni hilo ni kosa la jinaI amounting to treason na Waziri wa Fedha anapaswa kuwajibika kisiasa na kisheria yeye mwenyewe au aliyempa nafasi hiyo!!
 
Kwani kwenye "FINANCE BILL YA 2024/2025" hii haikuwepo na wabunge wa Bunge la CCM hawakuipitisha?

Kama imeingizwa kinyemela tu bila kupitia bungeni hilo ni kosa la jina na Waziri wa Fedha anapaswa kuwajibika kisiasa na kisheria yeye mwenyewe au aliyempa nafasi hiyo!!
Halipo mkuu Nina uhakikia
 
Sasa kwa nini wasitoe taarifa kwa umma watu wakajua nini kinaendelea, hii nayo ni taharuki kwa wananchi. Watu wanaichukulia jero kimasihara sana hawa.
Hii ni dharau kubwa sana kwa wananchi mimi naipenda CCM ila kwa hili hapana.angalau wananchi tungepewa taarifa.

Sasa kwa nini wasitoe taarifa kwa umma watu wakajua nini kinaendelea, hii nayo ni taharuki kwa wananchi. Watu wanaichukulia jero kimasihara sana hawa.
Taarifa zipo wala hakuna jambo jipya, tuko bize na komasava kwanza na Simba na Yanga.

Watu wengi wanadhani wale Wakenya ni wajinga, waliupinga muswada kabla ya kupitishwa, sisi tunashangaa kitu ambacho kimepitishwa bungeni.
 
Taarifa zipo wala hakuna jambo jipya, tuko bize na komasava kwanza na Simba na Yanga.

Watu wengi wanadhani wale Wakenya ni wajinga, waliupinga muswada kabla ya kupitishwa, sisi tunashangaa kitu ambacho kimepitishwa bungeni.
Kwahiyo wewe unataka watu wafanyaje kwani umekatazwa kuupinga nenda ikulu si unaijua ilipo sio unabweka humu watu kuongelea simba na yanga wamekuzuia nini unataka nani akupambanie kama sio wewe mwenyewe
 
Taarifa zipo wala hakuna jambo jipya, tuko bize na komasava kwanza na Simba na Yanga.

Watu wengi wanadhani wale Wakenya ni wajinga, waliupinga muswada kabla ya kupitishwa, sisi tunashangaa kitu ambacho kimepitishwa bungeni.
Hii haipoti hata kama wamesaini
 
Taarifa zipo wala hakuna jambo jipya, tuko bize na komasava kwanza na Simba na Yanga.

Watu wengi wanadhani wale Wakenya ni wajinga, waliupinga muswada kabla ya kupitishwa, sisi tunashangaa kitu ambacho kimepitishwa bungeni.
Toa press release ya tanesco kwa hii issue mkuu. Sio kweli kwamba tunafuatilia simba vs yanga kupitiliza, japo kwa haya madudu unaona bora utafute furaha kwingine.
 
Kwa sasa makato ya kodi unaponunua LUKU yameongezeka kutoka TZS 1,000 mpaka TZS 2,000.

Tunaomba maelezo kwanini gharama hizi zineongezeka? Kuna sababu gani ya kuendelea kufanya maisha ya watanzania kuwa magumu ili hali mabwawa ya umeme yaliyotumia matrilioni ya kodi za wananchi yameshafunguliwa?

Je, kodi wanazotozwa wananchi bado hazitoshi? Je, mmeshindwa kutumia rasilimali zilizopo nchini, kuna madini, maliasili na vivutio mbalimbali vya utalii n.k pamoja na vyanzo hivi vya mapato, serikali imeshindwa kuwa bunifu na kutegemea tozo na kuendelea kunyonya na kufanya maisha ya watanzania yazidi kuwa magumu?

Hali hii itaendelea mpaka lini?

View attachment 3030797

Sasa tutasafirije bila kutoza kodi?🤣🤣🤣🤣
 
Mwezi wa 6 ulinunuwa umeme? Isije kuwa unadaiwa kodi ya miezi miwili.
Ingekuwa ana deni, angekatwa 3,000 (1,500 ya mwezi uliopita na 1,500 ya mwezi huu)

Na ktk kununua umeme (LUKU) ktk kila mwezi mpya, kama unatuma pesa pungufu ya tozo unayodaiwa mwezi huo, mfumo utakuambia "you don't have sufficient fund to perform this action"...

Na ukiwa na kiasi exactly sawasawa na amount ya tozo yao (kwenye Account yako aidha ya Benki au Mpesa au Tigopesa nk), basi kitakachofanyika ni wao kuchukua tozo yao na wewe kupata ZERO UNIT za umeme.!!

Salama yako ya kupata umeme na wakati huohuo kulipa tozo, ni lazima uwe na cash amount inayozidi kiwango cha tozo...!
 
Toa press release ya tanesco kwa hii issue mkuu. Sio kweli kwamba tunafuatilia simba vs yanga kupitiliza, japo kwa haya madudu unaona bora utafute furaha kwingine.
Press release ya nini wakati leo ni tarehe 1 July? Ni mwaka mpya wa serikali.
 
Back
Top Bottom