KERO Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya

KERO Serikali imeongeza tozo LUKU kutoka Tsh 1,500 mpaka Tsh 2,000 kimya kimya

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Naona imepanda kimya kimya, wameona noma makelele ya raia, wakaamua kupandisha kimya kimya. Yaan makato ya transactions kwa kutumia credit card mtoa huduma anakukata Tsh 1000, serikali inakukata Tsh 5000, yaani inapenda kodi rahisi sana hii serikali ya mama samia.
 
Mwezi wa 6 ulinunuwa umeme? Isije kuwa unadaiwa kodi ya miezi miwili.
Wewe ni PhD mpumbavu kila taarifa ikiletwa hapa jukwaani lazima ukosoe lipumbavu kabla ya kujithibitishia wewe mwenyewe kwanza..
Taarifa ya sativa ulikurupuka na kusema labda alikuwa na mke wa mtu. Mtu kaanzisha mada inahusu kupanda tozo kwenye luku unaleta argument ya lipumbavu eti deni la miezi miwili wakati awali ilikuwa ni 1,500/- itakuwaje deni la miezi miwili ile 2000/-?
Badilika mzee watu kama nyie mnaishushia heshima jf.
 
Wewe ni PhD mpumbavu kila taarifa ikiletwa hapa jukwaani lazima ukosoe lipumbavu kabla ya kujithibitishia wewe mwenyewe kwanza..
Taarifa ya sativa ulikurupuka na kusema labda alikuwa na mke wa mtu. Mtu kaanzisha mada inahusu kupanda tozo kwenye luku unaleta argument ya lipumbavu eti deni la miezi miwili wakati awali ilikuwa ni 1,500/- itakuwaje deni la miezi miwili ile 2000/-?
Badilika mzee watu kama nyie mnaishushia heshima jf.
Uko in love sasa na mimi, unanifuatilia maoni yangu huru kila ninapochangia, wakati sitambuwi hata uwepo wako hapa JF.

Angalia hizi tabia za kushobokea wanaume utakuja kubanduliwa, usinizowee. Fanculo.
 
Matanzania hata waongeze sukari kg 1 iwe 10000 yanalialia mtandao yakija ishu ya chama tu kwenda yanga yamesahau matanzania yote mambumbumbu
Hii ni changamoto sana kwetu watanzania, watawala wanajua hata wakifanya ujinga kiasi gani hatutawafanya chochote kile.
 
Wewe ni PhD mpumbavu kila taarifa ikiletwa hapa jukwaani lazima ukosoe lipumbavu kabla ya kujithibitishia wewe mwenyewe kwanza..
Taarifa ya sativa ulikurupuka na kusema labda alikuwa na mke wa mtu. Mtu kaanzisha mada inahusu kupanda tozo kwenye luku unaleta argument ya lipumbavu eti deni la miezi miwili wakati awali ilikuwa ni 1,500/- itakuwaje deni la miezi miwili ile 2000/-?
Badilika mzee watu kama nyie mnaishushia heshima jf.
Huyo hana PhD yoyote ile, ni ID anatumia humu JF tu.
 
Huyo hana PhD yoyote ile, ni ID anatumia humu JF tu.
Hapa unathibitisha ujinga uliowajaa Watanzania, unaacha kuhangaika na kina Mwigulu Nchemba unateseka na ID ya mtu ambaye hakujui na hamjawahi kuonana popote still unajifanya unamjuwa wakati mimi sikujui.
 
Back
Top Bottom