Choboridodo
Member
- Oct 11, 2023
- 80
- 77
Mshukuru Mungu kwa wewe kuzidishiwa kidogo katika riziki yako zaidi ya huyo/wengine.Wabongo tuna maisha magumu sana, hii ni sample tu.
Mimi kwangu natumia umeme wa sh 70,000/= kwa mwezi.
Hizo unit 2 labda iwe dharura tu ya kupitisha usiku.