Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kuna mambo yanaumiza sana.View attachment 1853996
Pongezi kwa bunge la kijani la Mwendazake kwa kuyafanya maisha ya Mtanzania yawe magumu kila kukicha.
Hawa wabunge ni wa kucharazwaKuna mambo yanaumiza sana... Basi tu
View attachment 1853996
Pongezi kwa bunge la kijani la Mwendazake kwa kuyafanya maisha ya Mtanzania yawe magumu kila kukicha.
Mkome!
Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kupandisha kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa jf...
Yeye ndio katuletea bunge la kijanimakufuli kaingiaje humu nyinyi chaggadema
Nakwambia baada ya miaka 5 wanavuta mamilion tena hakuna makatoKinachoniuma zaidi,
Waliopitisha haya makato, wao pesa yao hawakatwi Kodi[emoji3525]
Hawa ndio maadui wakubwa wa taifaKinachoniuma zaidi,
Waliopitisha haya makato, wao pesa yao hawakatwi Kodi[emoji3525]
Dah,nakumbuka mkuu adi tulijibishana kwenye uzi wa sadala na bet!kumbe ndo mwigulu alikua anapitisha haya?nimejuta jamani😪😪😪Mkome!
Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kupandisha kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa jf...