Serikali imepandisha sana gharama za kutuma na kupokea hela kwa simu, ole wake mtu aniambie tuma na ya kutolea

Serikali imepandisha sana gharama za kutuma na kupokea hela kwa simu, ole wake mtu aniambie tuma na ya kutolea

Mkome!

Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kupandisha kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa jf[emoji116]

Uzi wa bajeti ulikuwa na replays 90

Uzi wa Sabaya ulikuwa na replays elfu 1 na zaidi

Uzi wa kusaini petition ya kumtoa Diamond kwenye tuzo za bet ulikuwa na replays 800 na zaidi.


Kuleni upumbavu wenu. Najua na hili mtapiga kelele siku 2 hizi alafu mtarudi kwenye ujinga wenu.
On point Mkuu, Wabongo tuna tabia ya kushikilia sana mambo yasiyo maana kwenye maisha yetu ya kila siku.
 
Hawa ndio maadui wakubwa wa taifa
Upo sahihi mimi binafsi uwezo wa Mwigulu nina mashaka nao sana ingawaje kila kukicha anasifiwa huwezi kupeleka bungeni hoja ya kupandisha kodi ya mafuta na miamala ya simu kwenye kipindi kigumu cha Corona wakati Nchi nyingi zinaungana kwa kuwa na kodi ya 15% duniani ili kuendana na hali ya Uchumi..
 
Back
Top Bottom