kwenda21
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 3,423
- 3,414
Nahisi kwa kuwatoa wabunge wa upinzani bungeni na kujaza wa ccm so kila kitu kinapitishwa bila kupingwa,Ila Sina uhakika mkuumakufuli kaingiaje humu nyinyi chaggadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi kwa kuwatoa wabunge wa upinzani bungeni na kujaza wa ccm so kila kitu kinapitishwa bila kupingwa,Ila Sina uhakika mkuumakufuli kaingiaje humu nyinyi chaggadema
On point Mkuu, Wabongo tuna tabia ya kushikilia sana mambo yasiyo maana kwenye maisha yetu ya kila siku.Mkome!
Wakati Mwigulu anasoma bajeti ya kupandisha kodi kule bungeni mambo yalikuwa hivi hapa jf[emoji116]
Uzi wa bajeti ulikuwa na replays 90
Uzi wa Sabaya ulikuwa na replays elfu 1 na zaidi
Uzi wa kusaini petition ya kumtoa Diamond kwenye tuzo za bet ulikuwa na replays 800 na zaidi.
Kuleni upumbavu wenu. Najua na hili mtapiga kelele siku 2 hizi alafu mtarudi kwenye ujinga wenu.
Upo sahihi mimi binafsi uwezo wa Mwigulu nina mashaka nao sana ingawaje kila kukicha anasifiwa huwezi kupeleka bungeni hoja ya kupandisha kodi ya mafuta na miamala ya simu kwenye kipindi kigumu cha Corona wakati Nchi nyingi zinaungana kwa kuwa na kodi ya 15% duniani ili kuendana na hali ya Uchumi..Hawa ndio maadui wakubwa wa taifa
- Mwigulu Nchemba
- CCM
- Katiba ya Mwaka 1977