Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Bunge ambalo halina uwezo wa Social inferencesBinafsi nafikiri huyu Mama anaweza kuwa na mission mbaya ambayo wananchi wengi hatujaijua .hii si bahati mbaya.kinachoniuma Sana Sana tungepumulia kwenye bunge.sasa nalo limeshakuwa scrape .we people of Tanganyika need to act. And the time is NOW
Kij'Sedition' ......
JW hawawezi kufanya kitu chochote. Rais ni mkuu wao'Sedition' ......
Mkuu CWR2016Kwenye ishu ya bagamoyo port.
Iko hivi, baada ya wao kuona ilishatiwa ukakasi na kuelezewa uozo wake, basi hiki wanachofanya saivi wameenda mbele zaidi. Yani wameamua sasa wachukue bandari zote kabisa, mpaka njia zake na maegesho wamechukua.
Kiufupi, Kalamu , denooJ , Glenn , kasomeni ile stori ya yoga , jamaa syndicate yao imeamua ipige pigo moja, na limalize kila kitu nchi nzima, wao na vizazi vyao watakula miaka 200 ijayo.
Na wanaharakisha kila kitu fasta sana, ili ikitokea akaja mwingine akavunja, basi "demages" watazolipwa ni kubwa sana.
Hujiulizi hadi early projects eti zimeshaanza hata kabla ya kuwa ratified.
Kiufupi wametushika pabaya
Nyerere alipiga sana kelele wkt wa Rais Mwinyi, tutampata wapi tena Mzee mwenye ujasiri huo, japo amfunge paka kengele,?!Mzee msitaafu, nchi inakuwa kwenye tension yeye kapiga kimya.
Akili ni hiyo.Mkuu CWR2016
Umeeleza vyema kabisa.
Hili suala la NANDARI ninakuhakikishia ni jambo ambalo lonaenda kutuunganisha wa Bara.
Leo hii ccm na upinzani ma wanasheria wanaongea lugja moja mkuu hii haijawahi kutokea.
Ninakuhakikishia kuna kitu kizito kinakuja na si mida mrefu.
Ni bora uvinjwe huu mkataba tuwalipe matrilioni kuliko mkataba huu kuendelea.
muuzwe mara ngapi?Bila nguvu ya umma huyu mama atatuuza.
Akili ni hiyo.
Ni kuvaa ukichaa kabisa, na kuuvunjilia mbali.
Na kulipa tutalipa tunavyojisikia.
Ila wote waliotufikisha hapa, tuweke record zao sawa, watazitapika kila sehemu iliyowazi. Inauzi sana.
Hapa Shida ni kuhisi unaongea na ndugu wa mtume. Hivyo ni ngumu kuikataliaSikuwahi kuwaza kuwa Samia ana kiburi namna hii.
Yuko insensitive kabisa na kitendo hiki kibaya kabisa anachokifanya!
Kwa kweli hii ni zaidi ya dharau kwa umma.
Which is worse "treason" or "sedition"?'Sedition' ......
Tuko pazuriHow much is too much?. Handler wafanye jambo now
Kwenye ishu ya bagamoyo port.
Iko hivi, baada ya wao kuona ilishatiwa ukakasi na kuelezewa uozo wake, basi hiki wanachofanya saivi wameenda mbele zaidi. Yani wameamua sasa wachukue bandari zote kabisa, mpaka njia zake na maegesho wamechukua.
Kiufupi, Kalamu , denooJ , Glenn , kasomeni ile stori ya yoga , jamaa syndicate yao imeamua ipige pigo moja, na limalize kila kitu nchi nzima, wao na vizazi vyao watakula miaka 200 ijayo.
Na wanaharakisha kila kitu fasta sana, ili ikitokea akaja mwingine akavunja, basi "demages" watazolipwa ni kubwa sana.
Hujiulizi hadi early projects eti zimeshaanza hata kabla ya kuwa ratified.
Kiufupi wametushika paba
Binafsi napata pain ambayo sijawahi ku experience .hivi kunawanasiasa wa CCM ambao wamechefukwa na hili?Mkuu CWR2016
Umeeleza vyema kabisa.
Hili suala la BANDARI ninakuhakikishia ni jambo ambalo lonaenda kutuunganisha wa Bara.
Leo hii ccm na upinzani na wanasheria wanaongea lugha moja mkuu hii haijawahi kutokea.
Ninakuhakikishia kuna kitu kizito kinakuja na si muda mrefu.
Ni bora uvunjwe huu mkataba tuwalipe matrilioni kuliko mkataba huu kuendelea.
Ninahisi hasira sana katika hili.
Wengi tu.Binafsi napata pain ambayo sijawahi ku experience .hivi kunawanasiasa wa CCM ambao wamechefukwa na hili?
Rabish!Bila nguvu ya umma huyu mama atatuuza.
Uhakika ni kwamba wapo, ila hawana nguvu.Binafsi napata pain ambayo sijawahi ku experience .hivi kunawanasiasa wa CCM ambao wamechefukwa na hili?
tutauzwa huku tunaona?umma
Ngoja Rais awe Mdude CHADEMA, NDIO MTAJUA MAANA YA KIBURI.Sikuwahi kuwaza kuwa Samia ana kiburi namna hii.
Yuko insensitive kabisa na kitendo hiki kibaya kabisa anachokifanya!
Kwa kweli hii ni zaidi ya dharau kwa umma.
Shida kubwa ipo kwenye katiba kama tungekuwa katiba bora hata chama kikae madarakani milele huu ujinga usingekuwa unafanyika sasa kiongozi anakinga hadi kufa kwake utamuambia niniHuu ni uhaini.
Hivi Jeshi la Wananchi wa Tanzania liko wapi kuzuia hii Treason?
Au siku hizi Jeshi letu limebaki na mambo ya kupasua matofali kwa kichwa ila haliwezi kuzuia Uhaini wa wazi namna hii?