Serikali imependekeza Sheria zinazolinda Maliasili na Kuikinga Nchi na Mikataba Mibovu zisitumike kwa DP World

Serikali imependekeza Sheria zinazolinda Maliasili na Kuikinga Nchi na Mikataba Mibovu zisitumike kwa DP World

SHERIA (muswada huu) HII NDIO MKOMBOZI WA TAIFA ,
SIYO MAKELELE YA WANA MITANDAO KUPINGA MWARABU
 
Wazalendo wengi waliopo CCM walianza kuonyesha uthubutu wao toka walipokuwa watoto wadogo kabisa.
IMG_20230704_182208.jpg
 
Sikuwahi kuwaza kuwa Samia sna kiburi namna hii.

Yuko insensitive kabisa na kitendo hiki kibaya kabisa anachokifanya!

Kwa kweli hii ni zaidi ya dharau kwa umma.
Yule Mama akiwaona Waarabu anafurahi mpaka jina la mwisho linaonekana!
Wazanzibar wanajiona na wao ni Waarabu!
 
Sikuwahi kuwaza kuwa Samia sna kiburi namna hii.

Yuko insensitive kabisa na kitendo hiki kibaya kabisa anachokifanya!

Kwa kweli hii ni zaidi ya dharau kwa umma.
Hata Mimi sikuwahi kabisa kufikiri Mh Rais wetu huyu atakuwa na kibri mithili ya kiasi hiki

Nawaza huenda huyu sio yeye. Lakini kama sio yeye, kwa nini haweki reverse gear. Ni mbele kwa mbele, hajali kabisa.
 
Huu ni uhaini.

Hivi Jeshi la Wananchi wa Tanzania liko wapi kuzuia hii Treason?

Au siku hizi Jeshi letu limebaki na mambo ya kupasua matofali kwa kichwa ila haliwezi kuzuia Uhaini wa wazi namna hii?
Nachojiuliza, hata kama ni jema, kwani Samia ana haraka gani?!

Mbona model yake ya uongozi, haitaki muda wa kuwaelewesha watu wake?!

Mfano, kwa nini asiandae na kupokea maoni kwanza kwa mambo makubwa kama haya.

Mbona mengine anaunda Tume mbalimbali.

Kweli Samia ana kibri namna hii
 
View attachment 2678469
Serikali ya Samia imepeleka muswada wa mabadiliko ya sheria kadhaa bungeni ili sheria zote za zamani zinazokinzana na mkataba na DP world zibadilishwe ili ziendane na hiyo IGA ya Dubai Ports World ‼️

Angalieni

Muswada wa The Written Laws (Misc Amendment) No. 2 Bill, 2023 umesomwa kwa mara ya Kwanza tr. 28 June 2023. Kamati ya Utawala Katiba na Sheria itauchambua kwenye vikao vya Kamati Mwezi wa Nane (Kuanzia 14 August).
 

Attachments

  • IMG_20230323_192240.jpg
    IMG_20230323_192240.jpg
    18.3 KB · Views: 3
View attachment 2678469
Serikali ya Samia imepeleka muswada wa mabadiliko ya sheria kadhaa bungeni ili sheria zote za zamani zinazokinzana na mkataba na DP world zibadilishwe ili ziendane na hiyo IGA ya Dubai Ports World ‼️

Angalieni

Muswada wa The Written Laws (Misc Amendment) No. 2 Bill, 2023 umesomwa kwa mara ya Kwanza tr. 28 June 2023. Kamati ya Utawala Katiba na Sheria itauchambua kwenye vikao vya Kamati Mwezi wa Nane (Kuanzia 14 August).

Muswada huu unapendekeza kufanya marekebisho katika Sheria Tano ikiwemo :

1. Sheria ya Chuo cha
Bahari Dar es Salaam, Sura ya 253;

2. Sheria ya Mamlaka ya Nchi
Kuhusiana na Umiliki wa Mali na Rasilimali Asilia, Sura ya 449;

3. Sheria ya Mamlaka ya Nchi Kuhusu Utajiri na Maliasilia za Nchi (Mapitio ya
Mikataba na Majadiliano Kuhusu Masharti Hasi), Sura ya 450 na

Hii ni sawa na kutudharau wananchi
Wanasema “kwani watatufanya nini?”
Jamani mliokuwa mnamsifia eti ni msikivu mbona mko kimya? 🤣
#TutaelewanaTu lakini

=============

Taarifa hii ni kwa Kwa mujibu wa Muswada wa Marebisho ya Sheria Mbalimbali No. 2 wa mwaka 2023 uliosomwa kwa mara kwanza Bungeni Dodoma, Juni 28, 2023.

Muswada huo unapendekeza kutotumika kwa Sheria mbili zilizopitishwa na Bunge mwaka 2017 kwa madhumuni ya Kulinda Rasilimali zote za Tanzania katika Miradi ya Uendelezaji na Uboreshaji wa Bandari endapo itakuwa imesharidhiwa na Baraza la Mawaziri.

Katika mapendekezo ya mabadiliko hayo, Muswada unataka Sheria hizi zisitumike ili kuwezesha Bandari za Tanzania zifanye kazi kwa Viwango vya Kimataifa zikipata Meli kubwa za Mizigo mikubwa.

Sheria ya Mamlaka ya Nchi Kuhusiana na Umiliki wa Maliasili. The Natural Wealth and Resources (Permanent Sovereignity) Act, 2017

Sheria inaweka bayana kuwa Maliasili ni mali ya Watanzania na zinasimamiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa niaba yao.

Inaeleza kuwa Mikataba yote ya Uwekezaji katika Maliasili inatakiwa kuidhiniswa na Bunge.

Sheria inaweka wazi kuwa makubaliano yoyote ya Uwekezaji lazima yazingatie Uhuru na Haki ya Umiliki wa Watanzania juu ya Maliasili yao.

Inazuia utoroshaji wa Fedha zinazopatikana katika Uwekezaji wa Maliasili.

Sheria ya Mapitia na Majadiliano Kuhusu Masharti Hasi Katika Mikataba ya Maliasili za Nchi. The Natural Wealth and Resorces Contracts (Review and Re-negotiations of Unconscionable Terms) Act, 2027

Sheria inalipa Nguvu Bunge kupitia Mikataba yote inayoingiwa na Serikali kuhusiana na Maliasili za Tanzania.

Sheria hii kwa kupitia vifungu vyake inaweza vigezo kuwa Serikali inaweza kupitia upya Mikataba na Makubaliano ambayo hayana Maslahi kwa Taifa.
Ndugu zangu watanzania,shida ni kuziruhusu zile sheria za mwendo kasi kupitishwa kiharamia ambazo pamoja na mengine ni zile kinga za kutoshtakiwa baadhi pindi wawapo ofisini ama baada ya kutoka ofisini,na kwa sababu hizi ndio sababu ya kutopata hata katiba mpya kwani kinga ni tamu,kuliko katiba mpya.🤔
 
Sheria hii kwa kupitia vifungu vyake inaweza vigezo kuwa Serikali inaweza kupitia upya Mikataba na Makubaliano ambayo hayana Maslahi kwa Taifa.
"Kupitia upya" ni ya nini, wakati wakati kinachotakiwa sasa hivi ni kuwa na mikataba isiyo hatarishi kwa nchi yetu?

Kwa haya wanayoyafanya hawa watu ni wazi kuwa wanatafuta machafuko ndani ya nchi hii.
Hii siyo kawaida hata kidogo.
 
Back
Top Bottom