Serikali imependekeza Sheria zinazolinda Maliasili na Kuikinga Nchi na Mikataba Mibovu zisitumike kwa DP World

Serikali imependekeza Sheria zinazolinda Maliasili na Kuikinga Nchi na Mikataba Mibovu zisitumike kwa DP World

Hilo bunge linakaa nyumbani kwenu? Kuna bunge sahivi? Hivi huoni aibu kuleta uzushi wa kipuuzi km huu? Acheni rais afanye kazi yake, km we unaihitaji subiri 2025 uchukue fomu.
Wewe ni mjinga..!

Kabla ya kubwatukia wenzako hovyo, uwe na ufahamu na uelewa wa jambo unalosoma...

Na kwa hili, obvious wewe ni aidha hujui steps ambazo bunge hufuata linapotunga au kurekebisha sheria yeyote ile au unajua lakini umesoma haraka haraka na pasipo kuelewa, ignorantly ukaanza kumbwatukia tu mleta hoja... .

Kwani wewe huoni hapo juu kuwa jamaa kaandika kabisa kuwa mswaada umesomwa kwa mara ya kwanza tarehe 28/6/2023..?
 
Sikuwahi kuwaza kuwa Samia ana kiburi namna hii.

Yuko insensitive kabisa na kitendo hiki kibaya kabisa anachokifanya!

Kwa kweli hii ni zaidi ya dharau kwa umma.
Kinachoshangaza hasa ni kuwa wala hatoi jasho kuyafanya madudu yote haya!

Nina maana ya kwamba, hana uwezo wa ushawishi juu ya anayotaka kuyafanya ili watu wayaelewe na kuunga mkono kama wanaona anayofanya rais wao ni mambo mazuri.

Uwezo wa kufanya hivyo, hana, siyo kwa wananchi kijumla, hata ndani ya chama chake siyo mtu unayeweza kudhani anaowaongoza huko ndani ya chama wanamwona kuwa mtu mwenye ushawishi mkubwa.

Hilo la kukosa uwezo wa ushawishi ni moja.

Lingine ni kuwa HATISHI.
Kwa mwonekano na hata katika haiba yake siyo mtu wa kumtisha mwingine, tofauti kabisa na mtangulizi wake.

Angekuwa ni mtu wa kutisha, hapo tungeanza kufikiri kuwa pengine huko ndani ya vikao vyake na Mawaziri wake na huko kwenye chama kama mwenyekiti, tungefikiri kwamba watu wenye akili zao wanaburuzwa kwa vitisho anavyowatolea huko ili pasiwepo mtu wa kuhoji. Samia hana hii sifa.

Samia hana uwezo mkubwa wa KIFIKRA, kudhani kwamba anapotoa hoja zake zinawachanganya wengi na kukosa majibu ya kumkabili juu ya hoja zake hizo.

Kwa hiyo, utaona kwamba kuna kitu/sifa aliyo nayo Samia inayomuwezesha kuwanyamazisha wengine wote katika hao watu walio kwenye nafasi za kuhoji au kudadisi anayoyapendekeza Samia.

Sifa pakee ni kuwa anajua namna ya kutumia mwanya wa taratibu zilizoko ndani ya chama chake na ndani ya serikali katika kuwanyamazisha wote amabo wangependa kupinga maamuzi anayoyasimamia yeye.

Tumekuwa nchi ya viongozi wanaotafuta maslahi binafsi, kufaidika binafsi bila kuweka maslahi ya nchi mbele

Kila kiongozi anawaza, akisema jambo, atapoteza nafasi ya ulaji. Kwa hiyo ni bora kukaa kimya

Hii pekee ndiyo anayoitumia Samia kwa sasa hivi.

Lakini, kwa bahati nzuri sana kwetu, hili dudu la DPWorld, litaamusha wengi hata waliolala siku nyingi.

Hapa ameshika pagumu.. Sijui atakavyojinasua na hili.
 
View attachment 2678469
Serikali ya Samia imepeleka muswada wa mabadiliko ya sheria kadhaa bungeni ili sheria zote za zamani zinazokinzana na mkataba na DP world zibadilishwe ili ziendane na hiyo IGA ya Dubai Ports World ‼️

Angalieni

Muswada wa The Written Laws (Misc Amendment) No. 2 Bill, 2023 umesomwa kwa mara ya Kwanza tr. 28 June 2023. Kamati ya Utawala Katiba na Sheria itauchambua kwenye vikao vya Kamati Mwezi wa Nane (Kuanzia 14 August).

Muswada huu unapendekeza kufanya marekebisho katika Sheria Tano ikiwemo :

1. Sheria ya Chuo cha
Bahari Dar es Salaam, Sura ya 253;

2. Sheria ya Mamlaka ya Nchi
Kuhusiana na Umiliki wa Mali na Rasilimali Asilia, Sura ya 449;

3. Sheria ya Mamlaka ya Nchi Kuhusu Utajiri na Maliasilia za Nchi (Mapitio ya
Mikataba na Majadiliano Kuhusu Masharti Hasi), Sura ya 450 na

Hii ni sawa na kutudharau wananchi
Wanasema “kwani watatufanya nini?”
Jamani mliokuwa mnamsifia eti ni msikivu mbona mko kimya? 🤣
#TutaelewanaTu lakini

=============

Taarifa hii ni kwa Kwa mujibu wa Muswada wa Marebisho ya Sheria Mbalimbali No. 2 wa mwaka 2023 uliosomwa kwa mara kwanza Bungeni Dodoma, Juni 28, 2023.

Muswada huo unapendekeza kutotumika kwa Sheria mbili zilizopitishwa na Bunge mwaka 2017 kwa madhumuni ya Kulinda Rasilimali zote za Tanzania katika Miradi ya Uendelezaji na Uboreshaji wa Bandari endapo itakuwa imesharidhiwa na Baraza la Mawaziri.

Katika mapendekezo ya mabadiliko hayo, Muswada unataka Sheria hizi zisitumike ili kuwezesha Bandari za Tanzania zifanye kazi kwa Viwango vya Kimataifa zikipata Meli kubwa za Mizigo mikubwa.

Sheria ya Mamlaka ya Nchi Kuhusiana na Umiliki wa Maliasili. The Natural Wealth and Resources (Permanent Sovereignity) Act, 2017

Sheria inaweka bayana kuwa Maliasili ni mali ya Watanzania na zinasimamiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa niaba yao.

Inaeleza kuwa Mikataba yote ya Uwekezaji katika Maliasili inatakiwa kuidhiniswa na Bunge.

Sheria inaweka wazi kuwa makubaliano yoyote ya Uwekezaji lazima yazingatie Uhuru na Haki ya Umiliki wa Watanzania juu ya Maliasili yao.

Inazuia utoroshaji wa Fedha zinazopatikana katika Uwekezaji wa Maliasili.

Sheria ya Mapitia na Majadiliano Kuhusu Masharti Hasi Katika Mikataba ya Maliasili za Nchi. The Natural Wealth and Resorces Contracts (Review and Re-negotiations of Unconscionable Terms) Act, 2027

Sheria inalipa Nguvu Bunge kupitia Mikataba yote inayoingiwa na Serikali kuhusiana na Maliasili za Tanzania.

Sheria hii kwa kupitia vifungu vyake inaweza vigezo kuwa Serikali inaweza kupitia upya Mikataba na Makubaliano ambayo hayana Maslahi kwa Taifa.
Duu CCM bana, wanazidi kutengeneza mabomu ambayo yatawalipukia wenyewe na hatimaye nchi nzima From uncertainty to uncertainty inherent
 
Hafu msoga alikuwa anatusubiri hasa kwenye issue ya bandari iliyomponyoka mara ya Kwanza.
Haswa.
Ndio maana ninasisitiza kuwa hii ishu ya bandari mastermind wake ni Msoga kwani alianza kitambo akiwa madarakani.
Ilikuwa Bagamoyo na sasa ni kitovuni
 
Serikali ya Samia imepeleka muswada wa mabadiliko ya sheria kadhaa bungeni ili sheria zote za zamani zinazokinzana na mkataba na DP world zibadilishwe ili ziendane na hiyo IGA ya Dubai Ports World ‼️
Ikitokea kuwepo na 'Firing squad' baada ya yote haya, ningependekeza kuanza na watu kama Kabouti Kalamagamba, na yule chifu wa Magufuli (Katibu Mkuu Kiongozi).

Hawa watu kukaa Bungeni na kuwa kama masanamu ni uhaini wa hali ya juu sana kuwahi kutokea.
 
View attachment 2678469
Serikali ya Samia imepeleka muswada wa mabadiliko ya sheria kadhaa bungeni ili sheria zote za zamani zinazokinzana na mkataba na DP world zibadilishwe ili ziendane na hiyo IGA ya Dubai Ports World ‼️

Angalieni

Muswada wa The Written Laws (Misc Amendment) No. 2 Bill, 2023 umesomwa kwa mara ya Kwanza tr. 28 June 2023. Kamati ya Utawala Katiba na Sheria itauchambua kwenye vikao vya Kamati Mwezi wa Nane (Kuanzia 14 August).

Muswada huu unapendekeza kufanya marekebisho katika Sheria Tano ikiwemo :

1. Sheria ya Chuo cha
Bahari Dar es Salaam, Sura ya 253;

2. Sheria ya Mamlaka ya Nchi
Kuhusiana na Umiliki wa Mali na Rasilimali Asilia, Sura ya 449;

3. Sheria ya Mamlaka ya Nchi Kuhusu Utajiri na Maliasilia za Nchi (Mapitio ya
Mikataba na Majadiliano Kuhusu Masharti Hasi), Sura ya 450 na

Hii ni sawa na kutudharau wananchi
Wanasema “kwani watatufanya nini?”
Jamani mliokuwa mnamsifia eti ni msikivu mbona mko kimya? 🤣
#TutaelewanaTu lakini

=============

Taarifa hii ni kwa Kwa mujibu wa Muswada wa Marebisho ya Sheria Mbalimbali No. 2 wa mwaka 2023 uliosomwa kwa mara kwanza Bungeni Dodoma, Juni 28, 2023.

Muswada huo unapendekeza kutotumika kwa Sheria mbili zilizopitishwa na Bunge mwaka 2017 kwa madhumuni ya Kulinda Rasilimali zote za Tanzania katika Miradi ya Uendelezaji na Uboreshaji wa Bandari endapo itakuwa imesharidhiwa na Baraza la Mawaziri.

Katika mapendekezo ya mabadiliko hayo, Muswada unataka Sheria hizi zisitumike ili kuwezesha Bandari za Tanzania zifanye kazi kwa Viwango vya Kimataifa zikipata Meli kubwa za Mizigo mikubwa.

Sheria ya Mamlaka ya Nchi Kuhusiana na Umiliki wa Maliasili. The Natural Wealth and Resources (Permanent Sovereignity) Act, 2017

Sheria inaweka bayana kuwa Maliasili ni mali ya Watanzania na zinasimamiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa niaba yao.

Inaeleza kuwa Mikataba yote ya Uwekezaji katika Maliasili inatakiwa kuidhiniswa na Bunge.

Sheria inaweka wazi kuwa makubaliano yoyote ya Uwekezaji lazima yazingatie Uhuru na Haki ya Umiliki wa Watanzania juu ya Maliasili yao.

Inazuia utoroshaji wa Fedha zinazopatikana katika Uwekezaji wa Maliasili.

Sheria ya Mapitia na Majadiliano Kuhusu Masharti Hasi Katika Mikataba ya Maliasili za Nchi. The Natural Wealth and Resorces Contracts (Review and Re-negotiations of Unconscionable Terms) Act, 2027

Sheria inalipa Nguvu Bunge kupitia Mikataba yote inayoingiwa na Serikali kuhusiana na Maliasili za Tanzania.

Sheria hii kwa kupitia vifungu vyake inaweza vigezo kuwa Serikali inaweza kupitia upya Mikataba na Makubaliano ambayo hayana Maslahi kwa Taifa.
Wenye nchi wameshaamua kufanya watakalo na hamna cha kufanya.

Matokeo ya kuchagua mafisadi ndio haya, mnavuna mlichopanda.
 
Hafu msoga alikuwa anatusubiri hasa kwenye issue ya bandari iliyomponyoka mara ya Kwanza.
Kwenye ishu ya bagamoyo port.

Iko hivi, baada ya wao kuona ilishatiwa ukakasi na kuelezewa uozo wake, basi hiki wanachofanya saivi wameenda mbele zaidi. Yani wameamua sasa wachukue bandari zote kabisa, mpaka njia zake na maegesho wamechukua.

Kiufupi, Kalamu , denooJ , Glenn , kasomeni ile stori ya yoga , jamaa syndicate yao imeamua ipige pigo moja, na limalize kila kitu nchi nzima, wao na vizazi vyao watakula miaka 200 ijayo.

Na wanaharakisha kila kitu fasta sana, ili ikitokea akaja mwingine akavunja, basi "demages" watazolipwa ni kubwa sana.

Hujiulizi hadi early projects eti zimeshaanza hata kabla ya kuwa ratified.

Kiufupi wametushika pabaya
 
Ikitokea kuwepo na 'Firing squad' baada ya yote haya, ningependekeza kuanza na watu kama Kabouti Kalamagamba, na yule chifu wa Magufuli (Katibu Mkuu Kiongozi).

Hawa watu kukaa Bungeni na kuwa kama masanamu ni uhaini wa hali ya juu sana kuwahi kutokea.
Ndo ujue mkuu nchi haina watu bali wachunia tumbo
 
Back
Top Bottom