Serikali imependekeza Sheria zinazolinda Maliasili na Kuikinga Nchi na Mikataba Mibovu zisitumike kwa DP World

Serikali imependekeza Sheria zinazolinda Maliasili na Kuikinga Nchi na Mikataba Mibovu zisitumike kwa DP World

Mkuu CWR2016
Umeeleza vyema kabisa.
Hili suala la BANDARI ninakuhakikishia ni jambo ambalo lonaenda kutuunganisha wa Bara.

Leo hii ccm na upinzani na wanasheria wanaongea lugha moja mkuu hii haijawahi kutokea.

Ninakuhakikishia kuna kitu kizito kinakuja na si muda mrefu.

Ni bora uvunjwe huu mkataba tuwalipe matrilioni kuliko mkataba huu kuendelea.

Ninahisi hasira sana katika hili.
Hizo pesa za kuwalipa zinatoka wapi mkataba ukivunjwa,huu ni ujinga labda tumuweke Tundu Lissu ikulu atusaidie kupiga mnada mali za ccm tuwalipe.
 
View attachment 2678469
Serikali ya Samia imepeleka muswada wa mabadiliko ya sheria kadhaa bungeni ili sheria zote za zamani zinazokinzana na mkataba na DP world zibadilishwe ili ziendane na hiyo IGA ya Dubai Ports World ‼️

Serikali imependekeza Sheria zinazolinda Maliasili na Kuikinga Nchi na Mikataba Mibovu zisitumike kwa DP World​


Serikali ya Samia imepeleka muswada wa mabadiliko ya sheria kadhaa bungeni ili sheria zote za zamani zinazokinzana na mkataba na DP world zibadilishwe ili ziendane na hiyo IGA ya Dubai Ports World.

Muswada wa "The Written Laws (Misc Amendment) No. 2 Bill, 2023" umesomwa kwa mara ya Kwanza tarehe 28 June 2023. Kamati ya Utawala Katiba na Sheria itauchambua kwenye vikao vya Kamati Mwezi wa Nane (Kuanzia 14 August).

Muswada huu unapendekeza kufanya marekebisho katika Sheria Tano ikiwemo: (1) Sheria ya Chuo cha Bahari Dar es Salaam, Sura ya 253; (2) Sheria ya Mamlaka ya Nchi Kuhusiana na Umiliki wa Mali na Rasilimali Asilia, Sura ya 449; (3) Sheria ya Mamlaka ya Nchi Kuhusu Utajiri na Maliasilia za Nchi (Mapitio ya Mikataba na Majadiliano Kuhusu Masharti Hasi), Sura ya 450.

Muswada huo unapendekeza kutotumika kwa Sheria mbili zilizopitishwa na Bunge mwaka 2017 kwa madhumuni ya Kulinda Rasilimali zote za Tanzania katika Miradi ya Uendelezaji na Uboreshaji wa Bandari endapo itakuwa imesharidhiwa na Baraza la Mawaziri.

Katika mapendekezo ya mabadiliko hayo, Muswada unataka Sheria hizi zisitumike ili kuwezesha Bandari za Tanzania zifanye kazi kwa Viwango vya Kimataifa zikipata Meli kubwa za Mizigo mikubwa. Vifungu vya wali na mabadiliko yanayopendekezwa ni kama ifuatavyo:

Jina la muswada wa marekebisho ya Sheria hili hapa:

1688511715117.png


Marekebisho ya kwanza yanayopendekezwa haya hapa:

1688512050589.png

1688512073169.png


Sheria mama ya 2017 inayotakiwa kubadilishwa inasea haya (katika aya ya 36, maneno "section 2" hapo juu yasomeke kamma "section 11"):

1688512906163.png

1688512951228.png


Marekebisho ya pili yanayopendekezwa haya hapa:

1688512122417.png

1688512158048.png


Sheria mama ya 2017 inayotakiwa kubadilishwa inasea haya (katika aya ya 38 hapo juu maneno "section 2" yasomeke "section 7"):

1688513312843.png


Hiyo ndiyo nguvu ya Waarabu wa Dubai!
 

Attachments

  • 1688511785655.png
    1688511785655.png
    11.1 KB · Views: 2
  • 1688511812226.png
    1688511812226.png
    12.5 KB · Views: 2
Hilo bunge linakaa nyumbani kwenu? Kuna bunge sahivi? Hivi huoni aibu kuleta uzushi wa kipuuzi km huu? Acheni rais afanye kazi yake, km we unaihitaji subiri 2025 uchukue fomu.
Unajua maana ya kusomwa mara ya Kwanza wewe mkurupuKaji? Umeambiwa sheria imesomwa bungeni Kwa mara ya kwanza kwenye Bunge la bajeti unatakaje zaidi?
 
View attachment 2678469
Serikali ya Samia imepeleka muswada wa mabadiliko ya sheria kadhaa bungeni ili sheria zote za zamani zinazokinzana na mkataba na DP world zibadilishwe ili ziendane na hiyo IGA ya Dubai Ports World ‼️

Angalieni

Muswada wa The Written Laws (Misc Amendment) No. 2 Bill, 2023 umesomwa kwa mara ya Kwanza tr. 28 June 2023. Kamati ya Utawala Katiba na Sheria itauchambua kwenye vikao vya Kamati Mwezi wa Nane (Kuanzia 14 August).

Muswada huu unapendekeza kufanya marekebisho katika Sheria Tano ikiwemo :

1. Sheria ya Chuo cha
Bahari Dar es Salaam, Sura ya 253;

2. Sheria ya Mamlaka ya Nchi
Kuhusiana na Umiliki wa Mali na Rasilimali Asilia, Sura ya 449;

3. Sheria ya Mamlaka ya Nchi Kuhusu Utajiri na Maliasilia za Nchi (Mapitio ya
Mikataba na Majadiliano Kuhusu Masharti Hasi), Sura ya 450 na

Hii ni sawa na kutudharau wananchi
Wanasema “kwani watatufanya nini?”
Jamani mliokuwa mnamsifia eti ni msikivu mbona mko kimya? 🤣
#TutaelewanaTu lakini

=============

Taarifa hii ni kwa Kwa mujibu wa Muswada wa Marebisho ya Sheria Mbalimbali No. 2 wa mwaka 2023 uliosomwa kwa mara kwanza Bungeni Dodoma, Juni 28, 2023.

Muswada huo unapendekeza kutotumika kwa Sheria mbili zilizopitishwa na Bunge mwaka 2017 kwa madhumuni ya Kulinda Rasilimali zote za Tanzania katika Miradi ya Uendelezaji na Uboreshaji wa Bandari endapo itakuwa imesharidhiwa na Baraza la Mawaziri.

Katika mapendekezo ya mabadiliko hayo, Muswada unataka Sheria hizi zisitumike ili kuwezesha Bandari za Tanzania zifanye kazi kwa Viwango vya Kimataifa zikipata Meli kubwa za Mizigo mikubwa.

Sheria ya Mamlaka ya Nchi Kuhusiana na Umiliki wa Maliasili. The Natural Wealth and Resources (Permanent Sovereignity) Act, 2017

Sheria inaweka bayana kuwa Maliasili ni mali ya Watanzania na zinasimamiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa niaba yao.

Inaeleza kuwa Mikataba yote ya Uwekezaji katika Maliasili inatakiwa kuidhiniswa na Bunge.

Sheria inaweka wazi kuwa makubaliano yoyote ya Uwekezaji lazima yazingatie Uhuru na Haki ya Umiliki wa Watanzania juu ya Maliasili yao.

Inazuia utoroshaji wa Fedha zinazopatikana katika Uwekezaji wa Maliasili.

Sheria ya Mapitia na Majadiliano Kuhusu Masharti Hasi Katika Mikataba ya Maliasili za Nchi. The Natural Wealth and Resorces Contracts (Review and Re-negotiations of Unconscionable Terms) Act, 2027

Sheria inalipa Nguvu Bunge kupitia Mikataba yote inayoingiwa na Serikali kuhusiana na Maliasili za Tanzania.

Sheria hii kwa kupitia vifungu vyake inaweza vigezo kuwa Serikali inaweza kupitia upya Mikataba na Makubaliano ambayo hayana Maslahi kwa Taifa.
Wacha kutulisha maneno yako, weka hayo mabadiliko yanayotakiwa yabadilishwe. Mbona umetaja vifungu ukaweka porojo zako badala ya hayo ya muswaa sasa hivi yako vipi na mapendekezo yatayobadilishwwa yako hivi. Sijaona..

DP World inahusiana nini na sheria zenu za ndani?

Wacha soinning.
 
Uchumi wa tanzania unachangiwa asilimia kubwa na mapato yatokana na revenue za bandari , approximate zaidi ya asilimia 40 , nazani ....


TICTS co. Walikuwepo for 26 years and they left ..sasa hii DP world inataka ipewe for indifinitely time pamoja na ku meet their contractual demands like TAX free , free to monitor all economic sector in the country ....

huku sisi tukipapaswa mikodi kama yote.....mpaka. Hela ya kula kesho inalipia kodi ili ku meet government expenses or public costs....


Sasa hii kiti kumpa mtu mmoja for indifinitely period .....afuu dahhh




Siku nikisikia Huyu mtu akitoka ofisini. Na kusema ""nimejiuzulu nafasi hii ya uraisi"" nchi italipuks kwa shangwe mnoooo
 
Uchumi wa tanzania unachangiwa asilimia kubwa na mapato yatokana na revenue za bandari , approximate zaidi ya asilimia 40 , nazani ....


TICTS co. Walikuwepo for 26 years and they left ..sasa hii DP world inataka ipewe for indifinitely time pamoja na ku meet their contractual demands like TAX free , free to monitor all economic sector in the country ....

huku sisi tukipapaswa mikodi kama yote.....mpaka. Hela ya kula kesho inalipia kodi ili ku meet government expenses or public costs....


Sasa hii kiti kumpa mtu mmoja for indifinitely period .....afuu dahhh




Siku nikisikia Huyu mtu akitoka ofisini. Na kusema ""nimejiuzulu nafasi hii ya uraisi"" nchi italipuks kwa shangwe mnoooo
Mkataba wa DP WORLD na TPA uko wapi?
 
Bibi
Mkataba wa DP WORLD na TPA uko wapi?
shida sio mkataba (contract) bali. Yaliyomo ndani humo ndani ndani bibi elewa elewa elewaaaa ,,,, maneno yaliyo tumika ni kama tumefanywa double standards , kwamba ikitokea material breach hakuna kuvunja mkataba bali utaendelea tuuu , without any legal actions ????
 
Dah ama kweli Kuwa uyaone





Wazazi wetu walituambia kuwa uyaone....tunayaona sasa tumesoma , na tukasoma. Now tunatumia elimu kupambanua maisha. Dah
 
Hilo bunge linakaa nyumbani kwenu? Kuna bunge sahivi? Hivi huoni aibu kuleta uzushi wa kipuuzi km huu? Acheni rais afanye kazi yake, km we unaihitaji subiri 2025 uchukue fomu.
Kama hujui kusoma acha walioelewa wachangie umeambiwa bunge litakaa August. Usijitoe ufahamu kwa kutetea waarabu.
 
Back
Top Bottom