Serikali imlipe Tundu Lissu gharama zake za matibabu

Serikali imlipe Tundu Lissu gharama zake za matibabu

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Juzi wakati Tundu Lissu akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu kuvuja kwa taarifa ya mauaji yake alilalamikia sana Serikali kuwa haijamlipa gharama zake za matibabu mpaka leo.

Serikali yetu ina upendo, mshikamano na tuko wamoja pia ni Serikali inayozingatia sheria, taratibu na kanuni ni sababu gani inayozuia Tundu Lissu asilipwe?

Sasa hivi tuna 4R ambayo ni Reconcilliation, Reform, Resilience na Rebuilding haya yote yanatuongoza kwenye upendo sasa kwa nini asilipwe?

Sheria zipo na ziko wazi kuhusu malipo yake ni vyema sasa akalipwa gharama zake zote za matibabu zilizochukua muda mrefu tangu apigwe risasi 16 na Mungu akamnusuru.
 
Serikali haina shida kulipa mradi taaratibu za kwenda kutibiwa nje kama zilizngatiwa.

Kama vile kupata kibali cha kwenda kutibiwa nje toka wizara ya afya baada ya hospitali zetu kuona hiyo kesi inahitaji mtu kwenda kutibiwa nje.

Raisi ni mlinzi wa sheria na katiba zikiwemo za malipo ya matibabu baada ya kujihakikishia sheria na taratibu zilizangitiwa.

Huwezi jiondokea tu kwenda kutibiwa nje bila kupata vibali halafu urudi kudai Serikali ikulipe gharama za matibabu kuwa ni stahili yako!
 
Lisu husimuachie makonda ata cm 1 huyu ndo anavuruga amani yetu ni adui namba 1
 
Juzi wakati Tundu Lissu akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu kuvuja kwa taarifa ya mauaji yake alilalamikia sana Serikali kuwa haijamlipa gharama zake za matibabu mpaka leo.

Serikali yetu ina upendo, mshikamano na tuko wamoja pia ni Serikali inayozingatia sheria, taratibu na kanuni ni sababu gani inayozuia Tundu Lissu asilipwe?

Sasa hivi tuna 4R ambayo ni Reconcilliation, Reform, Resilience na Rebuilding haya yote yanatuongoza kwenye upendo sasa kwa nini asilipwe?

Sheria zipo na ziko wazi kuhusu malipo yake ni vyema sasa akalipwa gharama zake zote za matibabu zilizochukua muda mrefu tangu apigwe risasi 16 na Mungu akamnusuru.
Serikali ipi wakati alisema haitambui serikali iliyopo madarakani?? Huyo nae kichekesho Leo anasema haitambui serikali ila mishahara yote ya miaka zaidi ya 4 kalipwa na serikali asiyoitambua.

Viongozi wa siasa wengine wanataka vijana tuchukie siasa kwa ujinga wao
 
Juzi wakati Tundu Lissu akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu kuvuja kwa taarifa ya mauaji yake alilalamikia sana Serikali kuwa haijamlipa gharama zake za matibabu mpaka leo.

Serikali yetu ina upendo, mshikamano na tuko wamoja pia ni Serikali inayozingatia sheria, taratibu na kanuni ni sababu gani inayozuia Tundu Lissu asilipwe?

Sasa hivi tuna 4R ambayo ni Reconcilliation, Reform, Resilience na Rebuilding haya yote yanatuongoza kwenye upendo sasa kwa nini asilipwe?

Sheria zipo na ziko wazi kuhusu malipo yake ni vyema sasa akalipwa gharama zake zote za matibabu zilizochukua muda mrefu tangu apigwe risasi 16 na Mungu akamnusuru.
Sirikali ipi tena? Hii hii anayoitukana?
 
Juzi wakati Tundu Lissu akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu kuvuja kwa taarifa ya mauaji yake alilalamikia sana Serikali kuwa haijamlipa gharama zake za matibabu mpaka leo.

Serikali yetu ina upendo, mshikamano na tuko wamoja pia ni Serikali inayozingatia sheria, taratibu na kanuni ni sababu gani inayozuia Tundu Lissu asilipwe?

Sasa hivi tuna 4R ambayo ni Reconcilliation, Reform, Resilience na Rebuilding haya yote yanatuongoza kwenye upendo sasa kwa nini asilipwe?

Sheria zipo na ziko wazi kuhusu malipo yake ni vyema sasa akalipwa gharama zake zote za matibabu zilizochukua muda mrefu tangu apigwe risasi 16 na Mungu akamnusuru.
Baada ya kujiridhisha na kwa wakati muafaka kadiri inavyofaa malalamiko yake yatapokelewa na mamlaka husuka ikiwa atawasilisha panapohusika na ikiwa anastahili kulingana na taratibu za kiutumishi vinginevyo itakua vigumu 🐒
 
Juzi wakati Tundu Lissu akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu kuvuja kwa taarifa ya mauaji yake alilalamikia sana Serikali kuwa haijamlipa gharama zake za matibabu mpaka leo.

Serikali yetu ina upendo, mshikamano na tuko wamoja pia ni Serikali inayozingatia sheria, taratibu na kanuni ni sababu gani inayozuia Tundu Lissu asilipwe?

Sasa hivi tuna 4R ambayo ni Reconcilliation, Reform, Resilience na Rebuilding haya yote yanatuongoza kwenye upendo sasa kwa nini asilipwe?

Sheria zipo na ziko wazi kuhusu malipo yake ni vyema sasa akalipwa gharama zake zote za matibabu zilizochukua muda mrefu tangu apigwe risasi 16 na Mungu akamnusuru.
Si Tundu Lissu tu anayedai haki na stahiki zake....

Wapo wengi sana lakini ni ajabu sana kuwa watu wa serikali wamejaa ubinafsi wa kujipenda wao tu wakiwa na visingizio kibao kukwepa wajibu wao...

Tundu Lissu alipwe haki zake na kila anayedai haki na stahiki zake na alipwe mara moja...

Jamani ni lazima tujue kuwa HAKI HUINUA TAIFA na dhuluma siku zote INADIDIMIZA TAIFA....!
 
Usubiri kupewa kibali na aliyetaka kukuua?! Kama Lisu angekubali kutibiwa kwenye hospitali za hapa nyumbani baada ya shambulio lile, leo hii yeye angekuwa marehemu kama Magufuli.
Hapo ndipo mtihani ulipo kaondoka kinyume chs sheria cha kupewa kibali halafu anataka alipwe asipolipwa atakamata ndege zetu analazimisha kulipwa na vitisho kibao wakati taratibu hazikufuatwa yeye kwenda kutibiwa nje

Anatumia vitisho na mikwara kuwa taratibu zivunjwe ziachwe kando zifumbiwe macho alipwe
 
Stahiki za matibabu njebya nchi zina masharti yake vikiwemo vibali vya kuruhusiwa kwenda kutibiwa nje
Ni kwa sababu tu hujui lakini hujui kuwa hujui...

Taratibu zipi ambazo unadhani zinamzuia Tundu Lissu kupata haki zake...?

Au unakariri tu uliyokaririshwa na hao bwana zako bila wewe mwenyewe kutetea unachodhani unajua...?
 
Ni kwa sababu tu hujui lakini hujui kuwa hujui...

Taratibu zipi ambazo unadhani zinamzuia Tundu Lissu kupata haki zake...?

Au unakariri tu uliyokaririshwa na hao bwana zako bila wewe mwenyewe kutetea unachodhani unajua...?
Kwa hiyo anatakahe watu wafumbe macho wasijali taratibu zinavyotaka za malipo walipe tu bila kujali taratibu za kulipa?
 
Back
Top Bottom