Serikali imlipe Tundu Lissu gharama zake za matibabu

Serikali imlipe Tundu Lissu gharama zake za matibabu

Juzi wakati Tundu Lissu akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu kuvuja kwa taarifa ya mauaji yake alilalamikia sana Serikali kuwa haijamlipa gharama zake za matibabu mpaka leo.

Serikali yetu ina upendo, mshikamano na tuko wamoja pia ni Serikali inayozingatia sheria, taratibu na kanuni ni sababu gani inayozuia Tundu Lissu asilipwe?

Sasa hivi tuna 4R ambayo ni Reconcilliation, Reform, Resilience na Rebuilding haya yote yanatuongoza kwenye upendo sasa kwa nini asilipwe?

Sheria zipo na ziko wazi kuhusu malipo yake ni vyema sasa akalipwa gharama zake zote za matibabu zilizochukua muda mrefu tangu apigwe risasi 16 na Mungu akamnusuru.
Apekeke uthibitisho kuwa alishambuliwa akiwa bungeni akiambatanisha na fomu ya pf3 toka polisi.
 
Juzi wakati Tundu Lissu akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu kuvuja kwa taarifa ya mauaji yake alilalamikia sana Serikali kuwa haijamlipa gharama zake za matibabu mpaka leo.

Serikali yetu ina upendo, mshikamano na tuko wamoja pia ni Serikali inayozingatia sheria, taratibu na kanuni ni sababu gani inayozuia Tundu Lissu asilipwe?

Sasa hivi tuna 4R ambayo ni Reconcilliation, Reform, Resilience na Rebuilding haya yote yanatuongoza kwenye upendo sasa kwa nini asilipwe?

Sheria zipo na ziko wazi kuhusu malipo yake ni vyema sasa akalipwa gharama zake zote za matibabu zilizochukua muda mrefu tangu apigwe risasi 16 na Mungu akamnusuru.
Sikujua kama huyu mama ni mnafiki kiasi hicho!

I wish I knew!
 
basi awasilishe stakabadhi na vielelezo vya ruhusa kulingana na utarabu wa idara za bunge
1. Kwanza hebu jisome hapo ujione mwenyewe ulichokiandika. Hopefully, you wrote it out of your ignorance, right.....?

2. Na hizo unazozisema kama "idara za bunge" ni zipi hizo...?

3. Na mwisho swali rahisi tu kwako ni hili, kwamba, do you think kuwa mtu kama Tundu Lissu, mtaalamu na mbobezi wa sheria, mtu wa HAKI anaweza kudai fedha isiyo haki yake kwa mujibu wa sheria?

## Jibu obviously ni NI NGUMU. Kama ni hivi kwanini sasa hapewi haki yake kwa mujibu wa sheria?

## Jibu pia ni rahisi tu. Ni CHUKI na KIBURI tu cha wenye madaraka na maamuzi. Chuki ileile waliyotaka kumuua kwa risasi zile ndiyo hii imekuwa "ukuta" kwao kumtendea haki mtu huyu....

## And you know what Gentleman? Haki huchelewa tu lakini kamwe haipotei. Ataipata tu haki yake ya kifedha ikiwemo "haki ya kisasi cha damu yake iliyomwagwa toka kwa walioimwaga" hata kama wewe @Tlaahtlaah utakuwa umeshakufa na kuzikwa Chato kwenu sawasawa na baba yako Magufuli mwasisi na mtekelezaji wa dhulma dhidi ya uhai wa Lissu...!!
 
Madai kama yako kinyume taratibu hayana haja hata ya kujibiwa ni kuyatupa tu
SIO KWELI....!

Ni ujinga wako tu wewe kuandika hiki ulichoandika na ndiyo maana toka mwanzo nimekuambia kuwa arguments zako kwenye issue hii, unazijenga ktk msingi wa UJINGA na UPUMBAVU tu...

Bila shaka wewe Shotocan hujui hata dhana ya "serikali" ni kitu gani. Ungekuwa unajua, ungekuwa unaficha ujinga wako chumbani kwako...

IKO HIVI:

Kila dai linalopelekwa serikalini kimaandishi hujibiwa kimaandishi kwa KUKUBALIWA na kutekeleza au KUKATALIWA kwa kutokutekelezwa..

Ofisi yoyote ya umma ikikataa kutekeleza dai fulani la mwananchi, sharti impe jibu kwa njia ileile aliyotumia kuwasilisha dai lake...

Na jibu hilo analopewa sharti liwe na sababu za kisheria kukataa kutekelezwa kwa dai hilo....

Sababu hizo/hiyo itamsaidia mwananchi huyu kukata rufaa kwenda mbele zaidi kuitafuta haki yake....

Kutofanya na kufuata utaratibu huu wa kisheria kuli settle swala hili, hakuna shaka kuwa Tundu Lissu ataendelea kuzozana na kuisumbua serikali hii mpaka mwisho wa dunia....!!
 
SIO KWELI....!



IKO HIVI:

Kila dai linalopelekwa serikalini kimaandishi hujibiwa kimaandishi kwa KUKUBALIWA na kutekeleza au KUKATALIWA kwa kutokutekelezwa..

Ofisi yoyote ya umma ikikataa kutekeleza dai fulani la mwananchi, sharti impe jibu kwa njia ileile aliyotumia kuwasilisha dai lake...
Uongo haiko hivyo kwenye tenda au ajira za serikali hata maombi tu ya vyuo vya serikali haiko hivyo

Usipofanikiwa hujibiwi chochote walla kuambiwa kwa nini hukufanikiwa maombi yako

Usipofaniiiwa maombi yako huwa hawajibu na kueleza sababu
 
1. Kwanza hebu jisome hapo ujione mwenyewe ulichokiandika. Hopefully, you wrote it out of your ignorance, right.....?

2. Na hizo unazozisema kama "idara za bunge" ni zipi hizo...?

3. Na mwisho swali rahisi tu kwako ni hili, kwamba, do you think kuwa mtu kama Tundu Lissu, mtaalamu na mbobezi wa sheria, mtu wa HAKI anaweza kudai fedha isiyo haki yake kwa mujibu wa sheria?

## Jibu obviously ni NI NGUMU. Kama ni hivi kwanini sasa hapewi haki yake kwa mujibu wa sheria?

## Jibu pia ni rahisi tu. Ni CHUKI na KIBURI tu cha wenye madaraka na maamuzi. Chuki ileile waliyotaka kumuua kwa risasi zile ndiyo hii imekuwa "ukuta" kwao kumtendea haki mtu huyu....

## And you know what Gentleman? Haki huchelewa tu lakini kamwe haipotei. Ataipata tu haki yake ya kifedha ikiwemo "haki ya kisasi cha damu yake iliyomwagwa toka kwa walioimwaga" hata kama wewe @Tlaahtlaah utakuwa umeshakufa na kuzikwa Chato kwenu sawasawa na baba yako Magufuli mwasisi na mtekelezaji wa dhulma dhidi ya uhai wa Lissu...!!
hawezi kulipwa hata sent moja ikiwa hakufuata taratibu na sheria za matibabu za kibunge.

hakuna hisia wala hakuna huruma kwenye masuala ya kisheria na utaratibu. Hana vielelezo, asahau malipo ya aina yoyote kutoka mbungeni🐒
 
hawezi kulipwa hata sent moja ikiwa hakufuata taratibu na sheria za matibabu za kibunge.

hakuna hisia wala hakuna huruma kwenye masuala ya kisheria na utaratibu. Hana vielelezo, asahau malipo ya aina yoyote kutoka mbungeni🐒
Naona kama vile huna hoja tena, hujui sheria yoyote na ni wazi kuwa unabweka tu kama mbwa koko....

Lakini kwa sasa na wewe @Tlaahtlaah itoshe tu kusema hili👇🏻kwako, kwamba, huyu mwamba atalipwa tena na interest hata kama wewe utakuwa umekufa...!

Lakini hebu msome UV-CCM mwenzako hapa👇🏻. Yaani ni hakuna akili kabisa kichwani lakini mmerundikwa hapo CCM - Lumumba kumwaga upupu unaowarudia na kuwawasha wenyewe...
Uongo haiko hivyo kwenye tenda au ajira za serikali hata maombi tu ya vyuo vya serikali haiko hivyo

Usipofanikiwa hujibiwi chochote walla kuambiwa kwa nini hukufanikiwa maombi yako

Usipofaniiiwa maombi yako huwa hawajibu na kueleza sababu

Kwa hiyo wewe ndugu Shotocan, Tundu Lissu ame applly course ya special education hapo UDOM, na kwa hiyo ameikosa, hajachaguliwa na hivyo hastahili kujibiwa siyo...?

Unatolea mfano wa ishu ambayo ni very irrelevant na kilichopo mezani kwa mjadala...!!!

Ama kweli hizi ndo akili na think tanks za Chura Kiziwi aitwaye Samia Suluhu Hassan...

Mama yenu "Chura Kiziwi" wa akili na ufahamu, vivyo hivyo nanyi mtakuwa vyura viziwi mpaka mwende kwenye makaburi yenu...!!
 
Naona kama vile huna hoja tena, hujui sheria yoyote na ni wazi kuwa unabweka tu kama mbwa koko....

Lakini kwa sasa na wewe @Tlaahtlaah itoshe tu kusema hili👇🏻kwako, kwamba, huyu mwamba atalipwa tena na interest hata kama wewe utakuwa umekufa...!

Lakini hebu msome UV-CCM mwenzako hapa👇🏻. Yaani ni hakuna akili kabisa kichwani lakini mmerundikwa hapo CCM - Lumumba kumwaga upupu unaowarudia na kuwawasha wenyewe...


Kwa hiyo wewe ndugu Shotocan, Tundu Lissu ame applly course ya special education hapo UDOM, na kwa hiyo ameikosa, hajachaguliwa na hivyo hastahili kujibiwa siyo...?

Unatolea mfano wa ishu ambayo ni very irrelevant na kilichopo mezani kwa mjadala...!!!

Ama kweli hizi ndo akili na think tanks za Chura Kiziwi aitwaye Samia Suluhu Hassan...

Mama yenu "Chura Kiziwi" wa akili na ufahamu, vivyo hivyo nanyi mtakuwa vyura viziwi mpaka mwende kwenye makaburi yenu...!!
ukituliza mihemko, ghadhabu na kutegemea ushirikina, miujiza, hisia au huruma, hauwezi elewa na utaishia kupiga ramli tu...

hayupo mtumishi wa umma kwenye idara yoyote ya umma atakae idhinisha malipo ya aina yeyote kwasabb yoyote ile bila kuzingati sheria, taratibu na kanuni za malipo hayo.
Kwa kufanya hivyo atakua amekiuka sheria, amekiuka taratibu na kanuni za kazi na kwahivyo atakua amevunja sheria na atawajibishwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria kwa kuhujumu uchumi na matumizi mabaya ya ofisi 🐒
 
Maza alisema Lissu hatulii.
Huenda anangoja atulie kwanza.
 
Serikali haina shida kulipa mradi taaratibu za kwenda kutibiwa nje kama zilizngatiwa.

Kama vile kupata kibali cha kwenda kutibiwa nje toka wizara ya afya baada ya hospitali zetu kuona hiyo kesi inahitaji mtu kwenda kutibiwa nje.

Raisi ni mlinzi wa sheria na katiba zikiwemo za malipo ya matibabu baada ya kujihakikishia sheria na taratibu zilizangitiwa.

Huwezi jiondokea tu kwenda kutibiwa nje bila kupata vibali halafu urudi kudai Serikali ikulipe gharama za matibabu kuwa ni stahili yako!
Nimemkumbuka nduugaii alivyotumbua mapesa ya matibabu
 
Nimemkumbuka nduugaii alivyotumbua mapesa ya matibabu
Yeye alifuata taratibu za kwenda kutibiwa nje na kupata kibali cha wizara ya afya kuwa hapa Tanzania kuwa hakuna huo ubingwa?

Kwa Lisu je alipata hicho kibali ? Kuepuka Controller and Audit General (CAG ) kuhoji hayo malipo just in case Lisu akilipwa kuwa serikali ilizingatia sheria za fedha na taratibu za kumlipa?
 
ukituliza mihemko, ghadhabu na kutegemea ushirikina, miujiza, hisia au huruma, hauwezi elewa na utaishia kupiga ramli tu...

hayupo mtumishi wa umma kwenye idara yoyote ya umma atakae idhinisha malipo ya aina yeyote kwasabb yoyote ile bila kuzingati sheria, taratibu na kanuni za malipo hayo.
Kwa kufanya hivyo atakua amekiuka sheria, amekiuka taratibu na kanuni za kazi na kwahivyo atakua amevunja sheria na atawajibishwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria kwa kuhujumu uchumi na matumizi mabaya ya ofisi 🐒
Lisu anataka Raisi Samia avunje sheria na taratibu za mbunge kutibiwa nje ili amlipe hizo Pesa Lisu bila kuwepo kibali cha kuruhusu yeye atibiwe nje

Watendaji wako makini hawawezi idhinisha hayo malipo na kulipa wakati wanaona wazi yamevunja sheria na taratibu za mtu kutibiwa nje

Yakilipwa watumishi walipaji na waidhinishaji watatolewa kafara kuwa wao ndio wali mu mis lead Raisi Ripoti ya CAG ikija na hoja kuwa wote walioidhinisha na waliolipa wachukuliwe hatua.Raisi au waziri wa fedha na afya na Raisi hawataguswa

Mbuzi wa kafara watakuwa watendaji

Lisu arakuwa anakula bata ubelgiji kwa hizo pesa ,Raisi atakuwa anakula bata ikulu,mawaziri afya na fedha watakuwa wanakula bata wizarani kwao

Watendaji ndio watakuwa mbuzi wa kafara kwa kulipa kinyume cha sheria na taratibu za matibabu ya nje
 
ukituliza mihemko, ghadhabu na kutegemea ushirikina, miujiza, hisia au huruma, hauwezi elewa na utaishia kupiga ramli tu...

hayupo mtumishi wa umma kwenye idara yoyote ya umma atakae idhinisha malipo ya aina yeyote kwasabb yoyote ile bila kuzingati sheria, taratibu na kanuni za malipo hayo.
Kwa kufanya hivyo atakua amekiuka sheria, amekiuka taratibu na kanuni za kazi na kwahivyo atakua amevunja sheria na atawajibishwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria kwa kuhujumu uchumi na matumizi mabaya ya ofisi 🐒
Lisu anataka Raisi Samia avunje sheria na taratibu za mbunge kutibiwa nje ili amlipe hizo Pesa Lisu bila kuwepo kibali cha kuruhusu yeye atibiwe nje

Watendaji wako makini hawawezi idhinisha hayo malipo na kulipa wakati wanaona wazi yamevunja sheria na taratibu za mtu kutibiwa nje

Yakilipwa watumishi walipaji na waidhinishaji watatolewa kafara kuwa wao ndio wali mu mis lead Rais na mawaziri wa afya na fedha i Ripoti ya CAG ikija na hoja kuwa wote walioidhinisha na waliolipa wachukuliwe hatua.Raisi au waziri wa fedha na afya na Raisi hawataguswa

Mbuzi wa kafara watakuwa watendaji

Lisu atakuwa anakula bata ubelgiji kwa hizo pesa ,Raisi atakuwa anakula bata ikulu,mawaziri afya na fedha watakuwa wanakula bata wizarani kwao

Watendaji ndio watakuwa mbuzi wa kafara kwa kulipa kinyume cha sheria na taratibu za matibabu ya nje
 
Yeye alifuata taratibu za kwenda kutibiwa nje na kupata kibali cha wizara ya afya kuwa hapa Tanzania kuwa hakuna huo ubingwa?

Kwa Lisu je alipata hicho kibali ? Kuepuka Controller and Audit General (CAG ) kuhoji hayo malipo just in case Lisu akilipwa kuwa serikali ilizingatia sheria za fedha na taratibu za kumlipa?
Kwani CAG ayasemeaje? Unakumbuka?
 
Kwa hiyo anatakahe watu wafumbe macho wasijali taratibu zinavyotaka za malipo walipe tu bila kujali taratibu za kulipa?

..alifuata taratibu.

..Katibu Mkuu wizara ya afya ndiye aliyeidhinisha Lissu atolewe hospitali ya serikali Dodoma na kupelekwa Nairobi.

..na kwenda Nairobi Lissu alisindikizwa na madaktari wa serikali ya Tanzania.
 
Nimekuuliza swali ili utuambie hizo taratibu ambazo unadhani hajazifuata....

Na Je, unaweza kuonesha ushahidi wa serikali iwapo ilishawahi kumjibu Tundu Lissu kuwa hutalipwa madai yako kwa sababu hayana uhalali wa kisheria kwa sababu 1, 2, 3....?

Halafu jiulize maswali mengine rahisi tu kama;

√. Hivi kweli tunadhani Tundu Lissu mwanasheria mbobezi mpenda haki hajui sheria na taratibu zinamtaka afanye nini kwenye hili....?

√. Hivi kweli kwa ufahamu na akili zenu nyie kina Shotocan mnadhani Tundu Lissu mwanasheria anayeelewa sheria na taratibu anaweza kudai na kung'ang'ania haki yake iliyo nje ya sheria? Really...?

SIKILIZA BWANA Shotocan:

Acha ubishi usio na kichwa wala miguu ambao obviously umeujenga ktk msingi wa ujinga, chuki na ubinafsi tu....

Kila mtu anajua kuwa kinachofanyika si ishu ya kuwa HAKI zake "haziko kisheria" au "iko nje ya utaratibu"...

Bali anachofanyiwa Tundu Lissu na wengine wote wanaodai haki zao serikalini, ni chuki ileile waliyotaka kumuulia na ambayo wanatamani afe hata leo...

Wanaogopa kuwa wakimlipa, kila dai lake litapata uhalali wa kisheria ikiwepo kudai uchunguzi wa tukio lote la jaribio la kuuwawa kwake, madai kuwa Paul Makonda ndiye Kiongozi wa mauji yake nk nk...

Tumia kichwa na akili zako vizuri kufikiria. Usifugie nywele tu...
Aende mahakamani ili spare haki yake,pia kuna wanasheria wehu tu
 
Back
Top Bottom