Serikali impe angalizo Jerry Silaa, namuona anaiingiza Serikali katika mgogoro mkubwa wa kulipa fidia!

Serikali impe angalizo Jerry Silaa, namuona anaiingiza Serikali katika mgogoro mkubwa wa kulipa fidia!

Leo katika taarifa ya habari ya ITV nimemuona Jerry Silaa akisimamia kubomoa ghorofa, na bila shaka kwa kujifanya yeye ni hakimu au Jaji mwenye uamuzi wa mwisho, kwa nini asishauri watu wafuate mlolongo wa mahakama ambao unasikiliza pande zote na kutoa haki ya rufaa ya ngazi tofauti?
o kama ardhi. Waziri badala ya kushughulikia sera za kitaifa, anazurura mitaani ambako tayari ana maafisa ardhi
Kabisa mimi mimechukizwa mno na alichofanya hana busara kabisa mtu huyu.
 
Leo katika taarifa ya habari ya ITV nimemuona Jerry Silaa akisimamia kubomoa ghorofa, na bila shaka kwa kujifanya yeye ni hakimu au Jaji mwenye uamuzi wa mwisho, kwa nini asishauri watu wafuate mlolongo wa mahakama ambao unasikiliza pande zote na kutoa haki ya rufaa ya ngazi tofauti?
dhi
hivi kwani hujui jerry silaa pia ni mwanasheria?
 
Nilishawahi muona mtu mmoja Moshi alikuwa anatengeneza hati za maeneo ya ndugu zake kwa majina yake ingawa si mmiliki, bila wao kujua. Sasa hii habari ya sheria, sio rahisi kama udhaniavyo.

sheria ya ardhi iko wazi. mwenye hati ya kwanza halali ndie mmiliki.

maafisa ardhi wahuni huwa wanatoa hati halali hata kwa watu kumi tofauti.

hapo yule wa kwanza ndie anakuwa mmiliki
 
Nilishawahi muona mtu mmoja Moshi alikuwa anatengeneza hati za maeneo ya ndugu zake kwa majina yake ingawa si mmiliki, bila wao kujua. Sasa hii habari ya sheria, sio rahisi kama udhaniavyo.
Sure, badala ya kusimamia miradi ya hati za kidigitali alizoanzisha lukuvi mkoa wa dar es salaam, maajabu kwamba mpaka leo anagawa hati za mafaili. Hati za digital/mtandao ni ngumu kughushi, husikii anaongelea huu mradi.

Anakusanya akina Diamond wanaoimba kusafisha mitaro wampe fame ndogo ndogo
 
Leo katika taarifa ya habari ya ITV nimemuona Jerry Silaa akisimamia kubomoa ghorofa, na bila shaka kwa kujifanya yeye ni hakimu au Jaji mwenye uamuzi wa mwisho, kwa nini asishauri watu wafuate mlolongo wa mahakama ambao unasikiliza


Anajitahidi kutenda kwa haki.

Vibaya kumuonea mtu lakini tabia ya kuvamia maeneo ya watu na janja janja kisha kujenga Halafu utake huruma wakati umedhurumu haki ya mtu mwingine haikubaliki.
 
Leo katika taarifa ya habari ya ITV nimemuona Jerry Silaa akisimamia kubomoa ghorofa, na bila shaka kwa kujifanya yeye ni hakimu au Jaji mwenye uamuzi wa mwisho, kwa nini asishauri watu wafuate mlolongo wa mahakama ambao unasikiliza


Chukulia wewe una eneo lako Halafu aje mvamizi ajenge au anuuzie mtu mwingine wewe utajisikiaje?
Huyo mmiliki Asię halali ajenge akibomolewa utasema kaonewa?
Hapana tuache unafiki.
Tujenge misingi ya jamii bora yenye kuheshimu haki na sheria .
 
Bashe ana akili, ila huyu ulishamuona kafanya cha akili?


Hili ni funzo,
Tuache kununua maeneo na kujenga mahala kwa uvamizi.

Uko Fanya hivyo ujue itakuja kula kwako ni swala la muda tu utakula hasara.

Kisicho riziki huwa hakiliki.

Tuache kulaumu mkwezi maana nazi imeliwa na mwezi.

Siłaa Ana Hoga ya ni ku enforce sheria na kufanya maamuzi mwenye haki apate haki yake.
Na sio hao Mawaziri wengine wanafiki wasokuwa na maamuzi.
 
Wazara yake inatoa hati, baadae inaikataa hati moja,inaikubali nyingine, halafu yuleyule waliyempa hati na kibali cha ujenzi, wao wenyewe wanaenda kumvujia walichomruhusu ajenge!
Kwa kweli hii ni contradiction ya hali ya juu sana. Halafu Jerry Slaa amesikika akiilaani maafisa wa wizara yake na mahakama kwa kutoa haki kwa mwenye pesa (aliyejenga ghorofa).

Inaelekea aliyejenga ghorofa alishinda kesi zote za mgogoro wa kiwanja hicho na ana hati za umiliki wa kiwanja.
 
Leo katika taarifa ya habari ya ITV nimemuona Jerry Silaa akisimamia kubomoa ghorofa, na bila shaka kwa kujifanya yeye ni hakimu au Jaji mwenye uamuzi wa mwisho, kwa nini asishauri watu wafuate mlolongo wa mahakama ambao unasikiliza
Kwani Mahakama ilikuwa imetoa INJUCTION ORDER kuzuia ubomoaji?Hati ipi ilianza kutolewa ?
 
Back
Top Bottom