Serikali impe angalizo Jerry Silaa, namuona anaiingiza Serikali katika mgogoro mkubwa wa kulipa fidia!

Serikali impe angalizo Jerry Silaa, namuona anaiingiza Serikali katika mgogoro mkubwa wa kulipa fidia!

Nimeona nimeshangaa sana halafu watu wapo ndani yeye anabomoa nje ingekua amri ya Mahakama watu na vitu vitolewe ndio zoezi liendelee nimeona yule mama mwenye nyumba anatia huruma sana,
Hivi viwanja ni vina migogoro kwa sababu ya madalali kufanya yao na hasara unakuja kupata wewe huhusiki na una hati toka serkalini ovyo kabisa!
1. Mimi na wewe kwa kuangalia kipande cha video hatuwezi kuupata ukweli.

2. Kwa haraka haraka maelezo ya mwanasheria wa mtuhumiwa yanataia shaka kidogo, hicho kiwanja inaonyesha kimepitia mikono ya watu wengi.

3. Mlalamikaji ameonyesha naye aneteswa sana na amepitia sehemu nyingi bila msaada.

4. Sio bure tutaujua ukweli lkn inaonyesha mwenye kiwanja amedhulumiwa.

5. Mwenye nyumba pia hakufuata taratibu za ujenzi wala vibali hana
 
Kwa kweli hii ni contradiction ya hali ya juu sana. Halafu Jerry Slaa amesikika akiilaani maafisa wa wizara yake na mahakama kwa kutoa haki kwa mwenye pesa (aliyejenga ghorofa).

Inaelekea aliyejenga ghorofa alishinda kesi zote za mgogoro wa kiwanja hicho na ana hati za umiliki wa kiwanja.
Kwa kweli inasikitisha sana
 
Hili ni funzo,
Tuache kununua maeneo na kujenga mahala kwa uvamizi.

Uko Fanya hivyo ujue itakuja kula kwako ni swala la muda tu utakula hasara.

Kisicho riziki huwa hakiliki.

Tuache kulaumu mkwezi maana nazi imeliwa na mwezi.

Siłaa Ana Hoga ya ni ku enforce sheria na kufanya maamuzi mwenye haki apate haki yake.
Na sio hao Mawaziri wengine wanafiki wasokuwa na maamuzi.
Kama mahakama ilishatoa uamuzi, huyo mama hatakamyaga hilo eneo, subiri mawakili waingie kazini
 
Anajitahidi kutenda kwa haki.

Vibaya kumuonea mtu lakini tabia ya kuvamia maeneo ya watu na janja janja kisha kujenga Halafu utake huruma wakati umedhurumu haki ya mtu mwingine haikubaliki.

Kaka majitu majinga sanaa kwa iyo wanahis uyo mama ni mjinga Akadai eneo af kesi ya ardhi ni very simple kabisa sehem ya mtu ni ya mtu kesi zake ni rahis kabisa kuishia mtaani Mana kuna majiran na wenyeji wa eneo husika wanajua kabisa flan ndo native pale sijui migogoro ya kipuuuz uwa inatoka wapi aisee
 
Chukulia wewe una eneo lako Halafu aje mvamizi ajenge au anuuzie mtu mwingine wewe utajisikiaje?
Huyo mmiliki Asię halali ajenge akibomolewa utasema kaonewa?
Hapana tuache unafiki.
Tujenge misingi ya jamii bora yenye kuheshimu haki na sheria .

Kaka Tanzania tuna majitu ya hovyo na manafiki sana manina watu wa kuvamia maeneo ya watu wapo na wanajulikana kabisa mimi na umjin wangu kuna watu nawajua kwa majina kua ni washenz wa kuvamia maeneo ya watu na kuyachukua kimchongo mchongo et serikali inakosa kabisa intelligensia mahakama zinaamua kesi kwenye madawat tu hazifik ata sehem husika
 
Alipokuwa Mayor alikuwa anapinga maamuzi ya Marehemu Magufuli alipokuwa waziri wa Ujenzi, kwamba magufuli hafuati sheria za jiji, swala lilikuwa kuondoa Mabango barabarani, sijui barabara za Tanroad.

Sasa leo naye ni waziri anafanya yale yale.
 
Kaka majitu majinga sanaa kwa iyo wanahis uyo mama ni mjinga Akadai eneo af kesi ya ardhi ni very simple kabisa sehem ya mtu ni ya mtu kesi zake ni rahis kabisa kuishia mtaani Mana kuna majiran na wenyeji wa eneo husika wanajua kabisa flan ndo native pale sijui migogoro ya kipuuuz uwa inatoka wapi aisee
Watu wa ndani ya mifumo ya migogoro ya Aridhi ndiyo tatizo, maana baada ya kuumaliza mgogoro mapema,wao ndiyo kwanza wanaumwagia moto, picha linaanza na mwenye pesa kupewa haki isiyo yake! Na siku zote mwenye haki hawezi kukubali kirahisi!!
 
Hakuna proper notices, anavamia watu hovyohovyo na kuvunja majengo yao.

Alivamia kituo cha mafuta, naona kaona mfupa mgumu, mpaka leo yuko kimya
Una uhakika hapakuwahi kuwepo proper notice? Au ni mgeni hapo Daslam Chifu? Ushaambiwa mgogoro umedumu kwa zaidi ya miaka 20, yaani bado unaamini miaka 20 yote hiyo issue haikuwahi kufika mahakamani? Au unajifanya hujui zile janja janja zao za kutumia court injuction? Ni mara ngapi mahakama zimekuwa zikitoa notisi za nyumba kubomolewa halafu wamiliki wanaenda mahakamani kuweka injuction sio kwa sababu wanaona wameonewa bali wanafahamu hadi kesi izungumzwe tena itachukua miaka. Na wakipata watu wao huko, hiyo kesi itaunguruma kwa miaka na miaka kama sio miongo
 
Una uhakika hapakuwahi kuwepo proper notice? Au ni mgeni hapo Daslam Chifu? Ushaambiwa mgogoro umedumu kwa zaidi ya miaka 20, yaani bado unaamini miaka 20 yote hiyo issue haikuwahi kufika mahakamani? Au unajifanya hujui zile janja janja zao za kutumia court injuction? Ni mara ngapi mahakama zimekuwa zikitoa notisi za nyumba kubomolewa halafu wamiliki wanaenda mahakamani kuweka injuction sio kwa sababu wanaona wameonewa bali wanafahamu hadi kesi izungumzwe tena itachukua miaka. Na wakipata watu wao huko, hiyo kesi itaunguruma kwa miaka na miaka kama sio miongo
Kama limefika mahakamani, Mahakama imeamuaje? au huyo bwege unamuona yuko juu ya sheria?
 
Jerry Slaa...Salaam ardhi huwa inaongea na inasikia.....kitakacho kudhuru ni machozi ya wahusika......amina.
 
sheria ya ardhi iko wazi. mwenye hati ya kwanza halali ndie mmiliki.

maafisa ardhi wahuni huwa wanatoa hati halali hata kwa watu kumi tofauti.

hapo yule wa kwanza ndie anakuwa mmiliki
Sasa hapa si kuwashitaki serikali au maafisa ardhi waliokupa hati juu ya hati nyingine
 
Kama limefika mahakamani, Mahakama imeamuaje? au huyo bwege unamuona yuko juu ya sheria?
Acha kuetetea ujinga, huyo jamaa hizo ndo zake. Angalia mfano huu hapa chini.

1.Johnson Leonard Mahururu vs Emmanuel John Nchimbi and 3 Others (Land Case 93 of 2021) [2022] TZHC 12613 (31 August 2022)
However, in a subsequent contract/sale, the same plaintiff Johnson Leonard Mahururu on 24th May 1999 appears to have purchased the second plot allegedly belonging to the same Mr. Salum Sefu Sani (PE1). Notably, this subsequent sale does not establish whether the said vendor had certificate of offer it being registered/surveyed land. Nevertheless,
2. Kuna hii tena
LAND.png

3.
LAND 2.png

Kama ulimsikiliza Silaa alisema wazi huyo Mahururu anahusika karibu kwenye kila kesi ya ardhi kwa sababu ndio mtindo wake. Anavamia eneo au ananunua kijanja janja kisha anaenda mahakamani. Nimetumia less than 5 minutes kwenye Google na kupata hizo kesi hapo juu zinazomhusu huyo unayemetea. Sasa je, kuna zingine ngapi hazipo kwenye public domain? Kwanini ahusike kwenye kesi nyingi za ardhi kiasi hicho?
 

Attachments

  • LAND 2.png
    LAND 2.png
    31.8 KB · Views: 4
Nadhani ifikie hatua Wizara ichukue responsibility, maana mikanganyiko inatokea kwao. Raia wa kawaida, anapewaje hati wakati kuna hati nyingine?

Kwa ujasiri wanasema mwenye hati ya kwanza ndie mwenye haki, hii nyingine huyu kapewa na nani?

Kupunguzia serikali hasara ktk maamuzi ya viongozi, nadhani kuwepo na sera au sheria, itayo mbana kiongozi kama akifanya jambo nje na utaratibu wa sheria ni yeye awajibike. Kama ambavyo kada zingine za Wataalamu inavyo watokea, Doct, Askari,na wengine wakifanya ndivyo sivyo kwa kupindisha kanuni.

Mbona hiii kesi inaonekana ina sintofahamu, tajiri haya kashinda kesi kwa pesa, haya sawa, mahakama ili mpa ushindi , wangeenda kutengua huko huko. Kinachofata hapo ni migogoro ya mihimili hiii miwili. Sidhani kama One man standing anaweza kujivika usahihi ktk maamuzi kisa kwa upeo wake ameona vitu vina make sense.

Huyu wazirii, angemtafutia mwanasheria, kama serikali ina manufaa na hili suala, kisha asiadie kuipush, mahakama itatoa maelekezo mapya.
 
Kwani ili kupata hati ni gharama gani huwa zinahitajika?
Inawezekana hawa maafisa ardhi huingiwa na tamaa yahiyo pesa ya mteja katika mchakato wa hiyo hati kwa hiyo humpa hati ili wapate tu pesa bila kujali matokeo ya ongezeko la migogoro ya ardhi
Kinachotakiwa kufanyika ni kuwachukulia hatua wanaotoa hati ya pili na kuendelea kwenye eneo moja
 
Acha kuetetea ujinga, huyo jamaa hizo ndo zake. Angalia mfano huu hapa chini.

1.

Johnson Leonard Mahururu vs Emmanuel John Nchimbi and 3 Others (Land Case 93 of 2021) [2022] TZHC 12613 (31 August 2022)​


Kuna hii tena
View attachment 2920921
View attachment 2920931
Kama ulimsikiliza Silaa alisema wazi huyo Mahururu anahusika karibu kwenye kila kesi ya ardhi kwa sababu ndio mtindo wake. Anavamia eneo au ananunua kijanja janja kisha anaenda mahakamani. Nimetumia less than 5 minutes kwenye Google na kupata hizo kesi hapo juu zinazomhusu huyo unayemetea. Sasa je, kuna zingine ngapi hazipo kwenye public domain? Kwanini ahusike kwenye kesi nyingi za ardhi kiasi hicho?

Kaka tunawatu wajinga sana kwa kutetea upuuuz
 
Hicho kijamaa ni kimuch know sana.., mfumo wa kimahakama umewekwa for a reason! Hamalizi miezi miwili hapo wizarani anatimuliwa...
 
Back
Top Bottom