DOKEZO Serikali imsaidie Mtoto huyu anayedaiwa kulawitiwa na Mlinzi wa Kanisa Katoliki Sinza

DOKEZO Serikali imsaidie Mtoto huyu anayedaiwa kulawitiwa na Mlinzi wa Kanisa Katoliki Sinza

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hivi karibuni ilibainika mtoto huyo amelawitiwa na mmoja wa Walinzi wa Kanisa hilo la Roma lililopo Sinza, baada ya mama mtu kubaini hilo (haikujulikana kama ni mara ngapi mtoto kafanyiwa hivyo na kama ni mlinzi peke yake au kuna mwingine), suala likafikishwa hadi Kituo cha Polisi Mabatini.

Mtuhumiwa akakamatwa na kuwekwa ndani kwa muda, lakini baada ya viongozi wa Kanisa pamoja na Viongozi wa Kwaya kufika kituoni hapo, haijulikani nini kilichoendelea lakini mtuhumiwa akaachiwa kwa dhamana huku kukiwa hakuna taarifa yoyote ya maana inayoendelea.
Huenda Mlinzi alishiriki baada ya kuona viongozi wamefanya pia
 
Ujumbe umetufikia. Ahsante Sana kwa moyo wako wa kutoa taarifa.

Haya, huyo mzazi mpe namba yangu ya 0765345777 anitumie ujumbe hata Sasa hivi aseme tu "mimi ni mama wa sinza ambapo mtoto wangu amekatiliwa". Nitamtambua.

Shukrani 🙏🏾
Dr. Upo vizuri. Japo tunamisi zile swaga zako na Mr....dah mlitisha sana enzi za covid🤣🤣🤣
 
Yani ningelikuwa rais wajinga kama hawa nawanyonga hadharani...

Yani napata hasira sana kusikia kuna lipumbavu linatamba mtaani huku mtoto wa watu akiteseka..

Ndio maana nawasifu nchi za uarabuni kwa kuweka sheria za kunyonga mijitu kama hii..

Mtu wa namna hii hana Haki ya kuishi hata kwa kwa dakika moja na hafai kutetewa na shirika la haki za binadamu...

Huyu ni kuchomeka tindo za kwenye anus na kufunga kitanzi kunyongorota hiyo shingo mara saba ....[emoji35][emoji35][emoji35]
 
Ujumbe umetufikia. Ahsante Sana kwa moyo wako wa kutoa taarifa.

Haya, huyo mzazi mpe namba yangu ya 0765345777 anitumie ujumbe hata Sasa hivi aseme tu "mimi ni mama wa sinza ambapo mtoto wangu amekatiliwa". Nitamtambua.

Shukrani 🙏🏾
Shukrani sana Mh. Waziri una kitu utafika mbali.
 
Ujumbe umetufikia. Ahsante Sana kwa moyo wako wa kutoa taarifa.

Haya, huyo mzazi mpe namba yangu ya 0765345777 anitumie ujumbe hata Sasa hivi aseme tu "mimi ni mama wa sinza ambapo mtoto wangu amekatiliwa". Nitamtambua.

Shukrani 🙏🏾
Asante sana
 
Ujumbe umetufikia. Ahsante Sana kwa moyo wako wa kutoa taarifa.

Haya, huyo mzazi mpe namba yangu ya 0765345777 anitumie ujumbe hata Sasa hivi aseme tu "mimi ni mama wa sinza ambapo mtoto wangu amekatiliwa". Nitamtambua.

Shukrani [emoji1488]
Haki itendeke ipasavyo mama yangu
 
Ujumbe umetufikia. Ahsante Sana kwa moyo wako wa kutoa taarifa.

Haya, huyo mzazi mpe namba yangu ya 0765345777 anitumie ujumbe hata Sasa hivi aseme tu "mimi ni mama wa sinza ambapo mtoto wangu amekatiliwa". Nitamtambua.

Shukrani [emoji1488]
Mh Waziri shukran sana kwa kuitikia wito, naamini utakuja na mrejesho juu ya suala hili, hali itendeke
 
Ujumbe umetufikia. Ahsante Sana kwa moyo wako wa kutoa taarifa.

Haya, huyo mzazi mpe namba yangu ya 0765345777 anitumie ujumbe hata Sasa hivi aseme tu "mimi ni mama wa sinza ambapo mtoto wangu amekatiliwa". Nitamtambua.

Shukrani 🙏🏾
We mama safi sana kuanzia leo nakukubali ila tungeni sheria kali sana sana juu ya wanaokatiri watoto hali ni mbaya sana.
 
Nobody is safe.
Wakuu tuendelee kupaza sauti, haya matukio ni mengi sana mtaani na kibaya zaidi huwa yanazimwa kimya kimya, bila hata wahusika kufikishwa katika vyombo vya haki na sheria.
 
Shikamoo mheshimiwa, pole kwa kazi na hongera sana unafanya kazi nzuri.

Swali langu nauliza ; kuna namna yeyote tukawa tunapata feedback ya kitakwimu ya kesi za namna hii na maamuzi ya kimahakama yaliyotolewa kwa watuhumiwa? If any,

Naogopa, kusijekuwa hakuna muendelezo mzuri kwa hao walio na dhamana ya kimaamuzi (polisi, mahakama) na hizi kesi zikawa zinaishia hewani tu?
?? kuna namna yeyote tukawa tunapata feedback ya kitakwimu ya kesi za namna hii na maamuzi ya kimahakama yaliyotolewa kwa watuhumiwa? If any,
Kwani makosa mengine mfungwa akifariki adhabu huendelea au hufa?
Ukipata jibu pigia mstari.

Hakuna makasiriko tunataka kuondoa ubakaji na ulawiti kwenye jamii za kitanzania kwa adhabu kali na zenye kudhalilisha pia wahusika.

Haiwezekani mtu kalawiti halafu yeye abaki na sealed nyuma,haiwezekani aisee..
OK. Jino kwa jino na jicho kwa jicho. Kwisha.
 
Wafiraji wamechachamaa sana wakiona tu makalio yamenona wanachanganyikiwa
 
Back
Top Bottom