DOKEZO Serikali imuangalie IGP Mstaafu Omari Mahita, anatoa silaha yake ovyo hadharani anaweza kumjeruhi mtu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
aloo!
 
Kituo chochote Cha Polisi mkienda naye ... Anakula saluti kwanza .. .

Hata mahakamani jaji mwenyewe anaogopa kutoa hukumu.

Mkuu wa polisi IGP anaogopwa kuliko hata waziri wa mambo ya ndani.

Mkuu wa majeshi CDF anaogopwa kuliko hata waziri wa ulinzi.
 
Mambo aliyofanya Ditopile Mzuzuri wakati wake akaua mtoto wa watu bure
 
IGP mstaafu Omary Mahita kwa sasa amerithiwa na CP Ops & Training Awadh Haji (typical cruelty bullying and brutality traits towards other innocent human beings in contravention to the PGO and related laws).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…