DOKEZO Serikali imuangalie IGP Mstaafu Omari Mahita, anatoa silaha yake ovyo hadharani anaweza kumjeruhi mtu

DOKEZO Serikali imuangalie IGP Mstaafu Omari Mahita, anatoa silaha yake ovyo hadharani anaweza kumjeruhi mtu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hata mm ningekuwa Mahita ningefanya the same,hawa jamaa wa minyororo wanaboa,huwezi elewa kama sio driver.
Ukiwa a disciplined driver, a competent driver na kama umehudhuria mafunzo na kufaulu mafunzo ya udereva, huwezi kufanya hayo. Lakini kama umejifunzia udereva kwenye gereji bubu chini ya miembe utafanya hata na zaidi. Ni hayo tu.
 
Nimeshangazwa na maoni ya watu wengi. Lakini Mimi ninaamini Mzee Mahita kakosea, labda kama ana matatizo ya akili. Na kama ana matatizo ya akili wa kulaumiwa ni waliomruhusu mgonjwa kumiliki silaha.

1. Kuwa IGP hakumfanyi mtu kuwa juu ya Sheria. Labda kama ile kauli ya TII SHERIA BILA SHURUTI ni kwa watu fulani fulani tu.

2. Mahita ni kiongozi. Kiongozi anapaswa kuishi maisha ya kuigwa na wengine. Kama ambavyo mtoto huiga kwa wazazi wake, kadhalika na maofisa wa ngazi za chini. Alichokifanya kinaweza kuwa hamasa kwa maaskari wa ngazi za chini kuiga.

3. Mahita anafahamika. Kama alichotendewa ni kinyume cha Sheria, angeweza kuwapigia viongozi wakubwa kama Waziri wa Mambo ya Ndani, IGP, RPC, OCD, n.k., na suala lake lingeshighulikiwa kwa heshima. Hilo lisingemfanya aonekane dhaifu bali mstaarabu.

4. Kati ya sifa muhimu kwa kiongozi ni kuwa na uwezo wa kuthibiti hisia zake. Naamini anafahamu kuhusu emotional intelligence. Mtu mwenye kuwezo wa kuthibiti hisia zake asingefanya maamuzi kama hayo.

5. Makonda alipokuwa RC wa Dar Es Salaam, Paul Makonda, wamiliki wote wa silaha mkoani kwake wazipeleke Polisi kwa ukaguzi. Miongoni mwa walioitikia wito wale ni John Magufuli.

Utii waagufuli haukumaanisha kuwa alikuwa akimwogopa Makonda, bali alionesha vile kiongozi anavyopaswa kuwa. Ukitamka kujua soda halisi ya mpeojawapobya hivi: fedha au madaraka. Mwenye inferiority complex akipata mojawapo ya hivyo huweza kugeuka kuwa tabu kwa watu wengine. Mzee Mahita kaonesha mfano mbaya kiasi chatu kuweza kuhoji kama hiyo nafasi aliipata tu kwa bahati au alistahili?

6. Watu wanadai kuwa gari la Mahita halilazimiki kuzingatia Sheria za parking kwa kuwa ni IGP mstaafu. Labda cha kujiuliza, huo IGP alikuwa analizwa au alikuwa anatoa msaada? Mbona nafasi kama hizo zinatamaniwa na wengi ila tu hawabahatiki kupewa?

Mahita hakuwa akitoa msaada. Alikuwa mwajiriwa wa uma na alikuwa akilipwa kwa Kodi za Watanzania. Anapaswa kuwaheshimu hata kama ni watu wanyonge kwake. Ajue ni hao wanyonge ndiyo waliompeleka yeye kufikia cheobcha IGP.

7. La mwisho, wengi wa waliochangia wanaonekana kama ama wametawaliwa na hofu au pengine hawazijui hata haki zao kama raia. Hofu haisaidii. Hofu huzuia akili kufanya kazi kwa ufasaha.

Kwa ufupi, Mimi naamini kuwa IGP mstaafu, Omari Mahita kakosea. Kafanya jambo lisilo la kistaarabu. Kama alikuwa amekosewa, angelishighulikia hilo kwa hekima kama impasavyo kiongozi msomi, makini na mstaarabu. Na hata kama alikuwa amekosewa, angeonesha mfano kwa kunyenyekea japo anajua huyo kijana asingeweza kumfanya chochote.

Hayo yangeshindikana, ndipo angewapigia wakubwa simu ili waje kumshughulikia huyo kijana.
 
Ukiikuta gari yake popote basi tunakuomba uipige lock halafu ubaki hapo hapo ili dunia ikusaidie kumtiisha Mahita akija hapo hapo akukute. Halafu uje utupe mrejesho hapa either ukiwa hai ama maiti.
Ndo mana kijana mhusika alijiongeza.
Hiyo kichwa ni hakika haiko sawa. Soon watamnyang'anya hiyo silaha au atakutana na aliyemzidi ndipo atajua alikuwa hajui.
 
Baada ya kustaafu, mzee huyu kwasasa anaishi mkoani Morogoro. Moja ya madoido yake katika uzee wake ni kuchomoa hadharani silaha yake ya moto (bastola) kila anapokerwa na mtu.

Miongoni mwa matukio ya ajabu aliyofanya ni kupiga risasi lock iliyowekwa kwenye gari yake baada ya kupaki sehemu isiyo sahihi.

Mzee alipaki gari yake binafsi, akaingia sehemu, alivyotoka akakuta gari imepigwa lock, akauliza ni nani kaifunga? Kwa mamlaka gani? Inamaana hajui gari yangu? Akachomoa bastola akaitandika ile lock ikafunguka bila kuathiri tairi, akaitupa huko, akaondoka!

Mwamba aliyeifunga aliogopa hata kusogea eneo la tukio.

Nikweli mzee ulikuwa nafasi ya juu sana, ila hilo lisifanye uishi kibabe mzee, mbona ma CDF wastaafu tunaishi nao fresh tu na wana unyenyekevu mkubwa?

Badilika.
Mahita alikuwa mkabaji Moro ndio Polisi wakampeleka depo ameanza constable mpaka IGP.

Naunga mkono alichofanya Mahita, kama huna gari si rahisi kunielewa kwa nini namuunga mkono Mahita ingawa simpendi kabisa.
 
Talk is cheap

Umenikumbusha kisa cha mzee mmoja hapa ofisini alipewa nafasi ya uongozi. Sasa kuna ka allowance fulani tulikuaga tunapewa tukifanya kazi fulani, yeye akasema hiyo allowance ifutwe!

Sasa baadae muda wake wa uongozi ulipoisha, ikatokea nayeye kuna siku amefanya ile kazi. Haraka haraka akajaza form za ku claim allowance. Kuzipeleka anaambiwa mzee mbona hiyo allowance siku hizi hatutoi? Mzee kaanza kung'aka "Inakuaje allowance imefutwa hii kazi ni ngumu haiwezekani mtu aifanye asilipwe chochote" watu hawakumkopesha wakamuambia mzee mbona hii allowance ni wewe uliifuta?
YEEES. Kongole kwa koment hii 👆 👆 👆 . Wapo baadhi ya watu wanashangaza sana.
 
Huyu hajawahi kuwa muumini wa siasa kabisa linapokuja swala la usalama,uongozi wake ulikuwa na kibabe haswa,muumini wa kutii sheria bila shuruti ni mwema mrithi wake baada ya huyu.
Na ndo mana karma inamshitaki na damu zilizomwagika kwa amri yake zinamwandama na kumlilia sasa. Hajui wala hawazi itakuwaje baadaye - yuko very myopic.
Hebu fikiria kama Mungu akimjalia umri akafika 85+yrs; ataweza kuonesha huo ubabe? Mamlaka iliyomwajiri huyo kijana na Serikali kwa ujumla wakiamua kumsimamia kidedea kwa kuidhalilisha atachomoka?
 
Baada ya kustaafu, mzee huyu kwasasa anaishi mkoani Morogoro. Moja ya madoido yake katika uzee wake ni kuchomoa hadharani silaha yake ya moto (bastola) kila anapokerwa na mtu.

Miongoni mwa matukio ya ajabu aliyofanya ni kupiga risasi lock iliyowekwa kwenye gari yake baada ya kupaki sehemu isiyo sahihi.

Mzee alipaki gari yake binafsi, akaingia sehemu, alivyotoka akakuta gari imepigwa lock, akauliza ni nani kaifunga? Kwa mamlaka gani? Inamaana hajui gari yangu? Akachomoa bastola akaitandika ile lock ikafunguka bila kuathiri tairi, akaitupa huko, akaondoka!

Mwamba aliyeifunga aliogopa hata kusogea eneo la tukio.

Nikweli mzee ulikuwa nafasi ya juu sana, ila hilo lisifanye uishi kibabe mzee, mbona ma CDF wastaafu tunaishi nao fresh tu na wana unyenyekevu mkubwa?

Badilika.
Sidhani kama watakuelewa.
Sina hakika
 
Nimeshangazwa na maoni ya watu wengi. Lakini Mimi ninaamini Mzee Mahita kakosea, labda kama ana matatizo ya akili. Na kama ana matatizo ya akili wa kulaumiwa ni waliomruhusu mgonjwa kumiliki silaha.

1. Kuwa IGP hakumfanyi mtu kuwa juu ya Sheria. Labda kama ile kauli ya TII SHERIA BILA SHURUTI ni kwa watu fulani fulani tu.

2. Mahita ni kiongozi. Kiongozi anapaswa kuishi maisha ya kuigwa na wengine. Kama ambavyo mtoto huiga kwa wazazi wake, kadhalika na maofisa wa ngazi za chini. Alichokifanya kinaweza kuwa hamasa kwa maaskari wa ngazi za chini kuiga.

3. Mahita anafahamika. Kama alichotendewa ni kinyume cha Sheria, angeweza kuwapigia viongozi wakubwa kama Waziri wa Mambo ya Ndani, IGP, RPC, OCD, n.k., na suala lake lingeshighulikiwa kwa heshima. Hilo lisingemfanya aonekane dhaifu bali mstaarabu.

4. Kati ya sifa muhimu kwa kiongozi ni kuwa na uwezo wa kuthibiti hisia zake. Naamini anafahamu kuhusu emotional intelligence. Mtu mwenye kuwezo wa kuthibiti hisia zake asingefanya maamuzi kama hayo.

5. Makonda alipokuwa RC wa Dar Es Salaam, Paul Makonda, wamiliki wote wa silaha mkoani kwake wazipeleke Polisi kwa ukaguzi. Miongoni mwa walioitikia wito wale ni John Magufuli.

Utii waagufuli haukumaanisha kuwa alikuwa akimwogopa Makonda, bali alionesha vile kiongozi anavyopaswa kuwa. Ukitamka kujua soda halisi ya mpeojawapobya hivi: fedha au madaraka. Mwenye inferiority complex akipata mojawapo ya hivyo huweza kugeuka kuwa tabu kwa watu wengine. Mzee Mahita kaonesha mfano mbaya kiasi chatu kuweza kuhoji kama hiyo nafasi aliipata tu kwa bahati au alistahili?

6. Watu wanadai kuwa gari la Mahita halilazimiki kuzingatia Sheria za parking kwa kuwa ni IGP mstaafu. Labda cha kujiuliza, huo IGP alikuwa analizwa au alikuwa anatoa msaada? Mbona nafasi kama hizo zinatamaniwa na wengi ila tu hawabahatiki kupewa?

Mahita hakuwa akitoa msaada. Alikuwa mwajiriwa wa uma na alikuwa akilipwa kwa Kodi za Watanzania. Anapaswa kuwaheshimu hata kama ni watu wanyonge kwake. Ajue ni hao wanyonge ndiyo waliompeleka yeye kufikia cheobcha IGP.

7. La mwisho, wengi wa waliochangia wanaonekana kama ama wametawaliwa na hofu au pengine hawazijui hata haki zao kama raia. Hofu haisaidii. Hofu huzuia akili kufanya kazi kwa ufasaha.

Kwa ufupi, Mimi naamini kuwa IGP mstaafu, Omari Mahita kakosea. Kafanya jambo lisilo la kistaarabu. Kama alikuwa amekosewa, angelishighulikia hilo kwa hekima kama impasavyo kiongozi msomi, makini na mstaarabu. Na hata kama alikuwa amekosewa, angeonesha mfano kwa kunyenyekea japo anajua huyo kijana asingeweza kumfanya chochote.

Hayo yangeshindikana, ndipo angewapigia wakubwa simu ili waje kumshughulikia huyo kijana.
Kongole kwa nasaha 👆 👆 zilizosheheni hekima.
Nionngezee tu hapo kwamba Mamlaka iliyo mwajiri huyo kijana (kama sikosei ni Manispaa au..)Kama huko nako kuna kiongozi wa tabia aina ya mahita anaweza kumshitaki mahita kwa madai ya kuidhalilisha Mamlaka.
 
Baada ya kustaafu, mzee huyu kwasasa anaishi mkoani Morogoro. Moja ya madoido yake katika uzee wake ni kuchomoa hadharani silaha yake ya moto (bastola) kila anapokerwa na mtu.

Miongoni mwa matukio ya ajabu aliyofanya ni kupiga risasi lock iliyowekwa kwenye gari yake baada ya kupaki sehemu isiyo sahihi.

Mzee alipaki gari yake binafsi, akaingia sehemu, alivyotoka akakuta gari imepigwa lock, akauliza ni nani kaifunga? Kwa mamlaka gani? Inamaana hajui gari yangu? Akachomoa bastola akaitandika ile lock ikafunguka bila kuathiri tairi, akaitupa huko, akaondoka!

Mwamba aliyeifunga aliogopa hata kusogea eneo la tukio.

Nikweli mzee ulikuwa nafasi ya juu sana, ila hilo lisifanye uishi kibabe mzee, mbona ma CDF wastaafu tunaishi nao fresh tu na wana unyenyekevu mkubwa?

Badilika.
Bila picha tutaaminije!?
 
Mahita yupo morogoro wayback sidhani kama hata aliwahi kutoka. Mtu yyte lazma uijue gari ya huyu bwana, else wise ni dharau. Na hiyo ndio kazi ya bastola. It is too risk kufunga gari ya mtu kama huyo, risk kwake na kwako mfungaji.
Mimi tu nakushtua utumbo ukifanya hivo kwenye gari yangu kama na wadhfa wake.
Kila mtu moro anamjua mahita. Huyo nani kalifunga.
Mzee hana stress. Kama kuna wazee wanaenjoy maisha ni mahita. Kafanya kazi yake na anaenjoy muda wake.
Kuna hoja nzuri ktk post yako.
Kwa wadhifa wa IGP anaweza kuwa alitengeneza maadui, ikatokea ameshambuliwa anataka kukimbia eneo latukio anaenda kwenye gari yake anakuta ipo locked!
Si atauwawa hapo hapo?

Angetafuta mawasilaino yake au alipo amuelekeze aondoe gari Kama kulikuwa na ulazima wa kufanya hivyo.
Labda hakumjua mwenye gari ni nani tumpe benefit of doubt.
 
Nimeshangazwa na maoni ya watu wengi. Lakini Mimi ninaamini Mzee Mahita kakosea, labda kama ana matatizo ya akili. Na kama ana matatizo ya akili wa kulaumiwa ni waliomruhusu mgonjwa kumiliki silaha.

1. Kuwa IGP hakumfanyi mtu kuwa juu ya Sheria. Labda kama ile kauli ya TII SHERIA BILA SHURUTI ni kwa watu fulani fulani tu.

2. Mahita ni kiongozi. Kiongozi anapaswa kuishi maisha ya kuigwa na wengine. Kama ambavyo mtoto huiga kwa wazazi wake, kadhalika na maofisa wa ngazi za chini. Alichokifanya kinaweza kuwa hamasa kwa maaskari wa ngazi za chini kuiga.

3. Mahita anafahamika. Kama alichotendewa ni kinyume cha Sheria, angeweza kuwapigia viongozi wakubwa kama Waziri wa Mambo ya Ndani, IGP, RPC, OCD, n.k., na suala lake lingeshighulikiwa kwa heshima. Hilo lisingemfanya aonekane dhaifu bali mstaarabu.

4. Kati ya sifa muhimu kwa kiongozi ni kuwa na uwezo wa kuthibiti hisia zake. Naamini anafahamu kuhusu emotional intelligence. Mtu mwenye kuwezo wa kuthibiti hisia zake asingefanya maamuzi kama hayo.

5. Makonda alipokuwa RC wa Dar Es Salaam, Paul Makonda, wamiliki wote wa silaha mkoani kwake wazipeleke Polisi kwa ukaguzi. Miongoni mwa walioitikia wito wale ni John Magufuli.

Utii waagufuli haukumaanisha kuwa alikuwa akimwogopa Makonda, bali alionesha vile kiongozi anavyopaswa kuwa. Ukitamka kujua soda halisi ya mpeojawapobya hivi: fedha au madaraka. Mwenye inferiority complex akipata mojawapo ya hivyo huweza kugeuka kuwa tabu kwa watu wengine. Mzee Mahita kaonesha mfano mbaya kiasi chatu kuweza kuhoji kama hiyo nafasi aliipata tu kwa bahati au alistahili?

6. Watu wanadai kuwa gari la Mahita halilazimiki kuzingatia Sheria za parking kwa kuwa ni IGP mstaafu. Labda cha kujiuliza, huo IGP alikuwa analizwa au alikuwa anatoa msaada? Mbona nafasi kama hizo zinatamaniwa na wengi ila tu hawabahatiki kupewa?

Mahita hakuwa akitoa msaada. Alikuwa mwajiriwa wa uma na alikuwa akilipwa kwa Kodi za Watanzania. Anapaswa kuwaheshimu hata kama ni watu wanyonge kwake. Ajue ni hao wanyonge ndiyo waliompeleka yeye kufikia cheobcha IGP.

7. La mwisho, wengi wa waliochangia wanaonekana kama ama wametawaliwa na hofu au pengine hawazijui hata haki zao kama raia. Hofu haisaidii. Hofu huzuia akili kufanya kazi kwa ufasaha.

Kwa ufupi, Mimi naamini kuwa IGP mstaafu, Omari Mahita kakosea. Kafanya jambo lisilo la kistaarabu. Kama alikuwa amekosewa, angelishighulikia hilo kwa hekima kama impasavyo kiongozi msomi, makini na mstaarabu. Na hata kama alikuwa amekosewa, angeonesha mfano kwa kunyenyekea japo anajua huyo kijana asingeweza kumfanya chochote.

Hayo yangeshindikana, ndipo angewapigia wakubwa simu ili waje kumshughulikia huyo kijana.
IGP Mstaafu Omar Mahita alikuwa mtu wa hovyo tu hata alipokuwa bado hajastaafu kazi ya Upolisi. Hata kuteuliwakwake kwa Nafasi ya hiyo ya IGP kulitokana na sifa mbaya ya kuwanyanyasa na kuwadhulumu Wapinzani wa Kisiasa. Hakuteuliwa kutokana na sifa njema za utendaji kazi bali kutokana kunyanyasa watu.
Mwanzoni mwa miaka ya 2000s niliwahi kusafiri kwenda Morogoro Mjini, nilibahatika kufika nyumbani kwake huyo mtu kule eneo la Chamwino na katika Kijiji Cha Lugala alipokuwa akiishi mama yake mzazi, baadhi ya majirani zake niliokutana nao walikuwa wananishangaa Sana kwamba nimewzaje kufika katikà Makazi ya mtu huyo wakati wao wanaogopa kabisa kukanyaga nyumbani kwa mtu huyo kutokana na tabia zake za ukorofi alizonazo.
 
Kuna hoja nzuri ktk post yako.
Kwa wadhifa wa IGP anaweza kuwa alitengeneza maadui, ikatokea ameshambuliwa anataka kukimbia eneo latukio anaenda kwenye gari yake anakuta ipo locked!
Si atauwawa hapo hapo?

Angetafuta mawasilaino yake au alipo amuelekeze aondoe gari Kama kulikuwa na ulazima wa kufanya hivyo.
Labda hakumjua mwenye gari ni nani tumpe benefit of doubt.
Mbona huwa anatembea na walinzi (bodyguards) muda wote ambao ni Askari Polisi, ilikuwaje siku hiyo akawa peke yake?
 
Ukiwa a disciplined driver, a competent driver na kama umehudhuria mafunzo na kufaulu mafunzo ya udereva, huwezi kufanya hayo. Lakini kama umejifunzia udereva kwenye gereji bubu chini ya miembe utafanya hata na zaidi. Ni hayo tu.
Hayo ni maneno ya kwenye vitabu tu,ila uhalisia ukiishi jiji lisilo na parking kama Dar hyo kadhia itakukumba tu ndugu, so usijifanye exceptional sanaa sababu uko nyuma ya keyboard.
 
Hawa wajinga muda mwingine wanakera sana kufunga funga magari ya watu wakitaka rushwa, ni usumbufu tu.
 
Kuna hoja nzuri ktk post yako.
Kwa wadhifa wa IGP anaweza kuwa alitengeneza maadui, ikatokea ameshambuliwa anataka kukimbia eneo latukio anaenda kwenye gari yake anakuta ipo locked!
Si atauwawa hapo hapo?

Angetafuta mawasilaino yake au alipo amuelekeze aondoe gari Kama kulikuwa na ulazima wa kufanya hivyo.
Labda hakumjua mwenye gari ni nani tumpe benefit of doubt.
Main point ni hiyo huko kwingine nimeenda too personal ila issue ni safety yake.
 
Siyo heshima kufunga,gari ya IGP mstaafu tuende mbele turudi nyuma labda kama alikuwa ameua....Kuna approach zao na namna ya kuwaelezea kiheshima Tena ni watu poa na tipu juu utapewa huwezi kumtreat kama Mudy wa kwamtogole......,,
 
Back
Top Bottom