Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
True huwezi mtumbua mbeba siri ili kulinda siri lzm maamuzi magumu yafanyikeHawezi kujitenga nae kirahisi, lakini leo nampa njia rais na salama kuliko zote na itakayompa amani wakati wote wa maisha yake mheshimiwa Rais.
AMUUE.
Baada ya hapo, hatakokuwa na la kuhofia.
Kama mke wake anaweza kuwa tishio kwa namna yoyote ile.
AMUUE PIA.
Lakini na hao watakaotekeleza mauaji, itabidi AWAUE PIA.
Hana pa kutokea, Aibu kubwa inamnyemelea mwenyekiti wako. kisu alichokishika kina kula kutatu.
Marekani imesema: Makonda ni mkandamizaji wa haki za kibinaadamu ikiwemo haki ya kuishi (kwa tafsiri isiyo rasmi ni kuwa anahusika na mauaji ya raia); haki ya kidemokrasia na nyinginezo. Anapaswa kuwekwa kando haraka!
Marekani imetega mtego usio na magego. Mtego mkali. Mtego wao unaanzia kwenye swali la kiudadisi: Makonda amefikiaje kukandamiza haki za kibinaadamu hadi kupigwa marufuku ya kuingia Marekani akiwa amezungukwa na wakuu wake(ukiwemo Mwenyekiti wangu) waliopaswa kumdhibiti?
Marekani imeamua kukusaidia kujitenga na Makonda. Marekani imekutega Rais na Mwenyekiti wangu Dr. John Pombe Magufuli. Imekusaidia na kukupa nafasi adhimu. Jitenge na Makonda kabla ya mambo mrama kwenda!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Suluhisho ni makonda kuuwawa!Hawezi kujitenga nae kirahisi, lakini leo nampa njia rais na salama kuliko zote na itakayompa amani wakati wote wa maisha yake mheshimiwa Rais.
AMUUE.
Baada ya hapo, hatakokuwa na la kuhofia.
Kama mke wake anaweza kuwa tishio kwa namna yoyote ile.
AMUUE PIA.
Lakini na hao watakaotekeleza mauaji, itabidi AWAUE PIA.
Hana pa kutokea, Aibu kubwa inamnyemelea mwenyekiti wako. kisu alichokishika kina kula kutatu.
Kiukweli kabisa, kama kunakitu binaadamu tunapaswa kujiepusha nacho kwa namna yoyote ile, ni kutoa uhai wa binaadamu mwingine. Ukiishafanya hicho kitendo unakuwa umetoa rehani uhuru wako wa kuishi
Kwamba kuua siyo sababu ya Marekani kumzuia " mtu yoyote" kuingia nchini humo!Wewe ndio umesema Marekani kuna wauaji wengi,kwa maana hiyo ulikuwa unajustify kitu hapo!
Hii mifano ya kijuha ndiyo imepelekea Daud Bashite kuendelea kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani na unyama mwingineo mwingi, badala umkatazee aache unyanyasaji wake unaanza kumfundisha kujimwambafyKwani Marekani ni mbinguni ambako wanaoingia ni watakatifu pekee?
Hana namna.True huwezi mtumbua mbeba siri ili kulinda siri lzm maamuzi magumu yafanyike
Le mutuz juzi kamletea waganga wa kienyeji 34 toka Africa ya kati, mali na Sudan kusini wakiamini watawaroga marekani waachane nae waache kuituma drone kuja na moshi wa RuangwaSuluhisho ni makonda kuuwawa!
Hapo "mtu yeyote" ungesema Makonda tu ili twende sawa!Kwamba kuua siyo sababu ya Marekani kumzuia " mtu yoyote" kuingia nchini humo!
Katika kila utawala kunakuwa na mbuzi wa kafala. Unakumbuka jinsi Mwalimu alivyokuwa anamtuma Kawawa na likibumbuluka anauza, "Je, Rashid mie ndiye nilikutuma?". Kawawa anasema hapana. Je, unakumbuka issue ya sukari na Idd Simba? Huo ndio uongozi, hata kama amemtuma lazima Makonda amsitili na njia rahisi sana ni Makonda kujiuzulu au afukuzwe kazi kwa kuuma jino. Utawala upo hivyo na ni jukumu la sie kulinda taasisi ya uraisakimuacha Bashite ofisini means yeye ndiyo huwa anamtuma kutekeleza hayo anayoshutumiwa nayo Bashite.
kwani marekani ni nani?Marekani imesema: Makonda ni mkandamizaji wa haki za kibinaadamu ikiwemo haki ya kuishi (kwa tafsiri isiyo rasmi ni kuwa anahusika na mauaji ya raia); haki ya kidemokrasia na nyinginezo. Anapaswa kuwekwa kando haraka!
Marekani imetega mtego usio na magego. Mtego mkali. Mtego wao unaanzia kwenye swali la kiudadisi: Makonda amefikiaje kukandamiza haki za kibinaadamu hadi kupigwa marufuku ya kuingia Marekani akiwa amezungukwa na wakuu wake(ukiwemo Mwenyekiti wangu) waliopaswa kumdhibiti?
Marekani imeamua kukusaidia kujitenga na Makonda. Marekani imekutega Rais na Mwenyekiti wangu Dr. John Pombe Magufuli. Imekusaidia na kukupa nafasi adhimu. Jitenge na Makonda kabla ya mambo mrama kwenda!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Magaidi ujifichia kwa wanawake na watoto ili kupata cover ili dunia ipone inabidi hata wasio na hatia wajitoe sadaka bila hivo dunia ingetawaliwa na ISIS,Alqaeda,Mujahidin,alshabab,boko.kwa anavyo wachinja waislamu wenzangu watoto kwa.wazee bila kosa namuona ni shetani...
Ila kwavile USA ni muzungu nakuunga mkono
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndumba zitawasaidia nn hali wako uchiCyprian Musiba na Le mutuz sasa wanakula pesa za mtukufu na Daud Bashite kama mchwa kwa kisingizio cha kuwasaidia kuepuka mkono wa marekani, Le mutuz kaandaa bajeti kubwa kwa ajili ya ndumba za kila aina, kufa kufaana
Ni kiboko cha madiktetakwani marekani ni nani?
kwamba kila atakachosema tufuate
walishatutawala wakati wa ukoloni inatosha
Daud Bashite ni msiri wa mtukufu na pia ni dalali wa ununuzi wa Ndege na ana 10% zake kwenye miradi yote mikubwa kwa kifupi ni mashirika wake mkubwa na pengine America wamemtumia Bashite kupeleka salam kwa mtukufu malaika toka chato.Katika kila utawala kunakuwa na mbuzi wa kafala. Unakumbuka jinsi Mwalimu alivyokuwa anamtuma Kawawa na likibumbuluka anauza, "Je, Rashid mie ndiye nilikutuma?". Kawawa anasema hapana. Je, unakumbuka issue ya sukari na Idd Simba? Huo ndio uongozi, hata kama amemtuma lazima Makonda amsitili na njia rahisi sana ni Makonda kujiuzulu au afukuzwe kazi kwa kuuma jino. Utawala upo hivyo na ni jukumu la sie kulinda taasisi ya urais
Ushirika Wa wachawi si Wa kudumu mwisho umefika kila jambo lina mwisho wakeHana namna.
Huwezitenganisha remote na tv miguu na meza uganga na tunguli ukiondoa kimoja vyote ufaDaud Bashite ni msiri wa mtukufu na pia ni dalali wa ununuzi wa Ndege na ana 10% zake kwenye miradi yote mikubwa kwa kifupi ni mashirika wake mkubwa na pengine America wamemtumia Bashite kupeleka salam kwa mtukufu malaika toka chato.