Serikali imuondoe Paul Makonda haraka kabla mambo hayajaharibika. Tamko lijalo linaweza kuathiri nchi pakubwa

.
Your browser is not able to display this video.


Jr[emoji769]
 
Doh


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Makonda atazid kupewa nafasi ya juu, chuki zinazotengenezwa juu yake kwa Tanzania hazina mashiko....anayemlaumu Makonda bhas atakuwa ana element za ushoga ndani yake.

Mkuu sisi waTanzania ndio tumemlaumu makonda ? mbona mmejificha kwenye kichaka cha ushoga ? mbona hamtaki kujifikirisha mambo mengine ? Daah hapa ndio huwa nakuja kuamini kwamba kila mtu ana uelewa wake . Bashite alivyo na kiherehere vile ingekuwa ushoga pekeake angeongea tayari, kakaa kimya kaufyata, guilty conscience ndio inayomkalisha kimya saivi, he is stranded, alafu wazungu ni washenz hawana shida na makonda kuna lao wanalitafuta na walijua wakichomekea na ushoga mtakomaa hapo hapo na kweli mmejaa,


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Waendeleze Mipango Yao Ya Kutumia Policcm,vikundi Vya Unyanyasaji Na Uuaji Kutunyanyasa Watu Wa Vyama Vingine Ikibidi Watumalize Kwakuwa Ufahamu Wao Mdogo Wanadhani Watakuwa Wamemaliza Fikra Mbadala,wafanye Uhuni Wao Wa Miaka Yote Kwenye Chaguzi
 
USA huwa wanadeal na mtu specific ndiyo maana ameguswa yeye
 
Kuzuiwa kuingia Marekani ni hatua za awali tuu.... Kuna mambo kadhaa yatafuata
. kuongeza kwa list ya wazuiwa
. makonda kutangazwa kukamatwa kama akitoka nje ya Tanzania ili akashtakiwe the Hague
. mtu mwingine muhimu na mkubwa kabisa kuunganishwa kwenye list
. vikwazo kuongezeka

Jr[emoji769]
 
Bashiru ameshaeleza makonda anaujinga mwingi lkn mgawa vyeo kamng'ang'ania na ili kuonesha anaimudu marekani anaweza kumpandisha cheo kabisa. Ndege wafananao....
 
Baada ya tangazo la Serikali ya Marekani kumzuia Makonda na familia yake kupata visa ya Marekani Kuna uwezekana mkubwa huo ndiyo ukawa mwisho wa Makonda kisiasa.
Makonda hawezi kushuka kisiasa kwa kunyimwa viza,kwani marekani ni peponi?
Hakuna cha wapelelezi wala nini,ni fitna za Zitto na lissu,ambao wanakumbatia ushoga
Hili nalo litapita,sijui watakuja na gia gani
 
Kusikia Kwa Kenge Hadi Atoke Damu Puani Na Masikioni
Mbaazi Ukikosa Maua Husingizia Jua
 
Makonda hawezi kushuka kisiasa kwa kunyimwa viza,kwani marekani ni peponi?
Hakuna cha wapelelezi wala nini,ni fitna za Zitto na lissu,ambao wanakumbatia ushoga
Hili nalo litapita,sijui watakuja na gia gani
Kama huoni tatizo la Makonda na boss wake ni kwa sababu wewe ni kipofu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…