Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iwapo human rights ni kutetea 'mapunga' . Tutasimama naye....acha wampige ban.... .. Marekani kitu gani?
Hakuna kitu kama hicho, hata nafasi yako inakusuta kwa unafiki! Toka lini ukawa mpinzani wa hii awamu? Au unataka watu waanze kuongea muwakamate?Baada ya tangazo la Serikali ya Marekani kumzuia Makonda na familia yake kupata visa ya Marekani Kuna uwezekana mkubwa huo ndiyo ukawa mwisho wa Makonda kisiasa.
Tangazo hilo halijatoa Picha nzuri kwa uongozi wa awamu ya tano na ili kurudisha heshima na mahusiano hayo tena ni Makonda kuondolewa katika nafasi ya Mkuu wa mkoa haraka Sana.
Wamerakani watakawa wametuma makachero wao ndani ya nchi Kama majasusi bila tz kujua na uwezekano wamekuja Kama watalii na kukusanya habari nyingi Sana za ndani ya mifumo ya Serikali.
Ni wakati umefika RC aondoke haraka katika nafasi hiyo.
Ni aibu kubwa Sana kwa nchi kwa Tangazo Hilo.
Hakuna makachero wowote! Akitangaza kuwasaka mashoga, au kupima tezi dume kila mtaa, kupakazia watu wauza madawa hadharani, wakipimwa mkojo, nchi nzima inatangaziwa, alikuwa akifanya kifichoni? Na haya yote ndio uvunjaji wenyewe wa haki ya binadamu, kila mtu awe na tatizo lolote au la, ana haki ya kujisitiri (privacy). Sisi tunashangilia kudhalilishana.Baada ya tangazo la Serikali ya Marekani kumzuia Makonda na familia yake kupata visa ya Marekani Kuna uwezekana mkubwa huo ndiyo ukawa mwisho wa Makonda kisiasa.
Tangazo hilo halijatoa Picha nzuri kwa uongozi wa awamu ya tano na ili kurudisha heshima na mahusiano hayo tena ni Makonda kuondolewa katika nafasi ya Mkuu wa mkoa haraka Sana.
Wamerakani watakawa wametuma makachero wao ndani ya nchi Kama majasusi bila tz kujua na uwezekano wamekuja Kama watalii na kukusanya habari nyingi Sana za ndani ya mifumo ya Serikali.
Ni wakati umefika RC aondoke haraka katika nafasi hiyo.
Ni aibu kubwa Sana kwa nchi kwa Tangazo Hilo.
Acha upotoshaji!! Kuna viongozi walishatoa kauli kali juu ya mashoga, na wengine kupelekea kuuawa, lakini hawakuzuiliwa kuingia USA, ije iwe yeye tena kwa kauli zile za kitoto?!! Wafuatiliaji wa mambi wanajua kuna mengi juu ya hii ban!! Acha kuja na hoja dhaifu hizo!!Iwapo human rights ni kutetea 'mapunga' . Tutasimama naye....acha wampige ban.... .. Marekani kitu gani?
Sawa sasa false information zipi?!
Wampe ubalozi wa huko huko marekani kwa Pompeo wakamalizane nayeWampe ubalozi hata wa malawi akakae huko, kitaa hapa wengi wanamsubiri atoke hiyo nafasi aone dunia tambara bovu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ya Lugola ni drama tu jomba hakuna kitu mle.Huo mfano wa ishue ya Lugola hautosh ?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Makonda atazid kupewa nafasi ya juu, chuki zinazotengenezwa juu yake kwa Tanzania hazina mashiko....anayemlaumu Makonda bhas atakuwa ana element za ushoga ndani yake.
Hapana.Wampe ubalozi hata wa malawi akakae huko, kitaa hapa wengi wanamsubiri atoke hiyo nafasi aone dunia tambara bovu.
Sent using Jamii Forums mobile app