Serikali imuondoe Paul Makonda haraka kabla mambo hayajaharibika. Tamko lijalo linaweza kuathiri nchi pakubwa

Serikali imuondoe Paul Makonda haraka kabla mambo hayajaharibika. Tamko lijalo linaweza kuathiri nchi pakubwa

True huwezi mtumbua mbeba siri ili kulinda siri lzm maamuzi magumu yafanyike
Ruge mutahaba anamlilia sana hata rafiki yake January makamba siku ya kuaga mwili wa Ruge alitoa mafumbo na pengine na yeye kachangia kuwapa America siri za Bashite pia
 
Halafu kuna ng'ombe bado zinaamini Magufuli ana jeuri ya kuwakazia 'wakubwa' wa dunia... hahahaaa... kamuulizeni Gadaffi na jeuri zake kilimkuta nini; kamuulizeni Nyerere kwanini aling'atuka madarakani, kama haitoshi kawaulizeni Iran wana maisha gani baada ya kumkazia 'kiranja' wa dunia ukilinganisha na kabla hajawaweka kwenye rada yake. Wapo majirani zetu Zimbabwe hapa, ni mfano mzuri wa kinachotokea unapojifanya 'unaweza bila kuwezeshwa'.

If you can't fight them, join them. I believe in the size of the dog in a fight, not the size of the fight in a dog! Tanzania sio kisiwa - tunawategemea kuliko wanavyotutegemea, they have got nothing to lose. Tuache hizi porojo za kujiona we are a 'donor country'. 🙄
 
Magaidi ujifichia kwa wanawake na watoto ili kupata cover ili dunia ipone inabidi hata wasio na hatia wajitoe sadaka bila hivo dunia ingetawaliwa na ISIS,Alqaeda,Mujahidin,alshabab,boko.
Ningekuwa trump hawa madikteta,wababe wa kivita,makundi ya kigaidi,vikundi vya waasi,wajamaa ningewasafirisha waondoke duniani hawa ndio wanaoisumbua dunia wangechezea drones wapotelee mbali,haiwezekani watu wachache waliokosa malezi bora utotoni waachwe waiharibu dunia hivihivi.Check dunia inavoingia gharama za kuwahudumia wakimbizi sababu ya ujinga Wa wachache hizo Pesa si zingeenda kwenye mengine ya kuisaidia dunia
Hongera sana kwa kuwa na fikra kama za mwenyekiti wako meko
 
Mtasubiri sana ,hivi Makonda alimt nani kati yenu?
Marekani imesema: Makonda ni mkandamizaji wa haki za kibinaadamu ikiwemo haki ya kuishi (kwa tafsiri isiyo rasmi ni kuwa anahusika na mauaji ya raia); haki ya kidemokrasia na nyinginezo. Anapaswa kuwekwa kando haraka!

Marekani imetega mtego usio na magego. Mtego mkali. Mtego wao unaanzia kwenye swali la kiudadisi: Makonda amefikiaje kukandamiza haki za kibinaadamu hadi kupigwa marufuku ya kuingia Marekani akiwa amezungukwa na wakuu wake(ukiwemo Mwenyekiti wangu) waliopaswa kumdhibiti?

Marekani imeamua kukusaidia kujitenga na Makonda. Marekani imekutega Rais na Mwenyekiti wangu Dr. John Pombe Magufuli. Imekusaidia na kukupa nafasi adhimu. Jitenge na Makonda kabla ya mambo mrama kwenda!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sidhani kama utakuwa uamuzi wa busara kwa mwenyekiti kujitenga na Makonda kwa sasa,Kujitenga na Makonda ni kukubaliana na mawazo ya wamarekani, Kuna vitu lazima ujifunze kuviangalia kwa macho ya tatu, Mwalimu wangu wa Physics alikuwa anasema jaribu kuwa nje ya mada na uwe mwangaliaji kwa mbali ndio utaona uhalisia,

Nakukumbusha,

Mwana Mfalme wa Saud alipoamua kwa makusudi na maslahi yake na kwa uwazi kabisa kumuua Mwandishi wa Habari aliyekuwa anaandikia CNN Jamal Khashogi, Turkey alikuwa kiranja kuionyesha US Kuwa Mwanamfalme ni mkosaji, na ushaidi upo, lakini US Iliziba masikio,umeshajiuliza kwanini?

Maslahi, Trump alimtetea mwanamfalme waziwazi, na pia Pompeo alitumwa Turkey na baadaye SAUDIA Kuhakikisha kwamba mambo yanakaa sawa, hatimaye ERDOGAN alisalimu amri! Unajua sababu?

Nini nafasi ya maslahi ya US na magharibi katika serikali ya awamu ya 5. Toka Rais ameapishwa hajakanyaga US wala EU na kwingineko, Je maslahi ya US na washirika wake yaliyoimarishwa awamu ya 4 yanarindwaje? Ikiwa Kiongozi aliyeko madarakani hana muda nao!!!

Je nani ni wamiliki wa makampuni ya ACACIA na BARICK? Nini hatima ya maslahi ya Mataifa ya nje?
Embu jiulize unamfungia mtu ambaye hana umuhimu wa kuja nchini kwako si ujinga huo.

Suala la Makonda halihitaji Muhemuko, wala Siasa za Kipumbavu, Sababu zilizoongelewa ni za Kishabiki zaidi.
Hoja za kipumbavuvkabisa.

Hana muda na wamarekani wakati analilia hela zao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani imesema: Makonda ni mkandamizaji wa haki za kibinaadamu ikiwemo haki ya kuishi (kwa tafsiri isiyo rasmi ni kuwa anahusika na mauaji ya raia); haki ya kidemokrasia na nyinginezo. Anapaswa kuwekwa kando haraka!

Marekani imetega mtego usio na magego. Mtego mkali. Mtego wao unaanzia kwenye swali la kiudadisi: Makonda amefikiaje kukandamiza haki za kibinaadamu hadi kupigwa marufuku ya kuingia Marekani akiwa amezungukwa na wakuu wake(ukiwemo Mwenyekiti wangu) waliopaswa kumdhibiti?

Marekani imeamua kukusaidia kujitenga na Makonda. Marekani imekutega Rais na Mwenyekiti wangu Dr. John Pombe Magufuli. Imekusaidia na kukupa nafasi adhimu. Jitenge na Makonda kabla ya mambo mrama kwenda!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Magu hana ubavu wa kujitenga na Bashite
 
Baada ya tangazo la Serikali ya Marekani kumzuia Makonda na familia yake kupata visa ya Marekani Kuna uwezekana mkubwa huo ndiyo ukawa mwisho wa Makonda kisiasa.

Tangazo hilo halijatoa Picha nzuri kwa uongozi wa awamu ya tano na ili kurudisha heshima na mahusiano hayo tena ni Makonda kuondolewa katika nafasi ya Mkuu wa mkoa haraka Sana.

Wamerakani watakawa wametuma makachero wao ndani ya nchi Kama majasusi bila tz kujua na uwezekano wamekuja Kama watalii na kukusanya habari nyingi Sana za ndani ya mifumo ya Serikali.

Ni wakati umefika RC aondoke haraka katika nafasi hiyo.

Ni aibu kubwa sana kwa nchi kwa tangazo hilo.

Duuu! kumbe mazuzu bado wapo?
Ukiambiwa na m mbea hapo wa mtaani kwako kuwa mkeo analiwa na jirani yako utampiga talaka bila hata kujiridhisha kwa uchunguzi huru?
 
Sidhani kama utakuwa uamuzi wa busara kwa mwenyekiti kujitenga na Makonda kwa sasa,Kujitenga na Makonda ni kukubaliana na mawazo ya wamarekani, Kuna vitu lazima ujifunze kuviangalia kwa macho ya tatu, Mwalimu wangu wa Physics alikuwa anasema jaribu kuwa nje ya mada na uwe mwangaliaji kwa mbali ndio utaona uhalisia,

Nakukumbusha,

Mwana Mfalme wa Saud alipoamua kwa makusudi na maslahi yake na kwa uwazi kabisa kumuua Mwandishi wa Habari aliyekuwa anaandikia CNN Jamal Khashogi, Turkey alikuwa kiranja kuionyesha US Kuwa Mwanamfalme ni mkosaji, na ushaidi upo, lakini US Iliziba masikio,umeshajiuliza kwanini?

Maslahi, Trump alimtetea mwanamfalme waziwazi, na pia Pompeo alitumwa Turkey na baadaye SAUDIA Kuhakikisha kwamba mambo yanakaa sawa, hatimaye ERDOGAN alisalimu amri! Unajua sababu?

Nini nafasi ya maslahi ya US na magharibi katika serikali ya awamu ya 5. Toka Rais ameapishwa hajakanyaga US wala EU na kwingineko, Je maslahi ya US na washirika wake yaliyoimarishwa awamu ya 4 yanarindwaje? Ikiwa Kiongozi aliyeko madarakani hana muda nao!!!

Je nani ni wamiliki wa makampuni ya ACACIA na BARICK? Nini hatima ya maslahi ya Mataifa ya nje?
Embu jiulize unamfungia mtu ambaye hana umuhimu wa kuja nchini kwako si ujinga huo.

Suala la Makonda halihitaji Muhemuko, wala Siasa za Kipumbavu, Sababu zilizoongelewa ni za Kishabiki zaidi.
brother ukimuona jirani yako anampiga mtoto wako Kama mbwa mwizi mbele ya macho yako, Jua wazi kuwa anaetafutwa hapo ni wewe mkubwa mwenzie.
Hicho ndicho kinachofanyika, hayo ni maneno tu ya kidipromasia ni aibu ya kuwaambia wazee wa baraza hadharani Kuwa wako uchi.
Kama watashupaza Shingo ujue wazi mabeberu hawatakomea hapo, lao ni Moja si umewasikia marafiki wetu wa jadi waswiss, baadae watapiga Pigo la pamoja baadae EU na wengine watafuata.
Tunasema wana maslahi kwetu tumeyakata na sasa wanatuadhibu!
Huo ni upande mmoja, je upande wa pili nao tunauzingatia?Tunaupa uzito gani?Maana sisi watanzania tunalo tatizo la kutaka kuangalia upande tunao upenda!
Vipi kuhusu Lisu? Tumesahau kuwa sisi ndio tumemfanya aanze kutangatanga huko duniani?
Nani anajari kuhusu maumivu yake?
Sio sisi tuliosema ni msaliti na asulubiwe na kweli akasulubiwa na maadui zetu, Ili sisi tuonekane mbele ya macho ya umma tumemsulubisha na lengo la maadui zetu kutuchafua litimie.
Ni sawa tumeshindwa kuwajibika kidogo hatuekuenda mbali kutaka kumjua Adui wa Adui yetu, hivyo tukamrahisishia adui yetu kutupaka matope huko duniani.
Tukawa tunasikia ataongea na kamati za EU, bunge la marekani na kwingineko sisi tukasema acha azulule! na tena Sisi Kwa hasira tukasema acha tumtekelezee haki zake za kibinadamu,timua ubunge, kataa kumtibia kwa sababu hatukujua alikokuwa.
ee sisi ni nchi huru bwana hatuingiliwi kwani nini?
Hatukutaka hata kujua wasio julikana ni akina Nani ili mladi wanatusaidia kwa kiwango Fulani.
Sababu kuwa tunapuuza haki za watu kuishi ni uongo na kipuuzi?
Sababu kuwa tumeviza haki zetu za kidemokrasia ni uongo? Uhuru wa sisi kukutana uko sawa na wawenzetu kukutana?
Hawa ni marafiki wa kweli wanaposema tuko uchi tuchutame harafu tusubiri Kama watatuomba dhahabu.
 
huu ni upepo tu utapita. makonda ataendelea kudumu ktk nafasi yake, mkuu hapangiwi. Alishasemaga.
Mwisho wake ndiyo huo hakuna namna ndugu lazima aondoke ktk hiyo nafasi au aondolewe na aliyemteua
 
Hatuwezi kumtoa RC MAKONDA kwa shinikizo la USA, Tanzania ni nchi huru na ina taratibu zake..Makonda ni kijana wetu Mzalendo aliyekulia na kulelewa na CCM..
 
brother ukimuona jirani yako anampiga mtoto wako Kama mbwa mwizi mbele ya macho yako, Jua wazi kuwa anaetafutwa hapo ni wewe mkubwa mwenzie.
Hicho ndicho kinachofanyika, hayo ni maneno tu ya kidipromasia ni aibu ya kuwaambia wazee wa baraza hadharani Kuwa wako uchi.
Kama watashupaza Shingo ujue wazi mabeberu hawatakomea hapo, lao ni Moja si umewasikia marafiki wetu wa jadi waswiss, baadae watapiga Pigo la pamoja baadae EU na wengine watafuata.
Tunasema wana maslahi kwetu tumeyakata na sasa wanatuadhibu!
Huo ni upande mmoja, je upande wa pili nao tunauzingatia?Tunaupa uzito gani?Maana sisi watanzania tunalo tatizo la kutaka kuangalia upande tunao upenda!
Vipi kuhusu Lisu? Tumesahau kuwa sisi ndio tumemfanya aanze kutangatanga huko duniani?
Nani anajari kuhusu maumivu yake?
Sio sisi tuliosema ni msaliti na asulubiwe na kweli akasulubiwa na maadui zetu, Ili sisi tuonekane mbele ya macho ya umma tumemsulubisha na lengo la maadui zetu kutuchafua litimie.
Ni sawa tumeshindwa kuwajibika kidogo hatuekuenda mbali kutaka kumjua Adui wa Adui yetu, hivyo tukamrahisishia adui yetu kutupaka matope huko duniani.
Tukawa tunasikia ataongea na kamati za EU, bunge la marekani na kwingineko sisi tukasema acha azulule! na tena Sisi Kwa hasira tukasema acha tumtekelezee haki zake za kibinadamu,timua ubunge, kataa kumtibia kwa sababu hatukujua alikokuwa.
ee sisi ni nchi huru bwana hatuingiliwi kwani nini?
Hatukutaka hata kujua wasio julikana ni akina Nani ili mladi wanatusaidia kwa kiwango Fulani.
Sababu kuwa tunapuuza haki za watu kuishi ni uongo na kipuuzi?
Sababu kuwa tumeviza haki zetu za kidemokrasia ni uongo? Uhuru wa sisi kukutana uko sawa na wawenzetu kukutana?

Hawa ni marafiki wa kweli wanaposema tuko uchi tuchutame harafu tusubiri Kama watatuomba dhahabu.
Mkuu,
Mengi umeyaongelea ni sawa kabisa, Tanzania ina watu wangapi? kwa mujibu wako wewe watu wangapi wamenyima haki zao za kuishi naomba uwaorodheshe hapa kwa takwimu sahihi ulizonazo na zinazoeleweka, na ukiweza kwa majina.
Uhuru wa kukutana? Wewe kama wewe umefanya vikao gani umenyimwa?
Demokrasia ya Afrika imebadilika lini?
Nijibu haya Kwanza.
 
Back
Top Bottom