Serikali imuondoe Paul Makonda haraka kabla mambo hayajaharibika. Tamko lijalo linaweza kuathiri nchi pakubwa

Serikali imuondoe Paul Makonda haraka kabla mambo hayajaharibika. Tamko lijalo linaweza kuathiri nchi pakubwa

Marekani imesema: Makonda ni mkandamizaji wa haki za kibinaadamu ikiwemo haki ya kuishi (kwa tafsiri isiyo rasmi ni kuwa anahusika na mauaji ya raia); haki ya kidemokrasia na nyinginezo. Anapaswa kuwekwa kando haraka!

Marekani imetega mtego usio na magego. Mtego mkali. Mtego wao unaanzia kwenye swali la kiudadisi: Makonda amefikiaje kukandamiza haki za kibinaadamu hadi kupigwa marufuku ya kuingia Marekani akiwa amezungukwa na wakuu wake(ukiwemo Mwenyekiti wangu) waliopaswa kumdhibiti?

Marekani imeamua kukusaidia kujitenga na Makonda. Marekani imekutega Rais na Mwenyekiti wangu Dr. John Pombe Magufuli. Imekusaidia na kukupa nafasi adhimu. Jitenge na Makonda kabla ya mambo mrama kwenda!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Wauza unga hua hawamwachi mtu anayewasaliti au mwanasiasa anayewapinga salama. Hii ndio kiapo chao. Wanaua wanatisha ili waogopwe.
Makonda kwa hakika waliapizana wamng'oe kwenye ukuu wa mkoa na kumdhuru au kuhakikisha wamemmaliza na bado inaelekea hawajakata tamaa kwa hiyo azma yao.
Wanajua mtu wa kumuondoa ni magufuli tu kwa hiyo wanazidi kumchongea na kumchonganisha. Hapa tunaona mwandishi huyu anajaribu kumtisha rais amtoe makonda. Mipango yote inasukwa na wauza unga na vyama vya mashoga wakiwashirikisha na kutumia vyama fulani vya upinzani.
 
Marekani imesema: Makonda ni mkandamizaji wa haki za kibinaadamu ikiwemo haki ya kuishi (kwa tafsiri isiyo rasmi ni kuwa anahusika na mauaji ya raia); haki ya kidemokrasia na nyinginezo. Anapaswa kuwekwa kando haraka!

Marekani imetega mtego usio na magego. Mtego mkali. Mtego wao unaanzia kwenye swali la kiudadisi: Makonda amefikiaje kukandamiza haki za kibinaadamu hadi kupigwa marufuku ya kuingia Marekani akiwa amezungukwa na wakuu wake(ukiwemo Mwenyekiti wangu) waliopaswa kumdhibiti?

Marekani imeamua kukusaidia kujitenga na Makonda. Marekani imekutega Rais na Mwenyekiti wangu Dr. John Pombe Magufuli. Imekusaidia na kukupa nafasi adhimu. Jitenge na Makonda kabla ya mambo mrama kwenda!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Uko sahihi mzee
 
Marekani imesema: Makonda ni mkandamizaji wa haki za kibinaadamu ikiwemo haki ya kuishi (kwa tafsiri isiyo rasmi ni kuwa anahusika na mauaji ya raia); haki ya kidemokrasia na nyinginezo. Anapaswa kuwekwa kando haraka!

Marekani imetega mtego usio na magego. Mtego mkali. Mtego wao unaanzia kwenye swali la kiudadisi: Makonda amefikiaje kukandamiza haki za kibinaadamu hadi kupigwa marufuku ya kuingia Marekani akiwa amezungukwa na wakuu wake(ukiwemo Mwenyekiti wangu) waliopaswa kumdhibiti?

Marekani imeamua kukusaidia kujitenga na Makonda. Marekani imekutega Rais na Mwenyekiti wangu Dr. John Pombe Magufuli. Imekusaidia na kukupa nafasi adhimu. Jitenge na Makonda kabla ya mambo mrama kwenda!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Anajitenganae vp wakati yy anatoa hayo maelekezo yafanyike

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu,
Mengi umeyaongelea ni sawa kabisa, Tanzania ina watu wangapi? kwa mujibu wako wewe watu wangapi wamenyima haki zao za kuishi naomba uwaorodheshe hapa kwa takwimu sahihi ulizonazo na zinazoeleweka, na ukiweza kwa majina.
Uhuru wa kukutana? Wewe kama wewe umefanya vikao gani umenyimwa?
Demokrasia ya Afrika imebadilika lini?
Nijibu haya Kwanza.
Brother wazee wetu walifanikiwa Sana kuliunganisha taifa hili, hadi tukaitwa kisiwa cha amani.
hebu jiulize tungali kisiwa cha amani? Na Kama bado tunakoenda tutaendelea kuwa kisiwa change amani?
Katibu mkuu CDM aliwahi Kukaa rumande huko kusini kwa wiki kadhaa kwa kosa la kufanya mkutano wa ndani kinyume na maagizo ya mkuu wa kaya hadi Leo baba wa watu anahudhuria kesi ndogo iliyodumu kwa miaka kadhaa bila kuhukumiwa, Ni ushahidi gani unatafutwa wakati alikamatwa akiwa kwenye kikao?
Je mwenezi wetu na Katibu mkuu wetu hawafanyi vikao mikoani? Nani kawashitaki au kuwanyima vibari? Kwa hiyo sheria inawahusu wale na hawa haiwahusu; huu so unyimi wa haki?
Kuhusu wasio julikana na wateka nyara hili unalijua, tatizo tunashindwa kuwabaini Hawa watu wanaositisha haki za watu kuishi najua unakumbuka kule baharini, beach zetu zilitapika wafu wote waliomezwa miaka dahari! tunashindwa kujitetea, tukatoa majibu lainiii!
Ujue mwizi akimwibia mlinzi,mtuhumiwa wa Kwanza ni mlinzi, hadi mlinzi atakapombainisha mwizi.
Wenzetu wameshaona tunakoenda siko wanataka kuturejesha kwenye njia sahihi, hata hao unaowajua wewe walianzia Huku huku.
 
unajua kuwa makundi hayo yote yanatengenezwa na marekani?

Magaidi ujifichia kwa wanawake na watoto ili kupata cover ili dunia ipone inabidi hata wasio na hatia wajitoe sadaka bila hivo dunia ingetawaliwa na ISIS,Alqaeda,Mujahidin,alshabab,boko.
Ningekuwa trump hawa madikteta,wababe wa kivita,makundi ya kigaidi,vikundi vya waasi,wajamaa ningewasafirisha waondoke duniani hawa ndio wanaoisumbua dunia wangechezea drones wapotelee mbali,haiwezekani watu wachache waliokosa malezi bora utotoni waachwe waiharibu dunia hivihivi.Check dunia inavoingia gharama za kuwahudumia wakimbizi sababu ya ujinga Wa wachache hizo Pesa si zingeenda kwenye mengine ya kuisaidia dunia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani imesema: Makonda ni mkandamizaji wa haki za kibinaadamu ikiwemo haki ya kuishi (kwa tafsiri isiyo rasmi ni kuwa anahusika na mauaji ya raia); haki ya kidemokrasia na nyinginezo. Anapaswa kuwekwa kando haraka!

Marekani imetega mtego usio na magego. Mtego mkali. Mtego wao unaanzia kwenye swali la kiudadisi: Makonda amefikiaje kukandamiza haki za kibinaadamu hadi kupigwa marufuku ya kuingia Marekani akiwa amezungukwa na wakuu wake(ukiwemo Mwenyekiti wangu) waliopaswa kumdhibiti?

Marekani imeamua kukusaidia kujitenga na Makonda. Marekani imekutega Rais na Mwenyekiti wangu Dr. John Pombe Magufuli. Imekusaidia na kukupa nafasi adhimu. Jitenge na Makonda kabla ya mambo mrama kwenda!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Tangia lini Sikio la Kufa likasikia Dawa? Mnapoteza bure muda wenu huyo Makonda atamaliza nae Awamu yake hii ya Kwanza ili amlinde na kabla akipita tena kwa Awamu ya Pili atamteua kuwa Balozi ambako ndiko itakuwa hatima yake. Kwa sasa anakuna Kichwa jinsi ya Kumlinda na Kumuokoa ila hatomuondoa sasa hivi na nawashaurini tu acheni Kupoteza muda Wenu juu ya hili tafadhalini. Mtu ambaye ana 99% ya Uozo wako wote Kiutendaji, Kiutawala hadi Kijamii na mengineyo Wewe ndiyo ulikuwa ukimtuma huwezi Kumuondoa au Kumtupa Kizembe Kizembe hivyo na kama ukitaka njia ya haraka kukata Mzizi wa Fitna basi ni Kumuwahisha tu Mavumbini ( Udongoni ) kabla ya ule muda aliopangiwa na Mwenyezi Mungu kupitia Wakala wake Mkuu Israeli. Siyo rahisi kama ambavyo wengi Wetu tunadhani.
 
Ninaona awamu hii kila mtu amemchoka mheshimiwa. 😁😁
 
Daaah vilaza bado mnakomaa na kauli ya Marekani sio mbinguni,hapa twapaswa kiangalia sababu za kupigwa hiyo ban,shwain!


Na hakuna kauli ninayomdharau nayo mtu kwa kusema Marekani sio Mbinguni nachukia na kumdharau haswa
 
Ngumu mno kutenganisha nyama na nhozi4
Marekani imesema: Makonda ni mkandamizaji wa haki za kibinaadamu ikiwemo haki ya kuishi (kwa tafsiri isiyo rasmi ni kuwa anahusika na mauaji ya raia); haki ya kidemokrasia na nyinginezo. Anapaswa kuwekwa kando haraka!

Marekani imetega mtego usio na magego. Mtego mkali. Mtego wao unaanzia kwenye swali la kiudadisi: Makonda amefikiaje kukandamiza haki za kibinaadamu hadi kupigwa marufuku ya kuingia Marekani akiwa amezungukwa na wakuu wake(ukiwemo Mwenyekiti wangu) waliopaswa kumdhibiti?

Marekani imeamua kukusaidia kujitenga na Makonda. Marekani imekutega Rais na Mwenyekiti wangu Dr. John Pombe Magufuli. Imekusaidia na kukupa nafasi adhimu. Jitenge na Makonda kabla ya mambo mrama kwenda!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Jr[emoji769]
 
Maskini mzee wetu umeandika kwa unyonge, unawakilisha hali halisi iliyopo hapo Lumumba kwa sasa, kumbukeni hiyo ni sindano moja tu ya muamerika, mkileta ujuaji anaweka ya pili! sijui mtakuwa kwenye hali gani!

Nilidhani kaishia kupiga wazee makofi, kumbe kaendeleza kipaji maradufu, sasa ni muuaji!.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubaya zaidi wanasema wana ushahidi. Hawa wamarekani huu uchunguzi walioufanya lini? Inawezekana CIA ina operate Bongo kimya kimya, inakusanya data na kuzirusha kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bongo tukipewa misaada na Hao hao nguruwe tunachekelea kama juz kat tumepewa magari ya kijesh tunachekelea Who knows inside such misaada?
 
Vyombo vyetu vya ndani vinashughulika na CHADEMA tu
Sikitiko langu kubwa ni tuhuma aliooredheshewa ya kudhulumu uhai wa watu kadhaa (kukatisha uhai wa watu kabla ya wakati wao). Hili ni jambo ambalo serikali inapaswa ilitolee maelezo ni kwa namna gani vyombo vya usalama vya nje vifahamu pasipo na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kufahamu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo magumu kwa Makonda, serikali yetu,na raia wa nchi yetu.
Ban hiyo haikuja kwa bahati mbaya,its a calculated action.
Tukijifanya mbogo tu watakuja na vikwazo lukuki.
Tukiongeza makeke kuna hatari ya Marekani kuzilazimisha nchi rafiki kutususia.
Hizi sio habari njema ni majanga.
Lakini hata serikali ikimfukuza Makonda kazi,Marekani itakuja na sharti la Makonda kushtakiwa,hata akishtakiwa watakuja na sharti na tume huru.Hata serikali ikitimiza hilo watadai katiba mpya.Hata serikali ikikubali katiba mpya watadai serikali yetu haitendi haki n.k
Huyo ndio Marekani baba lao.
 
Hivi Marekani inalinda haki za binadamu kweli? Mbona kila kukicha unasikia katika vyombo vya habari mtu kafyatulia risasi wanafunzi, watu wailo katika club au supermarket! Mara Police wamemuua raia! Huo ndo utaratibu wa kulinda haki za binadamu kwa Wamerekani?
Lakini huwa wanawchukulia hatua, je hapa kwetu unaweza wagusa watu wasiojulikana?
 
QUOTE="Dystonia7, post: 34255806, member: 567039"]C

CIA wapo kila mahali na unawajua wamarekani wana maagent wao kila sehemu.[/QUOTE]

Kuna watu ni double agent unakuta yupo TISS alafu CIA dunia hii ni zaidi uijuavyo Hata Rais wa Tanzania haijui Tanzania [emoji1241]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom