Serikali imwangalie Prof. Assad isimwache ateseke hivi. Huyu jamaa hayupo sawa

Katiba inasemaje?
 
Nilikuwa namheshimu huyu prof. Lakini baada ya kuongobutumbo akiunga mkono bandari iuzwe kwa dp world kisa ni regime yawaislamu wenzie nilimdharau sana
 
Aliyemtuma akaropoke mambo ya jikoni kule USA ni nani? Abebe msalaba wake.
 
Wewe na asa
D nani anateseka? Wewe bila Shaka ni sukuma gang
 
Hivi
Tatizo la watu wengi wakiwa kazini wanasahau baada ya kazi maisha yanaendelea. Yaani mtu nje ya makaratasi na kalamu hakuna unachokijua kingine. Kazi ikitamatika ndo matokeo yake hayo sasa. Kulialia. Wachukuage mfano wa mizengo pinda.
Wewe unamjua Asad unahisi Asad ni kama baba yako ambae mpaka leo anafanya kazi kwa wahindi?
 
Miaka 58 bado unalilia ajira za serikali? Ndio maana wasomi wengi hawana mafanikio , msomi kufanikiwa lazima aibe, ulionewa ulionewa, yeye hawezi kujiongeza akafungua hata kampuni akaajiri watu wengine?
 
Hivi

Wewe unamjua Asad unahisi Asad ni kama baba yako ambae mpaka leo anafanya kazi kwa wahindi?
Kwakuwa baba yako anafanyakazi kwa wahindi haimaanishi baba wa kila mtu ni mfanyakazi wa wahindi.
Baba yangu ni mkulima. Hajawahi kumtetemekea mtu ampe au ambakishe kwenye cheo. Namfaham Asad kama profesa aliyekuwa CAG, Kisha akastafishwa na tangu hapo amekuwa ni wa kulialia kwenye interview. Kama kuna kingine naweza kukijua kumhusu naomba unishirikishe ndugu.
 
Prof tatizo lake kubwa ni fundamentalist, yaani anachokiamini huwezi mbadilisha, hakufaa kuwa kiongozi. Naamini hata vetting ilikuwa mbaya ila nadhani Dkt Kikwete atakuwa alilazimisha
 
Kwa hiyo unamaanisha wengi hatupendi watu walionyooka ?
 
Alisema yupo kijijini analima bamia ila naona mambo Bado magumu si Kwa malalamiko aliyonayo
 
You're just another in the race
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…