Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshtuka mbona?Aisee!
Je Israeli nao wanatumia Bendera ya Tanzania? hio ni staili ya kuibia wajinga wa hili TaifaHaiwezekani kitumia bendera ya nchi ambayo ipo ktk vita ktk kipindi cha mzozo wa dunia.
Jee na wengine wakianza kuzitumia za Palestina itakuwaje?
Gwaji mfufua watuMuache bana mtu na biashara yake, hujui kwa iq ya wabongo wanajua hicho kitambaa ndio kitawapeleka mbinguni? Na huyu mbunge anatumia part time job yake kula, wakishtuka wataacha
Gwaji mfufua watu
Kuna mdada huku mwamposa anaponya namchora tu namwambia mtaendelea kuwa wajinga mpka lini.Biashara kwa wajinga, kuna mtu kagundua kipimo cha iq kujua tuna shida gani ngoja kianze kutumika huenda tutajua ni utapiamlo au ugonjwa utasumbua, kufanya yaleyale for generations tukitegemea matokeo tofauti ni kipaji ati!
Kwani si mwana CCM mwenzenu??Haiwezekani kitumia bendera ya nchi ambayo ipo ktk vita ktk kipindi cha mzozo wa dunia.
Jee na wengine wakianza kuzitumia za Palestina itakuwaje?
Kuna mdada huku mwamposa anaponya namchora tu namwambia mtaendelea kuwa wajinga mpka lini.
Acha chuki buana ....si anatumia kanisani kwake? sasa kama wewe si kanisa lako inakuuma nini?Haiwezekani kitumia bendera ya nchi ambayo ipo ktk vita ktk kipindi cha mzozo wa dunia.
Jee na wengine wakianza kuzitumia za Palestina itakuwaje?
Haiwezekani kitumia bendera ya nchi ambayo ipo ktk vita ktk kipindi cha mzozo wa dunia.
Jee na weng
Huo ni woga tu na hisia mfu. Kwa hiyo bendera za mataifa yaliyoko Vitani hapa Tanzania haziendelei kupepea katika Ofizi na majumba ya maborozi wao? Kwa hiyo na Bendera ya Tanzania siendelee kupepea kwenye mataifa mengine kwa sasa ambako hali siyo shwari nyumbani. Kule Gaza watu wanatekana na kuuana ambacho ndicho chanzo cha hiyo vitaunayoisema, rejea events za October 7 2023 by HAMAS, ilikuwa ni utekeji na mauaji.Haiwezekani kitumia bendera ya nchi ambayo ipo ktk vita ktk kipindi cha mzozo wa dunia.
Jee na wengine wakianza kuzitumia za Palestina itakuwaje?
Kwani hazitumiki, ama hauna taarifa?Haiwezekani kitumia bendera ya nchi ambayo ipo ktk vita ktk kipindi cha mzozo wa dunia.
Jee na wengine wakianza kuzitumia za Palestina itakuwaje?
Unaweza kuthibitisha kwamba Mwamposa haponyi?Kuna mdada huku mwamposa anaponya namchora tu namwambia mtaendelea kuwa wajinga mpka lini.
Wambie na wale wasiowapenda wana wa Israel na wao wakapeperushe zile za HAMAS na Hezbollah, na za Al Qaeda na Houths na ISIS. Na tunajua supporters wao wapo wengi tu hapa kwetu wanaowashabikia , so ni uhuru wao .Acha chuki buana ....si anatumia kanisani kwake? sasa kama wewe si kanisa lako inakuuma nini?
Kinachotuuma ni kutumia kitambaa kuwatapeli wengineAcha chuki buana ....si anatumia kanisani kwake? sasa kama wewe si kanisa lako inakuuma nini?
Nina evidence nyingi wala sina shaka na ww unaamini anaponya yule tapeli? Yani uwe na kansa afu upone kwa maombi huwa nawachora wale mashuhuda wakopumbavuUnaweza kuthibitisha kwamba Mwamposa haponyi?