Serikali imzuie Askofu Gwajima kutumia bendera ya Israel ktk kanisa lake

Serikali imzuie Askofu Gwajima kutumia bendera ya Israel ktk kanisa lake

Haiwezekani kitumia bendera ya nchi ambayo ipo ktk vita ktk kipindi cha mzozo wa dunia.
Jee na wengine wakianza kuzitumia za Palestina itakuwaje?
Bendera ya sponsor wake , nakupa hii Leo sio Kwa gwajima zunguka makanisa yote utakapo Kuta bandera hiyo ujue mashirika toka Israel yanatoa fedha kufadhiri mengi ndani ya kanisa
 
Weka evidence hapa ili utusaidie tunaoamini tufunguke...
Kuna link za documentary ntakupa si za bpngo ila zonafanana na hawa fake pastors una hizo za afrika hapa hapa ukibisha basi una matatizo ushuhuda mwingine nshahudia mtt anaulemavu hawez tembea sasa ana mwaka na miez 3 kumbe miaka yote iyo wanaenda kwa mwamposa lakini ccbrt walithibitisha mtt alipozaliwa aliugua homa ya manjano utaona jinsi akili za kitx zilivyo zakpumbavu
 
Kuna link za documentary ntakupa si za bpngo ila zonafanana na hawa fake pastors una hizo za afrika hapa hapa ukibisha basi una matatizo ushuhuda mwingine nshahudia mtt anaulemavu hawez tembea sasa ana mwaka na miez 3 kumbe miaka yote iyo wanaenda kwa mwamposa lakini ccbrt walithibitisha mtt alipozaliwa aliugua homa ya manjano utaona jinsi akili za kitx zilivyo zakpumbavu
Ninazo documentaries nyingi tu, natafuta ya Mwamposa ambayo nina uhakika wewe unayo. Na siwezi kutumia mifano mingine kumhukumu Mwamposa, kama ambavyo hutapenda tabia za mwingine zitumike kuku-define wewe.

Kuhusu suala la mtoto kutotembea, je, waliishiaje kwa Mwamposa, alisema hawezi kumponya?
 
Haiwezekani kitumia bendera ya nchi ambayo ipo ktk vita ktk kipindi cha mzozo wa dunia.
Jee na wengine wakianza kuzitumia za Palestina itakuwaje?
b.jpeg


bb.jpeg
Katoliki wapigwe marufuku kutumia BENDERA ZA WARUMI -ITALY na WALOKOLE WANYIMWE KUTUMIA za MATAIFA MENGINE.

Alafu mkishamalizana na "makafiri" mtarudi kwenu kuanza kubaguana, huyu ni ni suni, yule Ismailiya, yule ni Mhabi yule na Shia, aliyewanyima elimu alifanya kosa kubwa sana.
 
Sidhani kama bendera ya Israel zilizoko makanisani zinatumika kisiasa. Zinatumika kiimani zaidi.
Mwambie aweke za Magaidi wa Hezbula na Hamas, kwani amenyimwa?
Yani yeye kaamua kutokula nguruwe "nyama tamu zaidi duniani" anatulazimisha vipi sisi kula tende za Saudi na Oman?
1726723570298.png
 
Wambie na wale wasiowapenda wana wa Israel na wao wakapeperushe zile za HAMAS na Hezbollah, na za Al Qaeda na Houths na ISIS. Na tunajua supporters wao wapo wengi tu hapa kwetu wanaowashabikia , so ni uhuru wao .
Wayahudi si ndio maadui wa Yesu? si ndio walimtesa na kumsulubu? wayahudi hawaukubali ukristo hata kidogo,
Sasa kuna uhusiano gani kati ya bendera ya Israel na Christianity?
 
Haiwezekani kitumia bendera ya nchi ambayo ipo ktk vita ktk kipindi cha mzozo wa dunia.
Jee na wengine wakianza kuzitumia za Palestina itakuwaje?
Serikali inasemaje kuhusu hilo maana wana ubalozi hapa?
Bendera ni relics zile, just because unachukia israel haimaanishi wengine wanachukia . Na msimamo wa nchi si huo
 
Serikali inasemaje kuhusu hilo maana wana ubalozi hapa?
Bendera ni relics zile, just because unachukia israel haimaanishi wengine wanachukia . Na msimamo wa nchi si huo
Tukiweka za Hamas makanisa hawatapiga kelele?
 
Haiwezekani kitumia bendera ya nchi ambayo ipo ktk vita ktk kipindi cha mzozo wa dunia.
Jee na wengine wakianza kuzitumia za Palestina itakuwaje?
Nmeona tu jna malaria bx hapo sna shaka dsh limeyumba hata atumie ya congo hata semeshwa mrad asvunje and aman ya nch
 
Nmeona tu jna malaria bx hapo sna shaka dsh limeyumba hata atumie ya congo hata semeshwa mrad asvunje and aman ya nch
Tatizo kwamba hivi sasa kuna vita kule. Na vijana wakitanzania washawahi kufa. Jee sio wakala wa kuwasafirisha?
 
Haiwezekani kitumia bendera ya nchi ambayo ipo ktk vita ktk kipindi cha mzozo wa dunia.
Jee na wengine wakianza kuzitumia za Palestina itakuwaje?
umewaza kama gaidi kabisa. kwa kifupi, wakristo wote tunasapoti Israel na tunasapoti kwa anachokifanya, anajitetea kwa october 7, na tunawaombea. usifikiri kila mtu hapa anaswali kwa kuinama.
 
Back
Top Bottom