Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwako Hilo ndo suluhu ya matatizo ya Watanzania...!?Haiwezekani kitumia bendera ya nchi ambayo ipo ktk vita ktk kipindi cha mzozo wa dunia.
Jee na wengine wakianza kuzitumia za Palestina itakuwaje?
Suala la mtt kumponya halikuwezekani ila ccbrt alivyoenda mtt anasimama nowNinazo documentaries nyingi tu, natafuta ya Mwamposa ambayo nina uhakika wewe unayo. Na siwezi kutumia mifano mingine kumhukumu Mwamposa, kama ambavyo hutapenda tabia za mwingine zitumike kuku-define wewe.
Kuhusu suala la mtoto kutotembea, je, waliishiaje kwa Mwamposa, alisema hawezi kumponya?
Halikuwezekana kwa sababu Mwamposa kashindwa ama kwa kuwa mzazi alihama kituo cha usaidizi?Suala la mtt kumponya halikuwezekani ila ccbrt alivyoenda mtt anasimama now
💯💯💯 Niletee Gwajima😃😃😃Kwani si mwana CCM mwenzenu??
Celewi ulichoandika ila kwa mwamposa kulishindikanaHalikuwezekana kwa sababu Mwamposa kashindwa ama kwa kuwa mzazi alihama kituo cha usaidizi?
Mbona umetaja bendera za vikundi badala ya bendera za nchi kama ilivyo Israel? Mtoa mada kasema na wengine wakipeperusha za Palestina itakuwaje?Wambie na wale wasiowapenda wana wa Israel na wao wakapeperushe zile za HAMAS na Hezbollah, na za Al Qaeda na Houths na ISIS. Na tunajua supporters wao wapo wengi tu hapa kwetu wanaowashabikia , so ni uhuru wao .
Mamake alivyokufa aliweza?, Mnaoamin ini ni nyinyi punda wake hamnazo pekee.Unawezaje kuthibitisha?
Wakiristo wa jf mtapega kelele.Si mtumie bendera ya palestina kwenye misikiti yenu kwani mmekatazwa?
Yawezekana una hoja! Lakini kabla hujaja hapa jukwaani, ni vema ungeenda kanisani kwake ukamuuliza yeye ili akupe majibu fasaha kwa nini anaweka bendera hiyo.kuzitumia
Kwahiyo na mimi nikitundika bendera ya 🇸🇦 ni kosa.Haiwezekani kitumia bendera ya nchi ambayo ipo ktk vita ktk kipindi cha mzozo wa dunia.
Jee na wengine wakianza kuzitumia za Palestina itakuwaje?