DOKEZO Serikali imzuie huyu jamaa kuingia nchini, ana agenda amebeba

DOKEZO Serikali imzuie huyu jamaa kuingia nchini, ana agenda amebeba

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Nimekatiza mitaa ya X nikakutana na taarifa ya mwana mazoezi jina simfahamu ila ni mtu maarufu kwenye mitandao ya kijamii kwa kuoneka kuwa na makalio makubwa na kufanyisha Watu mazoe ya kuongeza makalio

Sasa taarifa zilizopo zinaeleza kuwa ataingia nchini June 29 na sijajuwa atakuwepo hadi lini

Aina ya mazoezi yake ni yale ya kuongeza makalio

Naomba serekali izue vibali vyake kwa vile ujio wake uko kiupinde upinde sana

Nimelazimika kununua bando nilete hii taarifa huku tuijadili na kisha tuiazimie wote kwa pmj

Waziri @dr gwajima tunataka kauli yako haraka

Asante

 
Acha nongwa kwahiyo hutaki dada zetu wawe na mshepu kama wa king of squats,mambo ya upinde ni wewe tu yamekujaza akili na moyoni mwako.

Nakushauri jikite kutafuta pesa kuliko kupoteza muda kwenye ishu za kujidharirisha kama hizi.
Naona ulivyo mjinga ndio unaenda kuongeza kalio uniletee nitindue siyo mm silagi mashoga
 
Back
Top Bottom