DOKEZO Serikali imzuie huyu jamaa kuingia nchini, ana agenda amebeba

DOKEZO Serikali imzuie huyu jamaa kuingia nchini, ana agenda amebeba

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nimekatiza mitaa a ya x nikakutana na taarifa ya mwana mazoezi jina simfahamu ila ni mtu maarufu kwenye mitandao ya kijamii kwa kuoneka kuwa na makalio makubwa na kufanyisha Watu mazoe ya kuongeza makalio

Sasa taarifa zilizopo zinaeleza kuwa ataingia nchini June 29 na sijajuwa atakuwepo hadi lini

Aina ya mazoezi yake ni yale ya kuongeza makalio

Naomba serekali izue vibali vyake kwa vile ujio wake uko kiupinde upinde sana

Nimelazimika kununua bando nilete hii taarifa huku tuijadili na kisha tuiazimie wote kwa pmj

Waziri @dr gwajima tunataka kauli yako haraka
Asnte
Nimesha mkomenti mahala nikamwambia hatutaki kumuona
 
Nimekatiza mitaa a ya x nikakutana na taarifa ya mwana mazoezi jina simfahamu ila ni mtu maarufu kwenye mitandao ya kijamii kwa kuoneka kuwa na makalio makubwa na kufanyisha Watu mazoe ya kuongeza makalio

Sasa taarifa zilizopo zinaeleza kuwa ataingia nchini June 29 na sijajuwa atakuwepo hadi lini

Aina ya mazoezi yake ni yale ya kuongeza makalio

Naomba serekali izue vibali vyake kwa vile ujio wake uko kiupinde upinde sana

Nimelazimika kununua bando nilete hii taarifa huku tuijadili na kisha tuiazimie wote kwa pmj

Waziri @dr gwajima tunataka kauli yako haraka
Asnte
Acha uongo huyu ni wana biashara yao ya
Nimekatiza mitaa a ya x nikakutana na taarifa ya mwana mazoezi jina simfahamu ila ni mtu maarufu kwenye mitandao ya kijamii kwa kuoneka kuwa na makalio makubwa na kufanyisha Watu mazoe ya kuongeza makalio

Sasa taarifa zilizopo zinaeleza kuwa ataingia nchini June 29 na sijajuwa atakuwepo hadi lini

Aina ya mazoezi yake ni yale ya kuongeza makalio

Naomba serekali izue vibali vyake kwa vile ujio wake uko kiupinde upinde sana

Nimelazimika kununua bando nilete hii taarifa huku tuijadili na kisha tuiazimie wote kwa pmj

Waziri @dr gwajima tunataka kauli yako haraka
Asnte
Umeongeza chumvi sana,
 
Screenshot_20240626_194731_com.facebook.katana.jpg
 
Jamaa namkubali mno, kuliko kalio lake alitumie vibaya na kuleta nongwa kwa jamii.
Yeye kaona alitumie kuteka vidada vitaka tako..

Mambo ya upinde ni wewe na tamaa zako, si ajabu huyo jamaa mkiachwa geto utampakua..

Upinde wake uko wapi hapo? Acha nongwa.
Pesa inatafutwa kwa njia nyingi(halali) kama hiyo.
 
Jamaa namkubali mno, kuliko kalio lake alitumie vibaya na kuleta nongwa kwa jamii.
Yeye kaona alitumie kuteka vidada vitaka tako..

Mambo ya upinde ni wewe na tamaa zako, si ajabu huyo jamaa mkiachwa geto utampakua..

Upinde wake uko wapi hapo? Acha nongwa.
Pesa inatafutwa kwa njia nyingi(halali) kama hiyo.
Nenda na wew karekebishe kalio mku likuze
 
Jamaa namkubali mno, kuliko kalio lake alitumie vibaya na kuleta nongwa kwa jamii.
Yeye kaona alitumie kuteka vidada vitaka tako..

Mambo ya upinde ni wewe na tamaa zako, si ajabu huyo jamaa mkiachwa geto utampakua..

Upinde wake uko wapi hapo? Acha nongwa.
Pesa inatafutwa kwa njia nyingi(halali) kama hiyo.
Nenda na wew karekebishe kalio mkuu
 
Nimekatiza mitaa a ya x nikakutana na taarifa ya mwana mazoezi jina simfahamu ila ni mtu maarufu kwenye mitandao ya kijamii kwa kuoneka kuwa na makalio makubwa na kufanyisha Watu mazoe ya kuongeza makalio

Sasa taarifa zilizopo zinaeleza kuwa ataingia nchini June 29 na sijajuwa atakuwepo hadi lini

Aina ya mazoezi yake ni yale ya kuongeza makalio

Naomba serekali izue vibali vyake kwa vile ujio wake uko kiupinde upinde sana

Nimelazimika kununua bando nilete hii taarifa huku tuijadili na kisha tuiazimie wote kwa pmj

Waziri @dr gwajima tunataka kauli yako haraka
Asnte
Tunapoongelea Gen Z ni lazima utaje ni Gen Z ya wapi, Gen Z ya Tanzania haya ndiyo mambo yao sasa, wanaweza sana hizi mambo
 
Nimekatiza mitaa a ya x nikakutana na taarifa ya mwana mazoezi jina simfahamu ila ni mtu maarufu kwenye mitandao ya kijamii kwa kuoneka kuwa na makalio makubwa na kufanyisha Watu mazoe ya kuongeza makalio

Sasa taarifa zilizopo zinaeleza kuwa ataingia nchini June 29 na sijajuwa atakuwepo hadi lini

Aina ya mazoezi yake ni yale ya kuongeza makalio

Naomba serekali izue vibali vyake kwa vile ujio wake uko kiupinde upinde sana

Nimelazimika kununua bando nilete hii taarifa huku tuijadili na kisha tuiazimie wote kwa pmj

Waziri @dr gwajima tunataka kauli yako haraka
Asnte
kwani anawafuata wanaume au wanawake?
 
Nimekatiza mitaa a ya x nikakutana na taarifa ya mwana mazoezi jina simfahamu ila ni mtu maarufu kwenye mitandao ya kijamii kwa kuoneka kuwa na makalio makubwa na kufanyisha Watu mazoe ya kuongeza makalio

Sasa taarifa zilizopo zinaeleza kuwa ataingia nchini June 29 na sijajuwa atakuwepo hadi lini

Aina ya mazoezi yake ni yale ya kuongeza makalio

Naomba serekali izue vibali vyake kwa vile ujio wake uko kiupinde upinde sana

Nimelazimika kununua bando nilete hii taarifa huku tuijadili na kisha tuiazimie wote kwa pmj

Waziri @dr gwajima tunataka kauli yako haraka
Asnte
Wanaume hoyeeee
Mnaletewa kishundu hicho mnapokeaje kalio hilo?
 
Back
Top Bottom