DOKEZO Serikali imzuie huyu jamaa kuingia nchini, ana agenda amebeba

DOKEZO Serikali imzuie huyu jamaa kuingia nchini, ana agenda amebeba

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Swali, kwanini mwanaume afanye zoezi la kuongeza matako?
Sidhani kama wanaume wanaenda kufanya mazoezi ili waongeze makario, ila wadada nadhani ndo wanaenda kwaajili hiyo.

Kwani yeye anafanyisha zoezi aina moja tu?
Na mwanaume ambaye ni shoga, anaweza YALE MAZOEZI kweli?
 
Sidhani kama wanaume wanaenda kufanya mazoezi ili waongeze makario,ila wadada nadhani ndo wanaenda kwaajili hiyo.
Kwani yeye anafanyisha zoezi aina moja tu?
Na mwanaume ambaye ni shoga,anaweza YALE MAZOEZI kweli?
Ukimtizama huyo mkufunzi, unaona yuko sawa?
 
Back
Top Bottom