DOKEZO Serikali imzuie huyu jamaa kuingia nchini, ana agenda amebeba

DOKEZO Serikali imzuie huyu jamaa kuingia nchini, ana agenda amebeba

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Acha nongwa kwahiyo hutaki dada zetu wawe na mshepu kama wa king of squats,mambo ya upinde ni wewe tu yamekujaza akili na moyoni mwako.

Nakushauri jikite kutafuta pesa kuliko kupoteza muda kwenye ishu za kujidharirisha kama hizi.
Akili hauna ww kwa hii taarifa ni kujizalilisha au ww ujui nchi yetu kwa sasa inapoelekea tunaenda kwenye ukombozi wa kifikra maana tumechoka kupelekeshwa na viongozi wapuuzi
 
Akili hauna ww kwa hii taarifa ni kujizalilisha au ww ujui nchi yetu kwa sasa inapoelekea tunaenda kwenye ukombozi wa kifikra maana tumechoka kupelekeshwa na viongozi wapuuzi
Kuna masela humu wanampondea lakini kisirisiri wamem follow na wanayafuatisha mazoezi yake.
Kuna wanaume wameshawishiwa kabisa na madem zao kwamba wawe wanatafuta clips za jamaa na kufuatisha mazoezi yake ili angalau wajenge tako la kuvalia suruali na wamekubali kiroho safi.
Siku hizi masela wengi tu wanatafuta tako la kuvalia suruali wengine wanadhawishiwa na madem zao
 
Back
Top Bottom