bolivia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2021
- 3,083
- 5,179
Litakusaidia nn kwa mfano?;jitathiminiHautaki dada zako tuwe na mawowowo???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Litakusaidia nn kwa mfano?;jitathiminiHautaki dada zako tuwe na mawowowo???
Wanasema kupata vipatoHilo wowowo linakusaidia nini?
Akili hauna ww kwa hii taarifa ni kujizalilisha au ww ujui nchi yetu kwa sasa inapoelekea tunaenda kwenye ukombozi wa kifikra maana tumechoka kupelekeshwa na viongozi wapuuziAcha nongwa kwahiyo hutaki dada zetu wawe na mshepu kama wa king of squats,mambo ya upinde ni wewe tu yamekujaza akili na moyoni mwako.
Nakushauri jikite kutafuta pesa kuliko kupoteza muda kwenye ishu za kujidharirisha kama hizi.
Mpuuzi sanaAkili hauna ww kwa hii taarifa ni kujizalilisha au ww ujui nchi yetu kwa sasa inapoelekea tunaenda kwenye ukombozi wa kifikra maana tumechoka kupelekeshwa na viongozi wapuuzi
Litanisaidia kujiamini kaka...Litakusaidia nn kwa mfano?;jitathimini
Linaongeza sana confidence kakaHilo wowowo linakusaidia nini?
Kuna masela humu wanampondea lakini kisirisiri wamem follow na wanayafuatisha mazoezi yake.Akili hauna ww kwa hii taarifa ni kujizalilisha au ww ujui nchi yetu kwa sasa inapoelekea tunaenda kwenye ukombozi wa kifikra maana tumechoka kupelekeshwa na viongozi wapuuzi
Mnataka myafanyie nn?Hautaki dada zako tuwe na mawowowo???
Tunataka ya kutembelea kaka, make kutembea bila wowowo ni tabu kidogo....Mnataka myafanyie nn?
Akatembelea na bunge letu, akasalimiana na wabunge wetu wapendwaAnaweza kuja akapokelewa na waziri kabisa, wabongo hatuna akili kwenye vitu vya kijinga
Uwiiiiiiiiiiiii kwq hy na yeye ni chakulaKwankweli huyu hafai ana chochea ushoga yuko hapa souz ameharibu vijana wengi sana hapa
Kabisa wabunge wetu wenyewe hovyoAkatembelea na bunge letu, akasalimiana na wabunge wetu wapendwa
Bora umemuambia ukwelii,Acha nongwa kwahiyo hutaki dada zetu wawe na mshepu kama wa king of squats,mambo ya upinde ni wewe tu yamekujaza akili na moyoni mwako.
Nakushauri jikite kutafuta pesa kuliko kupoteza muda kwenye ishu za kujidharirisha kama hizi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si mnapenda mataakoo....ndo kaja kuwawekea sasa habagui hachagui wa kike wa kiume...