DOKEZO Serikali imzuie huyu jamaa kuingia nchini, ana agenda amebeba

DOKEZO Serikali imzuie huyu jamaa kuingia nchini, ana agenda amebeba

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kuna masela humu wanampondea lakini kisirisiri wamem follow na wanayafuatisha mazoezi yake.
Kuna wanaume wameshawishiwa kabisa na madem zao kwamba wawe wanatafuta clips za jamaa na kufuatisha mazoezi yake ili angalau wajenge tako la kuvalia suruali na wamekubali kiroho safi.
Siku hizi masela wengi tu wanatafuta tako la kuvalia suruali wengine wanadhawishiwa na madem zao
😂😂😂😂😂😂
 
Tujadili Kodi kandamizi,na sio mambo ambayo hayana tija Kwa Taifa.
Kuna mengi ya kujadili na sio upuizi wa aina hiyo.
Mmeshindwa kupaza sauti mambo yenye tija.

Hiyo ni biashara ya mtu binafsi.
Hutalazimishwa kijana kwenda kwenye mazoezi yake.we nenda gym au Mabio basi.
Na unawezakuta ni kupotezeana concetration kwny mambo ya msingi ili huyu Kenge atrend
 
UNATUCHANGANYA

KUNASIKU,umesema wazi mumeo anakupelekea moto ukiwa umeinamishwa hua ngoma ikikukolea hua unatamani ufilwe

Na ,comment yako iko kwenye bandiko la Gentamecine/talented ,alizungumzia mademu wakiinamishwa tu lalamiko wasiingizwe

Unatuchanganya
Hahaha mwamba mwana anfirwa
 
Apelekwe Kenya akakimbizwe mchakamchaka na wale jamaa mafuta yatakwisha yale
 
Back
Top Bottom