Serikali ina la kuwaambia wananchi juu ya kutokupatikana kwa mtandao kipindi cha Uchaguzi 2020?

Serikali ina la kuwaambia wananchi juu ya kutokupatikana kwa mtandao kipindi cha Uchaguzi 2020?

Rare Sapphire

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2021
Posts
590
Reaction score
1,648
Mmoja wa washiriki kwenye Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari 2020 amerusha swali kwa wawasilishaji Mike Mushi na Ayoub Rioba pamoja na meza ya Mgeni Rasmi Waziri Nape Nnauye kwanini serikali haijatoa ufafanuzi juu ya kupotea kwa internet kipindi cha uchaguzi mwaka 2020 kama serikali hivi karibuni imekuwa na utaratibu wa kutoa taarifa rasmi endapo kukiwa na mkanganyiko wa taarifa kwa wananchi?

Ayoub Rioba: Duniani mpaka nchi zilizoendelea kabisa huwa zinatumia teknolojia kudhibiti baadhi ya vitu!

Wadau hii imekaaje?
 
Angemuuliza nchi zilizoendelea zimeruhusu ushoga, na wewe utaruhusu ushoga kwa sababu nchi zilizoendelea zimeruhusu ushoga?

Nchi zilizoendelea zikila mavi na weee utakula mavi?
 
Mmoja wa washiriki kwenye Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari 2020 amerusha swali kwa wawasilishaji Mike Mushi na Ayoub Rioba pamoja na meza ya Mgeni Rasmi Waziri Nape Nnauye kwanini serikali haijatoa ufafanuzi juu ya kupotea kwa internet kipindi cha uchaguzi mwaka 2020 kama serikali hivi karibuni imekuwa na utaratibu wa kutoa taarifa rasmi endapo kukiwa na mkanganyiko wa taarifa kwa wananchi?

Ayoub Rioba: Duniani mpaka nchi zilizoendelea kabisa huwa zinatumia teknolojia kudhibiti baadhi ya vitu!

Wadau hii imekaaje?
That was high level of authoritarian
 
Nadhani kila mtu amekiri kwamba awamu ya jiwe ilikuwa ya kidikteta.
Wafuatao wamesema waziwazi ama kwa matendo yao:-
Mama
Kabudi
Makamba sr
Nape
Askofu Mwingira
Zitto
Mbowe
Shangazi Fatuma Karume
Mzee Diallo
n.k
Orodha ninndefu Sana....
 
Tunaposema udictor ule ndo ulikuwa udictator mana nchi hii haijawahi tokea internet kuzimwa nchi nzima kisa kuogopa uchaguzi halafu kituko eti ccm inapendwa kipindi chake. Kama ilipendwa kwa Nini alizuia mikutano ya chadema nchi nzima.

Kwa Sasa ndo ccm inajipima kama inapendwa ama la mana rais haingilii na kutisha wapinzani. Lisu anatukana tu ajuavyo Wala hakuna mwenye mda naye lakini ingekuwa wakati ule Sasa hivi tumeshazika mtu halafu walio na akili finyu wanakwambia eti enzi za jpm chadema ilikufa.
 
Chadema wenyewe sasa hivi si ndio wanamsifia Magufuli...chama mufilisi
 
Tunaposema udictor ule ndo ulikuwa udictator mana nchi hii haijawahi tokea internet kuzimwa nchi nzima kisa kuogopa uchaguzi halafu kituko eti ccm inapendwa kipindi chake. Kama ilipendwa kwa Nini alizuia mikutano ya chadema nchi nzima.

Kwa Sasa ndo ccm inajipima kama inapendwa ama la mana rais haingilii na kutisha wapinzani. Lisu anatukana tu ajuavyo Wala hakuna mwenye mda naye lakini ingekuwa wakati ule Sasa hivi tumeshazika mtu halafu walio na akili finyu wanakwambia eti enzi za jpm chadema ilikufa.
Kweny hili nilistaajab sana, yaan chama kikubwa tena wanadai kinapendw san na kina wanachama weng kuliko chama chochote. Kina miliki hasa geshi ra porishi, cha ajabu wanaogopa na waswas mkubwa mpaka kuzima internet Nchi nzima!!
 
Back
Top Bottom