A
Anonymous
Guest
Kuna vitu vinaumiza na kukera sana kwenye jiji la Dar es Salaam. Hali ya Masoko yake ni mbaya mno, ni ajabu sana kuamini Masoko haya yapo Dar es Salaam, sehemu inayoongoza kwa makusanyo nchi nzima.
Hebu angalia uchafu uliotapakaa kwenye masoko haya. Haileweki kipi Chakula kisafi kipi kichafu maana vyote viko kwenye uchafu.
Na mbaya zaidi Mkuu wa Mkoa Chalamila anasikika akiagiza Wanajeshi kufanya usafi kwenye mitaa ambako hata hakuna shida bali ni masuala tu ya kisiasa.
Hebu Mamlaka ziwe serious na afya za Wananchi jamani
Pia soma:
Hebu angalia uchafu uliotapakaa kwenye masoko haya. Haileweki kipi Chakula kisafi kipi kichafu maana vyote viko kwenye uchafu.
Na mbaya zaidi Mkuu wa Mkoa Chalamila anasikika akiagiza Wanajeshi kufanya usafi kwenye mitaa ambako hata hakuna shida bali ni masuala tu ya kisiasa.
Hebu Mamlaka ziwe serious na afya za Wananchi jamani
Pia soma:
- KERO - Hali ya Soko la Ndizi Mabibo ni mbaya, mamlaka ziwajibike kwa kufumbia macho kero ya Wananchi
- Wafanyabiashara Soko la Ndizi Mabibo: Rais Samia tunaomba tusaidie tupate hati ili soko lijengwe
- Dar: RC Chalamila amevunja Uongozi wa Soko la Mabibo na kukabidhi kwa Manispaa ya Ubungo
- Dar: Milioni 600 zatengwa kukarabati soko la Mabibo