Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Habari zenu
Kumezuka tabia ya wazazi au walezi kufungua akaunti za mitandao ya kijamii huku walijipatia umaarufu kupitia video za watoto wao.
Kwangu mimi si busara mtoto kumuingiza katika dunia ya mitandao wakati bado anahitajika kusoma na kujifunza mambo mengi lakini kinachotokea wazazi wanaenda mbali zaidi kwa kuwapa watoto content za wakubwa.
Binafsi naona serikali inahitajika kufanya jambo ili kuepusha udhalilishaji huu kwa watoto huenda tukapata kizazi kibovu huko tunapoelekea.
Maoni yangu tu.
Kumezuka tabia ya wazazi au walezi kufungua akaunti za mitandao ya kijamii huku walijipatia umaarufu kupitia video za watoto wao.
Kwangu mimi si busara mtoto kumuingiza katika dunia ya mitandao wakati bado anahitajika kusoma na kujifunza mambo mengi lakini kinachotokea wazazi wanaenda mbali zaidi kwa kuwapa watoto content za wakubwa.
Binafsi naona serikali inahitajika kufanya jambo ili kuepusha udhalilishaji huu kwa watoto huenda tukapata kizazi kibovu huko tunapoelekea.
Maoni yangu tu.