Serikali inafungua soko la kimataifa, Fursa soko la Mbaazi nchini China

Serikali inafungua soko la kimataifa, Fursa soko la Mbaazi nchini China

kalacha mateo

Senior Member
Joined
Sep 27, 2021
Posts
119
Reaction score
240
Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imetengaza fursa kwa wakulima na wauzaji wa mbaazi nchini, matokeo ya kupatikana kwa soko hili ni kuimarika kwa diplomasia ya uchumi kati ya Tanzania na India. Ikumbukwe mbaazi hizo zitaingia nchini India bila ushuru.

FppJTJVWYAAiqFc
 
Heading ya uzi wako umeandika China, taarifa ya Wizara imeandikwa India.

BTW: Wabongo wataharibu tu tena kama walivyofanya kwenye soko la korosho Vietnam.

 
Kuna kipindi dengu/mbaazi ilisisitizwa Sanaa walisema soko liko India India .... Sijui walofanya biashara walifanikiwa ama la?
 
Back
Top Bottom