Serikali inanunua ndege kwa mbwembwe huku wanafunzi 65,000 wanakaa chini!

Serikali inanunua ndege kwa mbwembwe huku wanafunzi 65,000 wanakaa chini!

Mnakimbilia matusi haraka sana. Ndege zinaitangaza nchi. Tazama tofauti ya waethiopia mmoja mmoja halafu tazama shirika lao la ndege linavyoitangaza nchi yao kimataifa.

Haya huwezi kuyaelewa kama upeo wako unaishia humu humu nchini.

..hamia Ethiopia.

..Waethiopia kila siku wanakimbia nchi yao kwa kupigika kimaisha / kiuchumi ndege zina faida kiduchu sana kwa nchi yao.

..ndege kwa late comers na nchi masikini kama Tz ni hasara tupu. Mashirika ya ndege yanafaa nchi tajiri zenye mapesa ya kuwekeza kama Dubai na Qatar.
 
..hamia Ethiopia.

..Waethiopia kila siku wanakimbia nchi yao kwa kupigika kimaisha / kiuchumi ndege zina faida kiduchu sana kwa nchi yao.

..ndege kwa late comers na nchi masikini kama Tz ni hasara tupu. Mashirika ya ndege yanafaa nchi tajiri zenye mapesa ya kuwekeza kama Dubai na Qatar.
Tena asilimia kubwa ya uchumi wa Ethiopia unategemea usafiri wa anga,na wana ndege kubwa na za kisasa 120.
Lakini kila siku wananchi wanaokotwa mbuga ya mikumi wakiwa miili yao imetupwa,kwa sababu ya ugumu wa maisha nchini kwao.
 
..hamia Ethiopia.

..Waethiopia kila siku wanakimbia nchi yao kwa kupigika kimaisha / kiuchumi ndege zina faida kiduchu sana kwa nchi yao.

..ndege kwa late comers na nchi masikini kama Tz ni hasara tupu. Mashirika ya ndege yanafaa nchi tajiri zenye mapesa ya kuwekeza kama Dubai na Qatar.
Ukiwa na wataalam wazalendo hakuna linaloharibika. Kama wakipewa uhuru wa kufanya kazi.
 
Ukiwa na wataalam wazalendo hakuna linaloharibika. Kama wakipewa uhuru wa kufanya kazi.

..tutakuja kulaumu watu bure tu.

..au hata kuharibu career au rekodi za watakaopewa dhamana kuendesha shirika hilo.

..shirika la ndege ni mzigo wa HASARA kwa taifa ila ndio hivyo tena wakubwa wameshaamua.
 
..tutakuja kulaumu watu bure tu.

..au hata kuharibu career au rekodi za watakaopewa dhamana kuendesha shirika hilo.

..shirika la ndege ni mzigo wa HASARA kwa taifa ila ndio hivyo tena wakubwa wameshaamua.
Huwezi kupewa na Mungu baraka zote hizi kwa maana ya uzuri wa asili na madini halafu usiwe na shirika la ndege la kuwakaribisha watalii.

Hata huyo Mungu atakucheka kwa uzembe wa kujituma.
 
Hivi inaleta picha gani hasa kwa wadau wetu wa maendeleo?

Mnapewa misaada kibao kuboresha elimu lkn bado tu watoto wetu hapa sumbawanga wanakosa madawati ya kukalia madarasani?

Wanafunzi 65,000 mkoani Sumbawanga wanakaa chini.

CCM tunaomba mjitafakari vinginevyo mtuwachie nchi yetu tuliowachiwa ma Baba wa Taifa Mwl. JK Nyerere.
Nyie ndio hua mkienda hoteli unaambiwa juis 3000 unaanza oh mbona uswahilin 500 kunaserekali gani iliyo jitosheleza kwa kila kitu
 
Nyie ndio hua mkienda hoteli unaambiwa juis 3000 unaanza oh mbona uswahilin 500 kunaserekali gani iliyo jitosheleza kwa kila kitu
Kwani kuna ubaya gani mimi kuuliza bei?
 
Nyie ndio hua mkienda hoteli unaambiwa juis 3000 unaanza oh mbona uswahilin 500 kunaserekali gani iliyo jitosheleza kwa kila kitu
Leo hii sukuma gang mmepigwa na kitu kizito kichwani maana hamkutaka Membe arudishwe ccm
 
Huwezi kupewa na Mungu baraka zote hizi kwa maana ya uzuri wa asili na madini halafu usiwe na shirika la ndege la kuwakaribisha watalii.

Hata huyo Mungu atakucheka kwa uzembe wa kujituma.
Pole sana sukuma gang leo mmezidi kumeng'enyuka baada ya Membe kurudishwa ndani ya ccm.
 
..tutakuja kulaumu watu bure tu.

..au hata kuharibu career au rekodi za watakaopewa dhamana kuendesha shirika hilo.

..shirika la ndege ni mzigo wa HASARA kwa taifa ila ndio hivyo tena wakubwa wameshaamua.
Ndiyo maana tunahitaji kupata katiba mpya.

Inatakiwa rais apunguziwe madaraka ya kujiamulia mambo hata akiota tu kesho anateketeza fedha za umma.
 
Pole sana sukuma gang leo mmezidi kumeng'enyuka baada ya Membe kurudishwa ndani ya ccm.
Kinana, Membe, Nape, wa zamani wamerudi wote. Mangula kajiuzulu, kama vile kaona kuwa amezungukwa na watu wanaomfanyia fitina.
 
Back
Top Bottom