Tanganyika Mpya
Senior Member
- May 3, 2024
- 170
- 375
Hakutaka kujibidiisha. Ukienda shule za kanisa (RC) kama mtoto hajitumi Wana kwambia mzazi mtafutie shule nyingine. Sijajua shule za dini nyingine na shule za serikaliUmesema private school na sio za serikali ama
Sasa kwani hakuna somo la kiingereza mashuleni?
Mbona kijana wa form 4 hawezi kuongea
Hapo tatizo ni nini wakati wapo waalimu wa masomo.hayo
Wenye teknolojia woooote huko duniani, mashule yao hufundisha kwa lugha za kwao, lugha inayotakiwa kufundishia hapa Tz ni kiswahili .Bado nashindwa kuelewa kwanini serikali bado inapata kigugumizi kuamua tuu kingereza kiwe lugha ya kufundishia kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu ili kuendana na teknolojia na ulimwengu. Je nini kinawakwamisha
1. Walimu hawana uwezo?
2. Wanalinda biashara ya shule za mabasi ya njano kukosa wateja?
3. Wanaogopa kiswahili kitapotea?
Au ni nini hasa?
Mwanafunzi anamaliza kidato cha nne hata kuomba maji kwa kingereza haju.
Ushasema ni vipanga. Lugha ndio inayotumika kufundishia hivyo huwezi kuichukulia poa namna hiyo. Matokeo yake tunakuwa na vipanga waliokariri vitu ambavyo hawavielewi.Umeshawahi kusikia Inglishi ya wale vipanga wa hisabati na fizikia? Unaweza kucheka hadi upasuke.
Lakini shughuli yao kwenye masomo si ya kitoto. Same applies kwenye masomo mengine.
Lugha is very important, but should never be overrated.
Sasa kwanini wasimsaidie mpaka aelewe badala ya kumvunja moyo mzaziHakutaka kujibidiisha. Ukienda shule za kanisa (RC) kama mtoto hajitumi Wana kwambia mzazi mtafutie shule nyingine. Sijajua shule za dini nyingine na shule za serikali
Watakubaliaje kiinglish wakati wenyewe hakipandi mwanangu? Watakubalije wakati wakishasomesha watoto wao kiinglish wanakitumia kunyonyea wengine?Bado nashindwa kuelewa kwanini serikali bado inapata kigugumizi kuamua tuu kingereza kiwe lugha ya kufundishia kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu ili kuendana na teknolojia na ulimwengu. Je nini kinawakwamisha
1. Walimu hawana uwezo?
2. Wanalinda biashara ya shule za mabasi ya njano kukosa wateja?
3. Wanaogopa kiswahili kitapotea?
Au ni nini hasa?
Mwanafunzi anamaliza kidato cha nne hata kuomba maji kwa kingereza haju.
.Fact.Mkuu, kiuhalisia kabisa bila ushabiki kiswahili hakitupeleki popote. Nchi yetu bado ni tegemezi, tunategemea kutumia tafiti zote za kiteknolojia, kisayansi nk. zilizofanyika na nchi nyingine. Sisi bado wachanga mmno ktk dunia hii hatujielewi. Ukitofautisha na nchi nyingine zilizojiwekeza kwenye tafiti za sayansi na technologies. Wanasema kiswahili kitumike kufundishia watoto wao wanasoma mitaala ya kingereza kalaga baho
Kupigwa sio kutokujua kingereza, shida ni rushwa na umimi ndio maana tunapigwa mikataba mibovu.Ndiyo maana kwenye mikataba nchi yetu inapigwa! Wanasheria wetu hawajui Kiingereza!
Ni bora kutumia Kiingereza kwa kuwa kwa sasa DUNIA NI KIJIJI na KIINGEREZA ndio Kiswahili chakeNi bora kutumia Kiswahili kuliko kingereza.
Sasa kwanini wasimsaidie mpaka aelewe badala ya kumvunja moyo mzazi
Kuna watoto wasioelewa Autistic ila kama yuko sawa mbona anafundishwa vizuri tu
Au wanataka the finest
Ajira za lugha ya kiswahili zinahitajika sehemu mbalimbali duniani.Fact.
Bado una uhuru wa kujifunza lugha zaidi ya mojaHata huko vyuoni msipoelewa Lecturer anabidi amwage kisakwinga kingi sana.
Lugha muhimu ni kichina ikiwa Taifa litaangalia miaka 50 au 100 ijayo.
Nje ya hapo, mkazo uongezwe kwenye kiswahili kwa ngazi zote na kiingereza kibakie somo tu.
Wanataka tofauti ya watoto wa kishua na wa Uswazi iwe dhahiri, kwenye nafasi za kazi hasa za mashirika ya kimataifa na opportunities za kazi nje ya nchi.Bado nashindwa kuelewa kwanini serikali bado inapata kigugumizi kuamua tuu kingereza kiwe lugha ya kufundishia kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu ili kuendana na teknolojia na ulimwengu. Je nini kinawakwamisha
1. Walimu hawana uwezo?
2. Wanalinda biashara ya shule za mabasi ya njano kukosa wateja?
3. Wanaogopa kiswahili kitapotea?
Au ni nini hasa?
Mwanafunzi anamaliza kidato cha nne hata kuomba maji kwa kingereza haju.
Lugha ni tatizo kubwa sanaTatizo la elimu yetu siyo lugha ya Kiswahili wala Kiingereza. Shida kubwa iko hasa kwenye miundombinu, vifaa/nyenzo za kufundishia na walimu mahiri na mazingira bora na wezeshi kwa walimu na wanafunzi.
Inasikitisha sanaWatakubaliaje kiinglish wakati wenyewe hakipandi mwanangu? Watakubalije wakati wakishasomesha watoto wao kiinglish wanakitumia kunyonyea wengine?
Watatumiaje kiinglish wakati wanataka kuzalisha wajinga wengi ambao ni rahisi kuwaibia na kuwatawala kama ilivyo?
Kiinglish chanini wakati kitawawezesha wabongo kujua mambo wasiyopaswa kujua na kuasi?
Napendekeza tutumie kimakonde mashuleni lau tujue kitu.
ACHA UJINGAHakuna kitu kama hicho, mkuu. UN Kiswahili kinaheshimika, sasa je?
Nini kinachokosekana au kushindikana kufundishia kwa Kiswahili? Mbona hadi vyuoni maprofesa na wahadhiri wanakiswang'anya Kiingereza huku wakitumia Kiswahili kama kawaida?
Jambo la msingi, maandalizi muhimu yafanyike halafu utajionea mwenyewe. Tena Kiswahili kinaweza kuwa bora kabisa hata kuliko Inglishi.
Miaka zaidi ya 100 ya matumizi rasmi ya Kiswahili, halafu bado watu wanadai eti ni lugha changa?
Kwa hiyo wakitumia kiingereza ndo watoto watakuwa na uelewa mkubwa?...Bado nashindwa kuelewa kwanini serikali bado inapata kigugumizi kuamua tuu kingereza kiwe lugha ya kufundishia kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu ili kuendana na teknolojia na ulimwengu. Je nini kinawakwamisha
1. Walimu hawana uwezo?
2. Wanalinda biashara ya shule za mabasi ya njano kukosa wateja?
3. Wanaogopa kiswahili kitapotea?
Au ni nini hasa?
Mwanafunzi anamaliza kidato cha nne hata kuomba maji kwa kingereza haju.
Mbona kuna shule za primary za English medium? Kisichowezekana ni nini?Jambo hilo lilishafanyiwa utafiti matokeo yakaonekana haiwezekani . Sasa sijui wewe unalenga nini mdau