choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,081
- 3,831
- Thread starter
- #81
Fikiria kuna msomi na PhD yake aliamua tuu watoto wakianza kidato cha kwanza wafundishwe kozi ya kingereza wiki 6 wame wameshakua mahiri kuanza kusoma masomo kwa kingereza[emoji28][emoji28][emoji28].Umenena vizuri. Na itakuwa rahisi kujifunza Kiingereza kama somo la lugha na si vinginevyo.
Wiki 6 kweli ??
Kwanini wasianzie tangu chekechea