Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Masai amejionea rangi zote; kila anapokwenda anaambiwa kaa mbali waache wawekezaji.
Amechapwa huko Ngorongoro, Manyara, Pwani na sasa huko Morogoro.
Hawa jamaa hadi unawaonea huruma kwa namna wanavyopitia wakati mgumu. Kibaya zaidi viongozi wao wamekaa kimya wasisulubiwe.
Sijui tunawasaidiaje hawa binadamu wenzetu! Nadhani kutokuvaa kwao suti wanaonekana kama watu wasio na akili au uwezo wa kufikiri na hivyo kuonekana kama kila walipo wapo Sehemu isiyo sawa.
Hakuna mwenye time yakuwatetea, jamii zote wakiwemo viongozi wa dini wamewapotezea.
Naamini kwa mateso haya itawalazimu wazee wa mila wakae nakulitafakari hili kisha kufanya jambo lakuwalinda ndugu zetu hawa wavamizi
Amechapwa huko Ngorongoro, Manyara, Pwani na sasa huko Morogoro.
Hawa jamaa hadi unawaonea huruma kwa namna wanavyopitia wakati mgumu. Kibaya zaidi viongozi wao wamekaa kimya wasisulubiwe.
Sijui tunawasaidiaje hawa binadamu wenzetu! Nadhani kutokuvaa kwao suti wanaonekana kama watu wasio na akili au uwezo wa kufikiri na hivyo kuonekana kama kila walipo wapo Sehemu isiyo sawa.
Hakuna mwenye time yakuwatetea, jamii zote wakiwemo viongozi wa dini wamewapotezea.
Naamini kwa mateso haya itawalazimu wazee wa mila wakae nakulitafakari hili kisha kufanya jambo lakuwalinda ndugu zetu hawa wavamizi