PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Sasa nisingesoma ninge comment? Wamasai hata wakiingia Mbeya watakwambia wamekuwepo pale tangu mwaka 1920.Ujinga ni mzigo,soma mada ya mwandishi, usikurupuke kuandika tu pumba bira hata kuelewa kilichoandikwa.
Kama wewe kila kitu unachokijua ni hicho kilichoandikwa na Mwandishi, basi jua kwamba wengine tunajua zaidi ya hapo na kabla ya hiyo habari.