Sasa nisingesoma ninge comment? Wamasai hata wakiingia Mbeya watakwambia wamekuwepo pale tangu mwaka 1920.Ujinga ni mzigo,soma mada ya mwandishi, usikurupuke kuandika tu pumba bira hata kuelewa kilichoandikwa.
Kenya pia sio kwao,, inasemekana walitoka EthiopiaBasi warudi kwao Kenya
Wakipewa Nyama hawana ujanja...Shida zote Wamaasai wanazopitia bado wanachagua Ccm. Tatizo liko hapo.
Unataka nae maza aende kwao Oman??Basi warudi kwao Kenya
Kwani wamasai wenyewe wanasemaje? Sijamuina maasai wa kweli akilalamika zaidi ya wanaharakatiMasai amejionea rangi zote; kila anapokwenda anaambiwa kaa mbali waache wawekezaji.
Amechapwa huko Ngorongoro, Manyara, Pwani na sasa huko Morogoro.
Hawa jamaa hadi unawaonea huruma kwa namna wanavyopitia wakati mgumu. Kibaya zaidi viongozi wao wamekaa kimya wasisulubiwe.
Sijui tunawasaidiaje hawa binadamu wenzetu! Nadhani kutokuvaa kwao suti wanaonekana kama watu wasio na akili au uwezo wa kufikiri na hivyo kuonekana kama kila walipo wapo Sehemu isiyo sawa.
Hakuna mwenye time yakuwatetea, jamii zote wakiwemo viongozi wa dini wamewapotezea.
Naamini kwa mateso haya itawalazimu wazee wa mila wakae nakulitafakari hili kisha kufanya jambo lakuwalinda ndugu zetu hawa wavamizi
Vipi kuhusu Wasonjo? Nadhani hawa walikuwapo ila wengine wote ni wahamiajiMwenyeji wa Tanzania ni mgogo peke yake,hata msukuma sio mgeni hapa.
Hivi jamii ya Kimaasai kwa upande wa kule Kenya inapitia madhila kama haya ya ndugu zao kwa upande wa Tanganyika? Wazee wa Pwani hawana huruma yoyote ile kwa wazee wenzao kutoka jamii hii.Masai amejionea rangi zote; kila anapokwenda anaambiwa kaa mbali waache wawekezaji.
Amechapwa huko Ngorongoro, Manyara, Pwani na sasa huko Morogoro.
Hawa jamaa hadi unawaonea huruma kwa namna wanavyopitia wakati mgumu. Kibaya zaidi viongozi wao wamekaa kimya wasisulubiwe.
Sijui tunawasaidiaje hawa binadamu wenzetu! Nadhani kutokuvaa kwao suti wanaonekana kama watu wasio na akili au uwezo wa kufikiri na hivyo kuonekana kama kila walipo wapo Sehemu isiyo sawa.
Hakuna mwenye time yakuwatetea, jamii zote wakiwemo viongozi wa dini wamewapotezea.
Naamini kwa mateso haya itawalazimu wazee wa mila wakae nakulitafakari hili kisha kufanya jambo lakuwalinda ndugu zetu hawa wavamizi
Wafugaji wengi wanamiliki mifugo mingi ila kuwalisha mtihaniNaona ni mikakati tu ya kuwauzia wawekezaji sehemu zote wanapoishi
Sina kipangimizi kama uuzwaji huo una tija na maisha yao pia ila kama kuwajengea nyumba sehemu ambazo ni kupya kabisa na hiyo ndio imetoka
Basi huo ni wizi na utapeli na uonezi kwa serikali yetu
Kama wanakula hela mabilioni kwa hao wawekezaji wajue ipo siku watadaiwa zaidi na hawatakuwa na cha kuwapa
Dunia inabadilika na sidhani hao wanaolindwa kuchukua ardhi yote hiyo kama wataishi sana
Kama tuna faida nao kwa mfano wanajenga mahoteli makubwa na kuchimba labda mabwawa makubwa kwa ajili ya wanyama waje karibu na mahoteli kama Kruger National Park na serikali inachukua kodi za uhakika kwa manufaa ya wananchi sawa
Ila kama ni majizi yale yale hapo kuna shida