Tatizo kubwa ni kuwa na soko kubwa eneo moja ndio maana wafanyabiashara wanapata jeuri ya kuivimbia Serikali, kuna haja sasa kwa Serikali kuanzisha soko kubwa la kimkakati katika maeneo ya Mbezi Mwisho karibu kabisa na stendi ya mabasi ya Magufuli.
Tumeona adha iliyo sababishwa na wafanyabiashara wa kkoo.
Mbezi mwisho ni eneo la kimkakati kwani ndipo lipo stendi ya mabasi kutoka mikoa mbalimbali pamoja na nchi mbalimbali, hivyo ni vyema Serikali ikaamua kujenga solo kubwa la kisasa ikawa ni kkoo nyingine badala ya kutegemea kkoo moja.
Tumeona adha iliyo sababishwa na wafanyabiashara wa kkoo.
Mbezi mwisho ni eneo la kimkakati kwani ndipo lipo stendi ya mabasi kutoka mikoa mbalimbali pamoja na nchi mbalimbali, hivyo ni vyema Serikali ikaamua kujenga solo kubwa la kisasa ikawa ni kkoo nyingine badala ya kutegemea kkoo moja.