Serikali inapaswa ianzishe Kariakooo nyingine maeneo ya Mbezi Louis

Serikali inapaswa ianzishe Kariakooo nyingine maeneo ya Mbezi Louis

Labda Mpigi Magoe na Makabe
Mbezi bado kuna nafasi kubwa ilimradi tu maafisa wa mipango miji wafanye sketching,

tuodokane na mazoea ya kila kitu kkoo, kila mtu kkoo..

sasa Dar imekuwa na wakazi wameongezeka sana, kuna haja sasa ya kuepusha msongamano kkoo na kuanzisha soko kubwa la kisasa Mbezi.
 
Haswaa
Unajua sisi ujuaji mwingi ila viongozi huwa hawawazi na kutatua matatizo
Yote haya wanayaona ila kuyafanya ndio mzigo

Mambo mengi sana tuko nyuma ukikinganisha na mataifa mengine ila tunajifanya wajuaji lakini ndio washamba wakubwa na masikini wa kutupwa kuanzia akili

Imagine soko tangu miaka na miaka bado lipo moja tu wakati tungeweza kuwa na masoko hata matatu ya kimataifa

Enzi hizo mpaka leo yaani miaka 100 bado mpo tu pale pale
Screenshot_20230513_192233_Instagram.jpg
 
Wafanyabiashara wanadengua kwasabu Hakuna ushindani toka kenya ipate Uhuru sijawahi ona wafanyabiashara wamegoma...wabongo uswahili na siasa ushwara vinawaponza
 
Mzilankende Alivyoanzisha Bandari Kavu Maeneo Ya Kwara Lengo Ilikuwa Kuleta Wepesi Kwa Mizigo Na Endapo Inakwenda Nchi Jirani Iwe Kwa Haraka Na Wepesi
Kariakoo Nyingine Inatakiwa Iwekwe Mkoa Wa Morogoro Hapo Itasaidia Udhibiti Wa Endapo
Kinachoendelea Sasa Dar Es Salaam. Hakitawauza Watu Wa Nchi Jirani Na Nchi Kwa Ujumla



Maana Nchi Jirani Malawi, Zambia, Congo, Rwanda, Burundi
Watapata Wepesi Tofauti Na Sasa Ambavyo Serikali Inasema Maduka Yafunguliwe, Wamiliki Wanataka Kuongea Na Rais




Jambo La Kariakoo Ni Kubwa Mno Linaweza Kuleta Kuzorota Kwa Uchumi Nchi Nzima
Kutakapokuwa Na Masoko Makubwa Mikoani Mambo Yatakwenda Vizuri Sana
 
Tatizo ni kodi mkuu, kodi zimekuwa nyingi sana hata wakijenga kibaha kodi si bado zipo tu
 
Tatizo kubwa ni kuwa na soko kubwa eneo moja ndio maana wafanyabiashara wanapata jeuri ya kuivimbia Serikali, kuna haja sasa kwa Serikali kuanzisha soko kubwa la kimkakati katika maeneo ya Mbezi mwisho karibu kabisa na stendi ya mabasi ya Magufuli.

Tumeona adha iliyo sababishwa na wafanyabiashara wa kkoo.

Mbezi mwisho ni eneo la kimkakati kwani ndipo lipo stendi ya mabasi kutoka mikoa mbalimbali pamoja na nchi mbalimbali, hivyo ni vyema Serikali ikaamua kujenga solo kubwa la kisasa ikawa ni kkoo nyingine badala ya kutegemea kkoo moja.
Kwani wamegoma kwasababu tu soko ni moja?

Uhuni wanaofanya hao TRA hapo Kariakoo wasingeweza kuufanya kwenye hilo soko jingine unalopendekeza liwe Mbezi?
 
Kwasababu ndio lango kuu la kuingia katika Jiji la DSM.

Lakini stendi ya mabasi ya Magufuli inaingiza wageni wote kutoka mikoa yote na pia nchi jirani kama; Kenya, Uganda, Burundi, DRC, Malawi, msumbiji, n.k.

Pia Mbezi bado kuna nafasi ya kutosha, hakuna msongamano kama ilivyo kkoo.

Muda, wataokoa muda, mfanyaboashara atashuka kwenye basi Kisha atafanya manunuzi yake palepale bila kusumbuka kwenda kkoo.

Hivyo naishauri Serikali ijenge kkoo nyingine hapo Mbezi mwisho.
Mbezi tayari imeshakuwa mji mkubwa. Unless ungesema hata Kibamba ama Kibaha ndo kuna maeneo makubwa.
 
Wewe endelea kugoma ufe njaa, wenzako walio na maduka hapo kkoo Wana maduka maeneo mengine ikiwemo huko Mbezi wanaendelea kuuza kama kawaida.

Tatizo la kkoo kuna watu wamehodhi kila kitu!! hii ni hatari.
Sasa kama wana maduka mengine Mbezi kwanini watu/wafanyabiashara wanalialia kufungwa kwa maduka Kariakoo wakilalamika kwamba hawapati mahitaji muhimu?
 
Kwasababu ndio lango kuu la kuingia katika Jiji la DSM.

Lakini stendi ya mabasi ya Magufuli inaingiza wageni wote kutoka mikoa yote na pia nchi jirani kama; Kenya, Uganda, Burundi, DRC, Malawi, msumbiji, n.k.

Pia Mbezi bado kuna nafasi ya kutosha, hakuna msongamano kama ilivyo kkoo.

Muda, wataokoa muda, mfanyaboashara atashuka kwenye basi Kisha atafanya manunuzi yake palepale bila kusumbuka kwenda kkoo.

Hivyo naishauri Serikali ijenge kkoo nyingine hapo Mbezi mwisho.
Kulikua na tetesi soko kubwa litajengwa baada ya kupita kinyerezi kama unaelekea mbezi kuna sehemu inaitwa msitu wa nyuki,kijiografia pale palifaa sana maana ni katikati ya maeneo kwa dar,sijui ile idea iliishia wapi maana hata ile stendi ya kinyerezi mwisho ilisemekana itajengwa hapo
 
Hapana kkoo iliachiliwa sana, Serikali imekuja kushituka late!!
sasa hakuna budi kujipanga, ianzishe soko kubwa Mbezi tuache kungqngania kkoo
kwa kuwa wewe unakaa Mbezi; doko kuu lianzishwe katika kona kuu zote za Barabara inayoingia jijini, namaanisha Kilwa rd, Moro rd,. na bagamoyo rd. Pia pale gongolamboto, yani mtu anashuka airport ansingia shopping gongolamboto na kulala hukohuko mpaka anaondoka.
jiji la kibiashara ndio lipo hivyo sio kuvutia maslahi
 
Tatizo kubwa ni kuwa na soko kubwa eneo moja ndio maana wafanyabiashara wanapata jeuri ya kuivimbia Serikali, kuna haja sasa kwa Serikali kuanzisha soko kubwa la kimkakati katika maeneo ya Mbezi mwisho karibu kabisa na stendi ya mabasi ya Magufuli.

Tumeona adha iliyo sababishwa na wafanyabiashara wa kkoo.

Mbezi mwisho ni eneo la kimkakati kwani ndipo lipo stendi ya mabasi kutoka mikoa mbalimbali pamoja na nchi mbalimbali, hivyo ni vyema Serikali ikaamua kujenga solo kubwa la kisasa ikawa ni kkoo nyingine badala ya kutegemea kkoo moja.
you took it wrong. hili ni suala la kitaifa maana ni sheria kuu kwa nchi nzima. wafanyabiashara wa kariakoo hawagombani na mamlaka ya soko au eneo la kariakoo. anagombana na serikali kwa sababu ya sheria mpya ya bajeti/kodi
 
you took it wrong. hili ni suala la kitaifa maana ni sheria kuu kwa nchi nzima. wafanyabiashara wa kariakoo hawagombani na mamlaka ya soko au eneo la kariakoo. anagombana na serikali kwa sababu ya sheria mpya ya bajeti/kodi

Tatizo baadhi ya wafanyabiashara wa hapo kkoo wanaifanyia ubabe Serikali!!!

Waziri Mkuu alikuja hapo na akawaonyesha uungwana wa Hali ya juu sana lakini baadhi Yao waliendelea kukaidi ombi la waziri Mkuu, huko ni kukosa adabu.

Sasa Leo j.tano trh 17/5 mtaenda kuongea nae nn wakati mlimpuuza.
Kwa tabia kama hii walio ionyesha baadhi ya wafanyabiashara kwa kukaidi ombi la PM ndio maana Hayati JPM alikuwa mbabe. Maana wabongo ukiwabembeleza watakukujolea kichwani.

Serikali isiyumbishwe, wakomae tuone watakula Nini....Serikali ikomae tuone nani zaidi.
 
Back
Top Bottom