Mbezi bado kuna nafasi kubwa ilimradi tu maafisa wa mipango miji wafanye sketching,Labda Mpigi Magoe na Makabe
Sio 70 tangu 1920 na nyuma zaidiTangu Mika ya 70 watu ni kariakooo tu! Hapana! Inabidi Serikali ya awamu ya 6 ifanye kitu tofauti, ianzishe soko kubwa la kimataifa maeneo ya Mbezi.
Kwani wamegoma kwasababu tu soko ni moja?Tatizo kubwa ni kuwa na soko kubwa eneo moja ndio maana wafanyabiashara wanapata jeuri ya kuivimbia Serikali, kuna haja sasa kwa Serikali kuanzisha soko kubwa la kimkakati katika maeneo ya Mbezi mwisho karibu kabisa na stendi ya mabasi ya Magufuli.
Tumeona adha iliyo sababishwa na wafanyabiashara wa kkoo.
Mbezi mwisho ni eneo la kimkakati kwani ndipo lipo stendi ya mabasi kutoka mikoa mbalimbali pamoja na nchi mbalimbali, hivyo ni vyema Serikali ikaamua kujenga solo kubwa la kisasa ikawa ni kkoo nyingine badala ya kutegemea kkoo moja.
Mbezi tayari imeshakuwa mji mkubwa. Unless ungesema hata Kibamba ama Kibaha ndo kuna maeneo makubwa.Kwasababu ndio lango kuu la kuingia katika Jiji la DSM.
Lakini stendi ya mabasi ya Magufuli inaingiza wageni wote kutoka mikoa yote na pia nchi jirani kama; Kenya, Uganda, Burundi, DRC, Malawi, msumbiji, n.k.
Pia Mbezi bado kuna nafasi ya kutosha, hakuna msongamano kama ilivyo kkoo.
Muda, wataokoa muda, mfanyaboashara atashuka kwenye basi Kisha atafanya manunuzi yake palepale bila kusumbuka kwenda kkoo.
Hivyo naishauri Serikali ijenge kkoo nyingine hapo Mbezi mwisho.
Sasa kama wana maduka mengine Mbezi kwanini watu/wafanyabiashara wanalialia kufungwa kwa maduka Kariakoo wakilalamika kwamba hawapati mahitaji muhimu?Wewe endelea kugoma ufe njaa, wenzako walio na maduka hapo kkoo Wana maduka maeneo mengine ikiwemo huko Mbezi wanaendelea kuuza kama kawaida.
Tatizo la kkoo kuna watu wamehodhi kila kitu!! hii ni hatari.
Kulikua na tetesi soko kubwa litajengwa baada ya kupita kinyerezi kama unaelekea mbezi kuna sehemu inaitwa msitu wa nyuki,kijiografia pale palifaa sana maana ni katikati ya maeneo kwa dar,sijui ile idea iliishia wapi maana hata ile stendi ya kinyerezi mwisho ilisemekana itajengwa hapoKwasababu ndio lango kuu la kuingia katika Jiji la DSM.
Lakini stendi ya mabasi ya Magufuli inaingiza wageni wote kutoka mikoa yote na pia nchi jirani kama; Kenya, Uganda, Burundi, DRC, Malawi, msumbiji, n.k.
Pia Mbezi bado kuna nafasi ya kutosha, hakuna msongamano kama ilivyo kkoo.
Muda, wataokoa muda, mfanyaboashara atashuka kwenye basi Kisha atafanya manunuzi yake palepale bila kusumbuka kwenda kkoo.
Hivyo naishauri Serikali ijenge kkoo nyingine hapo Mbezi mwisho.
kwa kuwa wewe unakaa Mbezi; doko kuu lianzishwe katika kona kuu zote za Barabara inayoingia jijini, namaanisha Kilwa rd, Moro rd,. na bagamoyo rd. Pia pale gongolamboto, yani mtu anashuka airport ansingia shopping gongolamboto na kulala hukohuko mpaka anaondoka.Hapana kkoo iliachiliwa sana, Serikali imekuja kushituka late!!
sasa hakuna budi kujipanga, ianzishe soko kubwa Mbezi tuache kungqngania kkoo
you took it wrong. hili ni suala la kitaifa maana ni sheria kuu kwa nchi nzima. wafanyabiashara wa kariakoo hawagombani na mamlaka ya soko au eneo la kariakoo. anagombana na serikali kwa sababu ya sheria mpya ya bajeti/kodiTatizo kubwa ni kuwa na soko kubwa eneo moja ndio maana wafanyabiashara wanapata jeuri ya kuivimbia Serikali, kuna haja sasa kwa Serikali kuanzisha soko kubwa la kimkakati katika maeneo ya Mbezi mwisho karibu kabisa na stendi ya mabasi ya Magufuli.
Tumeona adha iliyo sababishwa na wafanyabiashara wa kkoo.
Mbezi mwisho ni eneo la kimkakati kwani ndipo lipo stendi ya mabasi kutoka mikoa mbalimbali pamoja na nchi mbalimbali, hivyo ni vyema Serikali ikaamua kujenga solo kubwa la kisasa ikawa ni kkoo nyingine badala ya kutegemea kkoo moja.
you took it wrong. hili ni suala la kitaifa maana ni sheria kuu kwa nchi nzima. wafanyabiashara wa kariakoo hawagombani na mamlaka ya soko au eneo la kariakoo. anagombana na serikali kwa sababu ya sheria mpya ya bajeti/kodi