Serikali inasema DP World itadhibiti wizi bandarini. Kivipi? Serikali imerogwa na nani?

Serikali inasema DP World itadhibiti wizi bandarini. Kivipi? Serikali imerogwa na nani?

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Viongozi wa serikali ya Tanzania wameamua kujitoa ufahamu ili kuibeba kampuni ya DP world. Yaani sote tunajua shughuli za bandari zinahitaji usalama wa hali ya juu na madhubuti kwa sababu ya unyeti wake huku ukiratibiwa na vyombo vyote vya usalama vya nchi.

Sasa, maajabu ya karne viongozi wa Tanzania kwa ujasiri mkubwa, wanakuja hadharani kwa mbwembe kusema pale bandarini tangu kupata uhuru pamejaa wizi mtupu, na suluhisho la huo wizi ni kumpatia bandari muarabu wa Dubai na huo wizi utakomeshwa kabisa!

Yaani serikali yenye vyombo vyote vya ulinzi na usalama kwa miaka zaidi ya 60 imeshindwa kabisa kudhibiti wizi bandarini lakini mara moja muarabu wa Dubai akipewa kuendesha bandari papo hapo wizi utakoma na kubakia kuwa historia!

Yaani muarabu anayekuja Tanzania na ndevu zake huku amebeba makabrasha ya makaratasi, atakuwa na suluhisho la wizi bandarini!

Huu kama sio uwendawazimu wa mlevi wa gongo aliyevuta bangi, kutafuna mirungi na kujidunga madawa ya kulevya basi utakuwa ni utaahira wa kiwango cha SGR.
 
Tupe mwongeaji wa hayo,ila cha kujua ni kuwa iwe iweje haijawahi tokea jambazi akatangaza Kuwa yeye ni jambazi, zaidi atajitetea na ikiwezekana kuwasingimzia wengine 🤸🤸🤸
 
Hili sakata kuna mtu atatwisha kichwani afe nalo ila acha ipo siku ukweli utajulikana kuwa walikuwa wanataka kutupiga au wezi hawataki kuzibiwa mianya
 
Yaani serikali yenye vyombo vyote vya ulinzi na usalama kwa miaka zaidi ya 60 imeshindwa kabisa kudhibiti wizi bandarini lakini mara moja muarabu wa Dubai akipewa kuendesha bandari papo hapo wizi utakoma na kubakia kuwa historia!

Yaani muarabu anayekuja Tanzania na ndevu zake huku amebeba makabrasha ya makaratasi, atakuwa na suluhisho la wizi bandarini!
Ndio mkuu hata FaizaFoxy kathibitisha hilo.....hao wezi watasomewa 'visomo' vikali huo udokozi watauacha wenyewe.
 
Viongozi wa serikali ya Tanzania wameamua kujitoa ufahamu ili kuibeba kampuni ya DP world. Yaani sote tunajua shughuli za bandari zinahitaji usalama wa hali ya juu na madhubuti kwa sababu ya unyeti wake huku ukiratibiwa na vyombo vyote vya usalama vya nchi.

Sasa, maajabu ya karne viongozi wa Tanzania kwa ujasiri mkubwa, wanakuja hadharani kwa mbwembe kusema pale bandarini tangu kupata uhuru pamejaa wizi mtupu, na suluhisho la huo wizi ni kumpatia bandari muarabu wa Dubai na huo wizi utakomeshwa kabisa!

Yaani serikali yenye vyombo vyote vya ulinzi na usalama kwa miaka zaidi ya 60 imeshindwa kabisa kudhibiti wizi bandarini lakini mara moja muarabu wa Dubai akipewa kuendesha bandari papo hapo wizi utakoma na kubakia kuwa historia!

Yaani muarabu anayekuja Tanzania na ndevu zake huku amebeba makabrasha ya makaratasi, atakuwa na suluhisho la wizi bandarini!

Huu kama sio uwendawazimu wa mlevi wa gongo aliyevuta bangi, kutafuna mirungi na kujidunga madawa ya kulevya basi utakuwa ni utaahira wa kiwango cha SGR.
Jukumu la ulinzi na usalama ni la msingi kabisa kwa vyombo vya ulinzi na usalama ukiratibiwa na serikali iliyopo madarakani.
Huyo anayesema kuwa DP World atadhibiti wizi ni mjinga tu.
Huyo DP World kama atapewa kandarasi au vyovyote itakavyoitwa , akipata tatizo lolote linalohusiana na wizi katika shughuli zake atatoa taarifa polisi ili washughulikie.
Bado tuna wajibu wa kuwafundisha watu wetu wakiwemo viongozi (kama aliyesema ni kiongozi) waondokane na ujinga na fikra za kitumwa.
 
Viongozi wa serikali ya Tanzania wameamua kujitoa ufahamu ili kuibeba kampuni ya DP world. Yaani sote tunajua shughuli za bandari zinahitaji usalama wa hali ya juu na madhubuti kwa sababu ya unyeti wake huku ukiratibiwa na vyombo vyote vya usalama vya nchi.

Sasa, maajabu ya karne viongozi wa Tanzania kwa ujasiri mkubwa, wanakuja hadharani kwa mbwembe kusema pale bandarini tangu kupata uhuru pamejaa wizi mtupu, na suluhisho la huo wizi ni kumpatia bandari muarabu wa Dubai na huo wizi utakomeshwa kabisa!

Yaani serikali yenye vyombo vyote vya ulinzi na usalama kwa miaka zaidi ya 60 imeshindwa kabisa kudhibiti wizi bandarini lakini mara moja muarabu wa Dubai akipewa kuendesha bandari papo hapo wizi utakoma na kubakia kuwa historia!

Yaani muarabu anayekuja Tanzania na ndevu zake huku amebeba makabrasha ya makaratasi, atakuwa na suluhisho la wizi bandarini!

Huu kama sio uwendawazimu wa mlevi wa gongo aliyevuta bangi, kutafuna mirungi na kujidunga madawa ya kulevya basi utakuwa ni utaahira wa kiwango cha SGR.
DP World yenyewe ni wizi mtupu. Project ya wizi iliyolenga kuiiba sovereignty yetu kupitia bandary.
 
Viongozi wa serikali ya Tanzania wameamua kujitoa ufahamu ili kuibeba kampuni ya DP world. Yaani sote tunajua shughuli za bandari zinahitaji usalama wa hali ya juu na madhubuti kwa sababu ya unyeti wake huku ukiratibiwa na vyombo vyote
Serikali sindo ccm au? Unaahangaa nn Sasa!
 
Wakishazuia wizi unaofanyika bandarini, ni nani pia atakua anazuia wizi wa mapato yakishafika serikali. Au ndo unaziba huku kule kuko wazi.
 
Jukumu la ulinzi na usalama ni la msingi kabisa kwa vyombo vya ulinzi na usalama ukiratibiwa na serikali iliyopo madarakani.
Huyo anayesema kuwa DP World atadhibiti wizi ni mjinga tu.
Huyo DP World kama atapewa kandarasi au vyovyote itakavyoitwa , akipata tatizo lolote linalohusiana na wizi katika shughuli zake atatoa taarifa polisi ili washughulikie.
Bado tuna wajibu wa kuwafundisha watu wetu wakiwemo viongozi (kama aliyesema ni kiongozi) waondokane na ujinga na fikra za kitumwa.
Tena ni mjina wa hali ya juu sn
 
Viongozi wa serikali ya Tanzania wameamua kujitoa ufahamu ili kuibeba kampuni ya DP world. Yaani sote tunajua shughuli za bandari zinahitaji usalama wa hali ya juu na madhubuti kwa sababu ya unyeti wake huku ukiratibiwa na vyombo vyote vya usalama vya nchi.

Sasa, maajabu ya karne viongozi wa Tanzania kwa ujasiri mkubwa, wanakuja hadharani kwa mbwembe kusema pale bandarini tangu kupata uhuru pamejaa wizi mtupu, na suluhisho la huo wizi ni kumpatia bandari muarabu wa Dubai na huo wizi utakomeshwa kabisa!

Yaani serikali yenye vyombo vyote vya ulinzi na usalama kwa miaka zaidi ya 60 imeshindwa kabisa kudhibiti wizi bandarini lakini mara moja muarabu wa Dubai akipewa kuendesha bandari papo hapo wizi utakoma na kubakia kuwa historia!

Yaani muarabu anayekuja Tanzania na ndevu zake huku amebeba makabrasha ya makaratasi, atakuwa na suluhisho la wizi bandarini!

Huu kama sio uwendawazimu wa mlevi wa gongo aliyevuta bangi, kutafuna mirungi na kujidunga madawa ya kulevya basi utakuwa ni utaahira wa kiwango cha SGR.
Hebu nikumbuke-------, kabla ya mwaka 1988, kulikuwa na Polisi Bandari, na polisi wao walikuwa na OCD, na Mkuu Pale juu. Nakumbuka huko Kurasini ndiyo yalikuwa makao yao Makuu. Ilikuwa full force Branch ya Tanzania Police. Baada ya kuingia Mwinyi lile Jeshi lilifutwa kinyemela na kuanzishwa mgambo, sasa huwa sielewi nia ya Mwinyi kuvunja Polisi Bandari ilikuwa nini?? Naona hapo wizi ndiyo ulianza kushamiri vizuri. Sasa hawa DP World watakuja na polisi wao au?
 
Wizi unafanywa na viongozi wenyewe ngazi za juu, huku chini wanadokoa tu. Hivi mwananchi anaingiaje bandarini kuiba kama hana mtonyo?
Tunajua kuwa kampuni moja ya kifisadi imetoswa(TICTS) inalazimishwa kampuni nyingine ya kundi jingine jipya la mafisadi (DPW) lichukue nafasi.
Kama wizi huo unahitaji udhibiti wa kimataifa, nashauri Serikali ihamishie bandari zetu zote na fukwe chini ya JWTZ. Iundwe kampuni ya bandari au iunganishwe na kampuni ya Jeshi ya Mzinga.
 
Back
Top Bottom