Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,621
- 4,293
Kwa sasa kilo moja ya ngano imefika 1500 na inakwenda juu, vivyo hivyo kwa sembe. Kuna jamaa mmoja kanipigia simu anadai bandarini huko wanakamuliwa sana ndio maana mitaani mambo yamebadilika.
Tuna maeneo mengi sana ya kitalii yanaweza kuingizia serikali pesa nyingi tu,shida inakuja je haya maeneo yanatangazwa?.
Asilimia kubwa ya maeneo yametangazwa na mabeberu pamoja na watalii wa ndani. Lakini tatizo limekuja kwenye miundombinu ya kufika huko. Barabara nyingi sana za kwenda maeneo hayo ni mbovu mno kiasi hata mtalii akifanikiwa kufika hawezi kufikiria kurudi tena.
Ushauri kwa serikali: serikali ya Tanzania inabidi sasa iige mfano kwa nchi ambazo zina maendeleo kwenye utalii kama Brazil, China nk. Wameboresha njia zao kuhakikisha mtalii hapati usumbufu.
Barabara,reli (metro train) hata cable car. Naamini tukiboresha sekta hiyo hata makodi ya madjs,mamc,kodi ya vitanda haitakuwa muhimu tena.
Tuna maeneo mengi sana ya kitalii yanaweza kuingizia serikali pesa nyingi tu,shida inakuja je haya maeneo yanatangazwa?.
Asilimia kubwa ya maeneo yametangazwa na mabeberu pamoja na watalii wa ndani. Lakini tatizo limekuja kwenye miundombinu ya kufika huko. Barabara nyingi sana za kwenda maeneo hayo ni mbovu mno kiasi hata mtalii akifanikiwa kufika hawezi kufikiria kurudi tena.
Ushauri kwa serikali: serikali ya Tanzania inabidi sasa iige mfano kwa nchi ambazo zina maendeleo kwenye utalii kama Brazil, China nk. Wameboresha njia zao kuhakikisha mtalii hapati usumbufu.
Barabara,reli (metro train) hata cable car. Naamini tukiboresha sekta hiyo hata makodi ya madjs,mamc,kodi ya vitanda haitakuwa muhimu tena.