Serikali inatambua umuhimu wa Bandari ya Dar, haiwezi ikaibinafsisha. Puuzeni upotoshaji

Serikali inatambua umuhimu wa Bandari ya Dar, haiwezi ikaibinafsisha. Puuzeni upotoshaji

Itikadi na sera ya ccm ni kujali maslahi ya umma na kuhakikisha usawa wa kijamii na uchumi.
Tangu ameingia madarakani rais samia na kupewa uenyekiti wa ccm wananchi wamekua wakinusa harafu ya sera za kibinafsi na kutaka kugeuza muelekeo wa taifa kwenye ubepari mkali wa kuambatana na kudhulumu wanyonge.
Kitendo cha kuwekeana sahihi na falme za kiarabu kutaka kuwakabidhi bandari zote za nchi kwa masharti sawa na kuwapa kumiliki wao kinastaajabisha. Masharti aliyoweka sahihi waziri mbarawa mengi yanakiuka sheria hadi kutakiwa nchi kubali sheria zake. Nini maana ya sheria ikiwa kila rais akiingia anata abadili sheria za nchi ili kuleta wawekezaji wake.
Awamu ya tano tumebadili sheria za uwekezsji ili kulinda maslahi ya nchi. Bahati mbaya rais aliyeingia madarakani kwa ridhaa kubwa ya wananchi akafariki dunia kwenye mazingira hadi sasa wananchi hawaamini halafu anakuja mtu anatasema analifungua taifa na kutaka kugeuza mambo ya msingi yote mtangulizi wake amefanya.
Tunawaomba wabunge wanapojadili uwekezaji huu wa falme za kiarabu kuzingatia sheria zilizopo na kuepuka lolote linalotaka kubadilishwa sheria kwa matakwa ya muwekezaji.
Lazima kuzingatia tanzania sio nchi inayouza bandari. Kama kuna mtu anataka kununua bandari aangalie kwingine.

Wakati unapiga kura kumchagua magufuli, uliona kwenye picha Yuko Peke yake?
 
Yaani ni bora tungempa Kagame (Jirani) hiyo Bandari kuliko hawa magabachori.
 
Itikadi na sera ya ccm ni kujali maslahi ya umma na kuhakikisha usawa wa kijamii na uchumi.
Tangu ameingia madarakani rais samia na kupewa uenyekiti wa ccm wananchi wamekua wakinusa harafu ya sera za kibinafsi na kutaka kugeuza muelekeo wa taifa kwenye ubepari mkali wa kuambatana na kudhulumu wanyonge.
Kitendo cha kuwekeana sahihi na falme za kiarabu kutaka kuwakabidhi bandari zote za nchi kwa masharti sawa na kuwapa kumiliki wao kinastaajabisha. Masharti aliyoweka sahihi waziri mbarawa mengi yanakiuka sheria hadi kutakiwa nchi kubali sheria zake. Nini maana ya sheria ikiwa kila rais akiingia anata abadili sheria za nchi ili kuleta wawekezaji wake.
Awamu ya tano tumebadili sheria za uwekezsji ili kulinda maslahi ya nchi. Bahati mbaya rais aliyeingia madarakani kwa ridhaa kubwa ya wananchi akafariki dunia kwenye mazingira hadi sasa wananchi hawaamini halafu anakuja mtu anatasema analifungua taifa na kutaka kugeuza mambo ya msingi yote mtangulizi wake amefanya.
Tunawaomba wabunge wanapojadili uwekezaji huu wa falme za kiarabu kuzingatia sheria zilizopo na kuepuka lolote linalotaka kubadilishwa sheria kwa matakwa ya muwekezaji.
Lazima kuzingatia tanzania sio nchi inayouza bandari. Kama kuna mtu anataka kununua bandari aangalie kwingine.
Hakuchaguliwa we vip?
 
Nimeshindwa kusoma mpaka mwisho..

Hapo mwanzo tu umeeandika eti kuwa "Itikadi na sera ya ccm ni kujali maslahi ya umma na kuhakikisha usawa wa kijamii na uchum"
Nani kakwambia maneno hayo toka lini serikali ya ccm ikajali maslahi ya umma!!?
 
Wakati unapiga kura ili kumchagua rais, maana yake pia ni kwamba, iwapo litatokea lolote aidha kifo basi mgombea mwenza atashika nafasi ya urais.
Kwa hiyo samia tulimchagua kupitia njia hiyo.
Sikubaliani na yanayoendelea ktk swala la bandari
 
Ondoa hiki kipengele tafadhali acha kuwasingizia CCM mamb ambayo sio utaratib wao!!!
Kama tumefikia ile inayosomeka; "enough is enough" "inatosha na imetosha" then tuiondoe CCM madarakani na tufanye utaratibu mpya kupata mwelekeo sahihi.

Ikiwa bado, hatujafikia hatua hiyo, basi tuendelee kucheza na maneno humu mitandaoni.
 
Kama tumefikia ile inayosomeka; "enough is enough" "inatosha na imetosha" then tuiondoe CCM madarakani na tufanye utaratibu mpya kupata mwelekeo sahihi.

Ikiwa bado, hatujafikia hatua hiyo, basi tuendelee kucheza na maneno humu mitandaoni.
Upo sahihi ✔️
 
Wewe ndio ulikuwa unapiga Kampeni 2020? Au baba Yako ndio alikuwa mgombea mwenza?

Maslahi ya watu binafsi ni yapi na ya nyie Wananchi ni yapi?
Wewe utakuwa umehongwa.tuwe wawazi huyu mama anatupeleka pabaya,nchi itauzwa Ndugai alisema mkamletea shida.Time will tell
 
HATA HUYU ALIPITISHWA TU

BIBI RANGO SUPIKA WA JUMBA

IMG_6836.jpg
 
Kuna wakati naona Kabisa filatu havimtoshi......kabisa Yaani serious na ukweli kbs
 
Back
Top Bottom