Rashda Zunde
JF-Expert Member
- May 28, 2022
- 204
- 231
Miaka ya 1970 wananchi walihama kutoka sehemu moja hadi nyingine ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za kijamii.
Sasa wananchi wanatoka Ngorongoro kwenda Msomera kwenye huduma bora za kijamii zilizowekwa na Serikali ya Awamu ya 6.
Wanapohamia Msomera wanaenda kuwa maisha bora na kupata huduma zote muhimu kwa urahisi sana jambo ambalo walikua wanalikosa walipokua kwenye eneo la hifadhi.
Serikali inajali wananchi wake na kuwathamini na ndio maana inafanya juhudi zote kuhakikisha maisha yao yanakua mazuri na huduma za uhakika zinatolewa.
Sasa wananchi wanatoka Ngorongoro kwenda Msomera kwenye huduma bora za kijamii zilizowekwa na Serikali ya Awamu ya 6.
Wanapohamia Msomera wanaenda kuwa maisha bora na kupata huduma zote muhimu kwa urahisi sana jambo ambalo walikua wanalikosa walipokua kwenye eneo la hifadhi.
Serikali inajali wananchi wake na kuwathamini na ndio maana inafanya juhudi zote kuhakikisha maisha yao yanakua mazuri na huduma za uhakika zinatolewa.